Mar 27, 2024 07:39
Serikali ya Kenya imeanza kukabidhi miili ya watu waliofariki dunia kutokana na njaa katika msitu wa Shakahola pwani ya nchi hiyo, baada ya kuagizwa na mchungaji mwenye misimamo ya kufurutu ada, Paul McKenzie kufunga hadi kufa ili eti wakakutane na Yesu (Nabi Isa AS).