Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Wabunge Kenya: Hakuna makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi na Uingereza

    Wabunge Kenya: Hakuna makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi na Uingereza

    Aug 09, 2026 10:20

    Wabunge wa Kenya wamesema kuwa hakuna makubaliano mapya yaliyofikiwa kati ya Kenya na Uingereza kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kijeshi (BATUK).

  • Wakulima wa Kenya wakanusha madai ya matumizi ya sianidi baada ya tembo 15 kufa huko Amboseli

    Wakulima wa Kenya wakanusha madai ya matumizi ya sianidi baada ya tembo 15 kufa huko Amboseli

    Aug 08, 2026 02:43

    Wakulima wanaopakana na Hifadhi ya Taifa ya Amboseli nchini Kenya wamekanusha kutumia sianidi baada ya tembo 15 kufariki dunia baada ya kudaiwa kuwa tembo hao wamekufa kutokana na sumu hiyo.

  • Ruto asema serikali imetekeleza ahadi ilizowapa Waislamu wa Kenya

    Ruto asema serikali imetekeleza ahadi ilizowapa Waislamu wa Kenya

    Aug 06, 2026 03:24

    Rais William Ruto wa Kenya amesema serikali imetekeleza ahadi muhimu ilizotoa kwa jamii ya Waislamu wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2022.

  • Ripoti ya polisi Kenya yafichua ukatili wa wanajeshi wa Uingereza Laikipia

    Ripoti ya polisi Kenya yafichua ukatili wa wanajeshi wa Uingereza Laikipia

    Aug 01, 2026 11:45

    Ripoti ya siri ya polisi ya Kenya imefichua madai mazito ya ubakaji, ulawiti wa watoto na ukiukaji wa haki za kibinadamu unaodaiwa kufanywa na wanajeshi wa kikosi cha Uingereza wanaopata mafunzo Kenya (BATUK) katika Kaunti ya Laikipia.

  • Waziri wa zamani Kenya: Rais Ruto anawalazimisha mawaziri kufanya anachotaka kwa woga

    Waziri wa zamani Kenya: Rais Ruto anawalazimisha mawaziri kufanya anachotaka kwa woga

    Jul 31, 2026 10:04

    Waziri wa zamani wa Fedha wa Kenya, Prof Njuguna Ndung’u, amemshutumu Rais wa nchi hiyo, William Ruto kwa kuingilia utendakazi wa taasisi huru, akisema mtindo huu umezorotesha uwezo wa kutekeleza majukumu ipasavyo.

  • Kofi Annan Foundation: Yumkini Kenya ikatumbukia katika ghasia za Uchaguzi Mkuu 2027

    Kofi Annan Foundation: Yumkini Kenya ikatumbukia katika ghasia za Uchaguzi Mkuu 2027

    Jul 16, 2026 02:48

    Ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya Kofi Annan Foundation imeonya kuwa nchi ya Kenya iko katika hatari kubwa ya kushuhudia vurugu zinazohusiana na uchaguzi mkuu wa 2027 iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.

  • Rais Ruto: Kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta Afrika Mashariki kujengwa Lamu, Kenya

    Rais Ruto: Kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta Afrika Mashariki kujengwa Lamu, Kenya

    Jul 11, 2026 04:38

    Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, ametangaza hatua kuu ya maendeleo ya kiuchumi Ijumaa hii, akithibitisha kuwa mipango ya ujenzi wa kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta Afrika Mashariki imekamilika.

  • Wakenya wapinga sheria za ukaguzi wa magari, wataka zikomeshwe

    Wakenya wapinga sheria za ukaguzi wa magari, wataka zikomeshwe

    Jun 29, 2026 12:15

    Mpango wa serikali ya Kenya wa kulazimisha magari ya kibinafsi kufanyiwa ukaguzi kila mwaka umezua hisia kali miongoni mwa umma, huku waendeshaji magari na viongozi wa upinzani wakitaka ukomeshwe na kuishutumu serikali kwa kuwatwika mzigo mwingine Wakenya wanaopambana na hali ngumu ya maisha.

  • Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa

    Jun 28, 2026 14:07

    Wanaharakati watano waliotoweka baada ya kukamatwa katika maandamano ya kumbukumbu ya Gen Z ya Juni 25, wamepatikana wakiwa na majeraha na sasa wanapewa matibabu katika Hospitali ya Nairobi Women’s.

  • Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani

    Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani

    Jun 24, 2026 10:51

    Wizara ya Afya ya Kenya imesitisha ujenzi wa kituo cha karantini cha ugonjwa wa Ebola kinachozua utata, ambacho kinamilikiwa na Marekani, baada ya changamoto ya kisheria kuhoji uhalali wa mradi huo na hatari zake kwa jamii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS