Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • EACC: Wanafunzi Kenya wanatumiwa na viongozi kusajili kampuni hewa za kupora pesa

    EACC: Wanafunzi Kenya wanatumiwa na viongozi kusajili kampuni hewa za kupora pesa

    Jun 28, 2025 08:28

    Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi ya Kenya (EACC) imefichua mpango, ambapo maafisa wa juu wa serikali za Kaunti, wakiwemo magavana wanadaiwa kuwahusisha wanafunzi walioko kwenye mafunzo ya kazi kama njia ya kufuja mabilioni ya pesa za umma kupitia kampuni hewa.

  • Amnesty Kenya: Vifo 16 vimesajiliwa kufuatia ghasia zilizojiri nchini

    Amnesty Kenya: Vifo 16 vimesajiliwa kufuatia ghasia zilizojiri nchini

    Jun 26, 2025 15:50

    Watu 16 wameuawa na mamia wamejeruhiwa wakati wa maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali nchini Kenya siku ya Jumatano, ambapo kwa mujibu wa Mkuu wa shirika la Amnest Kenya na Kamisheni ya Taifa ya Kenya ya Haki za Binadamu, wengi wao wameuawa na polisi.

  • Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi

    Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi

    May 27, 2025 06:33

    Kenya imesema inaunga mkono mpango wa Morocco wa kulipa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi uhuru wa kujitawala chini ya mamlaka ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo ya Afrika Kaskazini, ikiungana na idadi inayoongezeka ya nchi za Kiafrika, Kiarabu na Magharibi ambazo zimeelekeza uungaji mkono wao kwa Rabat katika mzozo huo wa miongo mitano.

  • WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

    WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

    May 23, 2025 02:59

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana Alkhamisi lilionya kwamba, wakimbizi nchini Kenya wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa huku uhaba mkubwa wa fedha ukilazimisha shirika hilo kupunguza msaada wa chakula hadi viwango vya chini zaidi.

  • Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

    Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

    Apr 30, 2025 02:33

    Wafanyakazi watano wa machimbo wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa wakati gari lao liliposhambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigadi la al-Shabaab kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia

    Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia

    Feb 23, 2025 12:26

    Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Dassanech kutoka nchi jirani ya Ethiopia.

  • Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

    Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

    Feb 16, 2025 02:53

    Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), kurithi mikoba ya Moussa Faki Mahamat.

  • Vyombo vya habari Kenya vyazungumzia athari za ushindi wa Odinga kama mkuu wa Kamisheni ya AU

    Vyombo vya habari Kenya vyazungumzia athari za ushindi wa Odinga kama mkuu wa Kamisheni ya AU

    Feb 10, 2025 02:43

    Vyombo vya habari vya Kenya vimechapisha ripoti kuhusu athari za matokeo ya ushindi wa mgombea wa nchi hiyo, Raila Odinga, katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, unaotarajiwa kufanyika wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Afrika mjini Addis Ababa wiki ijayo, katika siasa za ndani nchini Kenya.

  • Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki

    Nairobi, mwenyeji wa Mkutano wa Ustaarabu wa Iran A/Mashariki

    Feb 07, 2025 07:55

    Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya jana Alkhamisi kilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Ubalozi wa Iran wenye kaulimbiu inayosema "Kupekua Ushawishi wa Ustaarabu na Utamaduni wa Kiajemi kwa jamii za Afrika Mashariki."

  • Hatua ya Trump yaitafakarisha Kenya juu ya operesheni ya Haiti

    Hatua ya Trump yaitafakarisha Kenya juu ya operesheni ya Haiti

    Feb 05, 2025 12:18

    Kenya imesema imeanzisha mchakato wa kubadilisha ujumbe wake wa usalama ulioko Haiti kuwa operesheni ya Umoja wa Mataifa, baada ya Marekani kusimamisha ufadhili kwa ujumbe huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS