Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jihadul Islami

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mpango wa kijinga wa Marekani kuhusu Gaza hautafika popote

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mpango wa kijinga wa Marekani kuhusu Gaza hautafika popote

    Feb 18, 2025 15:15

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, akiwapongeza wapiganaji wa Muqawama kwa ushindi wao katika Ukanda wa Gaza, amesisitiza kwamba kazi kubwa ya viongozi na wapiganaji wa Muqawama wa Palestina ipo katika "umoja na mshikamano" na "kusimama imara" dhidi ya adui, kuendesha mchakato mgumu wa mazungumzo, pamoja na uvumilivu na ustahimilivu wa wananchi, ambavyo vimeinua heshima ya Muqawama katika eneo.

  • HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    Jul 19, 2024 11:08

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina za HAMAS na Jihadul Islami zimeitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina ibatilishe uamuzi wake wa kuutambua utawala haramu wa Israel.

  • Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Oct 09, 2023 08:13

    Makundi ya muqawama ya Palestina yenye makao katika Ukanda wa Ghaza yaani harakati ya Hamas na harakati nyingine za Palestina khususan Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina juzi Jumamosi tarehe 7 Oktoba yalianzisha oparesheni kwa jina la Kimbunga cha Al Aqsa dhidi ya utawala wa Kizayuni; oparesheni iliyouduwaza kikamilifu utawala huo na kuwashtua pakubwa Wazayuni.

  • Jihad Islami: Mateka 150 wa Kipalestina wanafanya mgomo wa kula katika jela za Israel

    Jihad Islami: Mateka 150 wa Kipalestina wanafanya mgomo wa kula katika jela za Israel

    Oct 14, 2021 07:04

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa, mateka 150 wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza za Israel walianza mgomo wa kula tangu jana Jumatano.

  • HAMAS na Jihadul Islami zapinga mpango wa kufanya mazungumzo na Israel

    HAMAS na Jihadul Islami zapinga mpango wa kufanya mazungumzo na Israel

    May 08, 2020 08:15

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina HAMAS na Jihadul-Islami zimekosoa vikali mpango wa baadhi ya nchi za Kiarabu wa kutaka kurejea kwenye meza ya mazungumzo na utawala haramu wa Israel.

  • Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu

    Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu

    May 03, 2016 03:58

    Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, ugaidi unaenea Mashariki ya Kati kutokana na hitilafu za kikaumu na kimadhehebu katika nchi za Kiislamu.

  • Iran yataka Wapalestina waungane kukabiliana na Utawala wa Kizayuni

    Iran yataka Wapalestina waungane kukabiliana na Utawala wa Kizayuni

    May 01, 2016 14:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitiza kuhusu ulazima wa kuwepo umoja miongoni mwa makundi yote ya Palestina.

  • Kiongozi: Wamagharibi wanataka kudhibiti eneo kupitia vita dhidi ya Uislamu

    Kiongozi: Wamagharibi wanataka kudhibiti eneo kupitia vita dhidi ya Uislamu

    May 01, 2016 18:11

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yanataka kulidhibiti eneo la Magharibi mwa Asia kupitia vita vikubwa na vipana dhidi ya mrengo wa Uislamu.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS