-
Iran: Kumalizika mazungumzo ya Vienna kunategemea kuondolewa vikwazo Tehran
Feb 10, 2022 23:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema muda wa kumalizika mazungumzo ya Vienna ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA unategemea irada ya Wamagharibi ambao ni upande wa pili wa mazungumzo hayo, kuiondolewa vikwazo haramu Tehran.
-
Raisi: Makubaliano yatafikiwa iwapo Iran itaondolewa vikwazo
Feb 08, 2022 04:36Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo Marekani italiondolea vikwazo haramu taifa la Iran, basi mazingira yatakuwa yameandaliwa kwa ajili ya kufikia makubaliano katika mazungumzo yanayonuia kufufua makubaliano ya JCPOA huko Vienna.
-
Mazungumzo ya Vienna; Iran inafuatilia mapatano ya aina gani
Feb 07, 2022 14:04Hossein Amir-Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Joseph Borell, ambapo ametoa tathmini kuhusu hali ya hivi sasa ya mazungumzo ya Vienna na kusema, "Tehran imedhamiria kufikia makubaliano, lakini maslahi ya kitaifa ya Iran lazima yadhaminiwe."
-
Kukiri kutokuwa na taathira wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran
Feb 04, 2022 05:50Chris Murphy Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani amekiri kuwa vikwazo vya mashinikizo eti ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran havijawa na matunda wala athari yoyote kwa manufaa ya Washington.
-
Abdollahian: Iran yataka kufikiwa makubaliano ya kudumu na ya kutegemewa Vienna
Feb 03, 2022 09:26Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kufikia makubaliano ya kudumu na ya kutegemewa baina yake na kundi la 4+1 katika mazungumzo ya kujaribu kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA huko Vienna, Austria.
-
Troika ya Ulaya: Tunakaribia hatua ya mwisho katika mazungumzo ya Vienna
Jan 29, 2022 04:46Wawakilishi wa nchi tatu za Ulaya katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo yanayofanyika mjini Vienna wamesema, mazungumzo hayo yanakaribia awamu ya mwisho na yanahitaji maamuzi ya kisiasa.
-
Iran yajibu uropokaji wa Uingereza kuhusu mazungumzo ya JCPOA
Jan 27, 2022 04:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali bwabwaja mpya zilizotolewa na Uingereza juu ya mazungumzo ya kufufua makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria.
-
Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran
Jan 26, 2022 23:05Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ameeleza kuwa, ufunguo wa mapatano yoyote ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Iran.
-
Rais wa Iran: Endapo vikwazo vya kidhalimu vitaondolewa kuna uwezekano wa kufikiwa makubaliano
Jan 26, 2022 00:45Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo pande husika katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zitakuwa tayari kuliondolea vikwazo vya kidhalimu taifa hili, basi kuna uwezekano wa kufikiwa aina yoyote ya makubaliano kamili.
-
Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani
Jan 25, 2022 04:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijafikia uamuzi wa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani.