Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Joseph Kabila

  • Mazungumzo ya kitaifa DRC, mijadala isiyo na natija

    Mazungumzo ya kitaifa DRC, mijadala isiyo na natija

    Sep 08, 2016 12:11

    Mazungumzo ya kitaifa ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanaendelea kwa ajili ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo katika hali ambayo mivutano ya kisiasa ya ndani, mapigano na ukosefu wa amani kwenye maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo bado hayajapungua.

  • Makumi ya Maelfu waandamana dhidi ya Rais Joseph Kabila

    Makumi ya Maelfu waandamana dhidi ya Rais Joseph Kabila

    Aug 01, 2016 04:08

    Makumi ya maelfu ya watu jana Jumapili waliandamana Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakipiga nara dhidi ya serikali na kuperurusha bendera za vyama vya upinzani. Wafanya maandamano wamemtaka Rais Joseph Kabila aondoke madarakani baada ya kumalizika muhula wake mwezi Novemba mwaka huu.

  • UN yataka uchaguzi mkuu DRC ufanyike mwishoni mwa mwaka huu

    UN yataka uchaguzi mkuu DRC ufanyike mwishoni mwa mwaka huu

    Jun 24, 2016 08:13

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limebainisha wasiwasi wake kuhusu kukamatwa kiongozi wa upinzani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, na limetaka uchaguzi wa rais nchini humo ufanyika mwishoni mwa mwaka huu kama inavyotakiwa na katiba ya nchi hiyo.

  • Mahakama ya kilele DRC: Kabila kusalia uongozini  hata baada ya muhula wake kumalizika

    Mahakama ya kilele DRC: Kabila kusalia uongozini hata baada ya muhula wake kumalizika

    May 12, 2016 06:49

    Mahakama ya Juu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa huenda Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo akasalia madarakani hata baada ya kumalizika muhula wake iwapo uchaguzi mkuu utakosa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu.

  • Kiongozi wa Upinzani DRC atangaza rasmi kugombea urais

    Kiongozi wa Upinzani DRC atangaza rasmi kugombea urais

    May 05, 2016 08:25

    Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais katika uchaguzi wa mwezi Novemba.

  • Tume ya uchaguzi DRC yataka muda zaidi kujitayarisha kwa ajili ya uchaguzi

    Tume ya uchaguzi DRC yataka muda zaidi kujitayarisha kwa ajili ya uchaguzi

    Apr 30, 2016 07:55

    Tume Huru ya Uchaguzi Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) imeomba muda zaidi wa kujitayarisha kwa ajili ya kuandaa zoezi la uchaguzi wa rais.

  • Rais Kabila wa DRC atakiwa kuondoka madarakani

    Rais Kabila wa DRC atakiwa kuondoka madarakani

    Mar 13, 2016 07:16

    Kamanda wa zamani katika Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo kuondoka madarakani.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS