Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Afrika Mashariki

  • EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake

    EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake

    Dec 17, 2017 08:13

    Bunge la Afrika Mashariki EALA linatazamiwa kurejelea shughuli zake kuanzia kesho Jumatatu baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake katika chombo hicho cha kieneo.

  • Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda

    Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda

    Nov 21, 2017 02:40

    Wataalamu wa masuala ya ulinzi kutoka nchi za Afrika Mashariki wanakutana nchini Uganda kujadili njia za kuimarisha amani na usalama kieneo.

  • Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Kenya yachelewesha kuanza vikao vya EALA tangu Juni 2017

    Sep 22, 2017 08:04

    Hatua ya Kenya kutoteua wabunge wake wa Bunge la Afrika Mashariki EALA hadi sasa imechelewesha kuanza vikao vya chombo hicho cha kieneo.

  • EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi

    EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi

    Aug 09, 2016 13:11

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limesema karibuni hivi litaanza kuchunguza kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mzozo na uhasama kati ya nchi jirani za Rwanda na Burundi.

  • Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi

    Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi

    Jul 21, 2016 13:52

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limefanya kikao maalumu asubuhi ya leo mjini Arusha Tanzania, kwa ajili ya kumuenzi Hafsa Mossi, mwakilishi wa Burundi katika bunge hilo la kieneo ambaye aliuawa wiki jana mjini Bujumbura.

  • Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani

    Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani

    Jul 10, 2016 12:34

    Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imesema inaunga mkono kufanyika duru ya pili ya mazungumo kati ya serikali ya Burundi na wapinzani.

  • EALA yandaa muswada wa sheria ya kukabili ukeketaji

    EALA yandaa muswada wa sheria ya kukabili ukeketaji

    Jun 04, 2016 07:40

    Bunge la Afrika Mashariki EALA linaandaa muswada ambao ukipasishwa na kuwa sheria, utamaduni wa kuwakeketa mabinti na wanawake utapigwa marufuku katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC.

  • Bunge la Afrika Mashariki laanza vikao Arusha, kujadili bajeti ya EAC

    Bunge la Afrika Mashariki laanza vikao Arusha, kujadili bajeti ya EAC

    May 23, 2016 12:14

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limeanza vikao vyake mjini Arusha nchini Tanzania hii leo, huku mjadala kuhusu bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ikiwa moja ya ajenda kuu katika vikao hivyo.

  • Sudan Kusini yapokewa rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Sudan Kusini yapokewa rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Apr 16, 2016 07:28

    Ni rasmi sasa Sudan Kusini ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC. Hii ni baada ya Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kusaini mkataba unaorasimisha nchi hiyo kujiunga na EAC katika mji mkuu wa kibiashara wa Tanzania, Dar es Salaam.

  • Nchi za Afrika Mashariki kuunda Jeshi la Pamoja

    Nchi za Afrika Mashariki kuunda Jeshi la Pamoja

    Mar 26, 2016 01:40

    Jumuiya ya Afrika Mashariki ,EAC, inakaribia kuunda jeshi la pamoja kwa lengo la kulinda taasisi muhimu za kiuchumi za nchi wanachama.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS