Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

    Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

    Apr 30, 2025 02:33

    Wafanyakazi watano wa machimbo wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa wakati gari lao liliposhambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigadi la al-Shabaab kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia

    Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia

    Feb 23, 2025 12:26

    Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Dassanech kutoka nchi jirani ya Ethiopia.

  • Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

    Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

    Feb 16, 2025 02:53

    Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), kurithi mikoba ya Moussa Faki Mahamat.

  • Vyombo vya habari Kenya vyazungumzia athari za ushindi wa Odinga kama mkuu wa Kamisheni ya AU

    Vyombo vya habari Kenya vyazungumzia athari za ushindi wa Odinga kama mkuu wa Kamisheni ya AU

    Feb 10, 2025 02:43

    Vyombo vya habari vya Kenya vimechapisha ripoti kuhusu athari za matokeo ya ushindi wa mgombea wa nchi hiyo, Raila Odinga, katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, unaotarajiwa kufanyika wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Afrika mjini Addis Ababa wiki ijayo, katika siasa za ndani nchini Kenya.

  • Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki

    Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki

    Feb 07, 2025 07:55

    Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya jana Alkhamisi kilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Ubalozi wa Iran wenye kaulimbiu inayosema "Kupekua Ushawishi wa Ustaarabu na Utamaduni wa Kiajemi kwa jamii za Afrika Mashariki."

  • Hatua ya Trump yaitafakarisha Kenya juu ya operesheni ya Haiti

    Hatua ya Trump yaitafakarisha Kenya juu ya operesheni ya Haiti

    Feb 05, 2025 12:18

    Kenya imesema imeanzisha mchakato wa kubadilisha ujumbe wake wa usalama ulioko Haiti kuwa operesheni ya Umoja wa Mataifa, baada ya Marekani kusimamisha ufadhili kwa ujumbe huo.

  • Kenya yathibitisha wagonjwa wengine 2 wa Mpox

    Kenya yathibitisha wagonjwa wengine 2 wa Mpox

    Jan 17, 2025 14:07

    Kenya leo imethibitisha kuwepo wagonjwa wengine 2 wenye maambukizi ya Mpox na hivyo kufanya jumla ya kesi za ugonjwa huo zilizothibitishwa hadi sasa nchini humo kufikia 33.

  • Wanafunzi wa vyuo vikuu zaidi ya 40 vya Kenya washiriki katika mashindano ya Iranolojia

    Wanafunzi wa vyuo vikuu zaidi ya 40 vya Kenya washiriki katika mashindano ya Iranolojia

    Jan 16, 2025 02:38

    Katika jitihada za kupanua uhusiano wa kiutamaduni, kisayansi na kielimu kati ya Iran na Kenya, mashindano ya "Iranolojia" yamefanyika nchini Kenya kwa ushirikiano na vyuo vikuu zaidi ya 40.

  • Kenya yapata Naibu Rais mpya; Profesa Kithure Kindiki

    Kenya yapata Naibu Rais mpya; Profesa Kithure Kindiki

    Nov 01, 2024 09:58

    Hatimaye Profesa Abraham Kithure Kindiki ameapishwa kuwa Naibu Rais mpya wa Kenya, kuja kurithi mikoba ya Rigathi Gachagua ambaye alibanduliwa mamlakani na Bunge la nchi hiyo mwezi uliopita wa Oktoba.

  • Vyombo vya habari Kenya: Siasa za usaliti na ‘njama za mauaji’ zimerejea kwa kishindo

    Vyombo vya habari Kenya: Siasa za usaliti na ‘njama za mauaji’ zimerejea kwa kishindo

    Oct 23, 2024 08:01

    Baadhi ya vyombo vya habari vya Kenya vimeripoi kuwa, siasa za madai ya usaliti na njama za watu kuuawa zimeanza kujitokeza tena nchini humo baada ya naibu rais aliyetimuliwa mamlakani kudai alijaribiwa kulishwa sumu mara mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS