Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Mgomo wa sekta ya uchukuzi Kenya waahirishwa kuruhusu mazungumzo baina ya serikali na sekta hiyo

    Mgomo wa sekta ya uchukuzi Kenya waahirishwa kuruhusu mazungumzo baina ya serikali na sekta hiyo

    May 19, 2026 11:02

    Mgomo wa sekta ya uchukuzi uliokuwa umeingia siku ya pili nchini Kenya umeahirishwa kwa muda wa siku saba ili kutoa nafasi kwa mazungumzo kati ya serikali na viongozi wa sekta hiyo.

  • Watu wanne wauawa katika maandamano ya bei ya mafuta Kenya

    Watu wanne wauawa katika maandamano ya bei ya mafuta Kenya

    May 19, 2026 05:48

    Takribani watu wanne wameuawa na wengine 30 kujeruhiwa nchini Kenya wakati maandamano ya kitaifa yakizuka kupinga kupanda kwa kasi kwa bei ya mafuta.

  • Mgomo na maandamano Kenya kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta

    Mgomo na maandamano Kenya kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta

    May 18, 2026 11:51

    Maandamano dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta yamezuka katika miji kadhaa nchini Kenya siku ya Jumatatu huku athari mbaya za vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran zikiendelea kuhisika duniani kote.

  • YouTube yaifuta akaunti ya ‘Sovereign Media’ ya kupinga ubeberu nchini Kenya

    YouTube yaifuta akaunti ya ‘Sovereign Media’ ya kupinga ubeberu nchini Kenya

    May 15, 2026 09:42

    Kwa hatua iliyowashangaza wengi, YouTube imeiondoa bila taarifa ya awali akaunti ya Sovereign Media, chombo huru cha habari chenye makao yake Nairobi kinachojulikana kwa msimamo wake wa kupinga ubeberu.

  • Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi

    Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi

    May 13, 2026 12:14

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na upinzani mkali baada ya kukatiza kikao cha mjadala katika kongamano la Africa Forward Summit nchini Kenya akiwataka hadhirina wanyamaze kimya.

  • Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    May 12, 2026 14:25

    Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.

  • UN kujenga ofisi mpya yenye thamani ya dola milioni 340 Nairobi

    UN kujenga ofisi mpya yenye thamani ya dola milioni 340 Nairobi

    May 12, 2026 09:01

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amshuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika ofisi yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

  • Macron asema Ufaransa “haikuwahi kufikiria” kupeleka jeshi Hormuz bila uratibu na Iran

    Macron asema Ufaransa “haikuwahi kufikiria” kupeleka jeshi Hormuz bila uratibu na Iran

    May 12, 2026 04:28

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema Paris haijawahi kufikiria kupeleka vikosi vya kijeshi vya Ufaransa katika Mlango-Bahari wa Hormuz bila uratibu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakati mvutano unaochochewa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ukiendelea.

  • Polisi Kenya yathibitisha vifo vya watu 18 katika maporomoko ya ardhi

    Polisi Kenya yathibitisha vifo vya watu 18 katika maporomoko ya ardhi

    May 04, 2026 10:21

    Huduma ya Polisi ya Kenya Jumapili ilithibitisha kupoteza maisha watu 18 kufuatia maporomoko ya udongo na mafuriko huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo, na kulazimisha familia nyingi kuhama makazi yao.

  • Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine

    Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine

    Feb 21, 2026 07:37

    Serikali ya Kenya imeitaka Russia iirejeshe nyumbani miili ya raia wake waliouawa na wale waliokamatwa kama wafungwa wa vita, ambao wameripotiwa kuwa walipiigania Russia katika vita na Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS