-
Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera
Apr 30, 2025 02:33Wafanyakazi watano wa machimbo wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa wakati gari lao liliposhambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigadi la al-Shabaab kaskazini mashariki mwa Kenya.
-
Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia
Feb 23, 2025 12:26Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Dassanech kutoka nchi jirani ya Ethiopia.
-
Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC
Feb 16, 2025 02:53Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), kurithi mikoba ya Moussa Faki Mahamat.
-
Vyombo vya habari Kenya vyazungumzia athari za ushindi wa Odinga kama mkuu wa Kamisheni ya AU
Feb 10, 2025 02:43Vyombo vya habari vya Kenya vimechapisha ripoti kuhusu athari za matokeo ya ushindi wa mgombea wa nchi hiyo, Raila Odinga, katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, unaotarajiwa kufanyika wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Afrika mjini Addis Ababa wiki ijayo, katika siasa za ndani nchini Kenya.
-
Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki
Feb 07, 2025 07:55Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya jana Alkhamisi kilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Ubalozi wa Iran wenye kaulimbiu inayosema "Kupekua Ushawishi wa Ustaarabu na Utamaduni wa Kiajemi kwa jamii za Afrika Mashariki."
-
Hatua ya Trump yaitafakarisha Kenya juu ya operesheni ya Haiti
Feb 05, 2025 12:18Kenya imesema imeanzisha mchakato wa kubadilisha ujumbe wake wa usalama ulioko Haiti kuwa operesheni ya Umoja wa Mataifa, baada ya Marekani kusimamisha ufadhili kwa ujumbe huo.
-
Kenya yathibitisha wagonjwa wengine 2 wa Mpox
Jan 17, 2025 14:07Kenya leo imethibitisha kuwepo wagonjwa wengine 2 wenye maambukizi ya Mpox na hivyo kufanya jumla ya kesi za ugonjwa huo zilizothibitishwa hadi sasa nchini humo kufikia 33.
-
Wanafunzi wa vyuo vikuu zaidi ya 40 vya Kenya washiriki katika mashindano ya Iranolojia
Jan 16, 2025 02:38Katika jitihada za kupanua uhusiano wa kiutamaduni, kisayansi na kielimu kati ya Iran na Kenya, mashindano ya "Iranolojia" yamefanyika nchini Kenya kwa ushirikiano na vyuo vikuu zaidi ya 40.
-
Kenya yapata Naibu Rais mpya; Profesa Kithure Kindiki
Nov 01, 2024 09:58Hatimaye Profesa Abraham Kithure Kindiki ameapishwa kuwa Naibu Rais mpya wa Kenya, kuja kurithi mikoba ya Rigathi Gachagua ambaye alibanduliwa mamlakani na Bunge la nchi hiyo mwezi uliopita wa Oktoba.
-
Vyombo vya habari Kenya: Siasa za usaliti na ‘njama za mauaji’ zimerejea kwa kishindo
Oct 23, 2024 08:01Baadhi ya vyombo vya habari vya Kenya vimeripoi kuwa, siasa za madai ya usaliti na njama za watu kuuawa zimeanza kujitokeza tena nchini humo baada ya naibu rais aliyetimuliwa mamlakani kudai alijaribiwa kulishwa sumu mara mbili.