Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Historia yaandikwa: Kenya mwenyeji wa kwanza Afrika wa mashindano ya dunia ya riadha 2029

    Historia yaandikwa: Kenya mwenyeji wa kwanza Afrika wa mashindano ya dunia ya riadha 2029

    Sep 16, 2026 02:52

    Mji mkuu wa Kenya Nairobi uumechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Dunia ya Riadha ya mwaka 2029, baada ya kushinda ushindani kutoka miji ya London, Munich na Rome.

  • Viongozi wa upinzani Kenya wasema wana hofu ya kuenea machafuko ya kisiasa na kuhatarisha uchaguzi wa 2027

    Viongozi wa upinzani Kenya wasema wana hofu ya kuenea machafuko ya kisiasa na kuhatarisha uchaguzi wa 2027

    Sep 15, 2026 03:58

    Viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani nchini Kenya wameonya kuwa ghasia za kisiasa zinaweza kuenea na kuhatarisha uchaguzi mkuu wa 2027.

  • Mgomo wa wauguzi Kenya waendelea kusababisha maafa, makumi ya wagonjwa wafariki mahospitalini

    Mgomo wa wauguzi Kenya waendelea kusababisha maafa, makumi ya wagonjwa wafariki mahospitalini

    Sep 09, 2026 10:20

    Wagonjwa wanawake wapatao 22 wameaga dunia kutokana na matatizo yanayohusiana na uzazi katika kipindi cha wiki moja katika hospitali za Kenya huku mgomo wa wauguzi ukiwa unaendelea.

  • Serikali ya Kenya: Haturuhusu ICC kuchunguza visa vya mashambulizi ya “wahuni”

    Serikali ya Kenya: Haturuhusu ICC kuchunguza visa vya mashambulizi ya “wahuni”

    Aug 24, 2026 13:39

    Serikali ya Kenya imekataa wito wa upinzani na mashirika ya kiraia kwa Mahakama ya Kimataifa unaotaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ichunguze ongezeko la ghasia za kisiasa nchini humo katia kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2027.

  • Mkuu wa ujasusi Ecuador apoteza maisha katika ajali ya helikopta nchini Kenya

    Mkuu wa ujasusi Ecuador apoteza maisha katika ajali ya helikopta nchini Kenya

    Aug 21, 2026 05:56

    Helikopta iliyokuwa imewabeba watalii imeanguka kaskazini mwa Kenya na kuwaua watu wote saba waliokuwa ndani, akiwemo Mkuu wa Shirika la Ujasusi wa Ecuador na raia watano wa Marekani.

  • Upinzani Kenya wamtaka Mwendesha Mashtaka wa ICC achukue hatua dhidi ya Rais Ruto

    Upinzani Kenya wamtaka Mwendesha Mashtaka wa ICC achukue hatua dhidi ya Rais Ruto

    Aug 20, 2026 11:44

    Vyama vya upinzani nchini Kenya vimetoa wito kwa Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchukua hatua dhidi ya Rais wa nchi hiyo William Ruto, kufuatia ghasia za hivi karibuni za kisiasa zilizoshuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya nchi.

  • Mwanasheria Mkuu Kenya akosa kujibu iwapo waliotimuliwa afisini wanaweza kuwania urais au la

    Mwanasheria Mkuu Kenya akosa kujibu iwapo waliotimuliwa afisini wanaweza kuwania urais au la

    Aug 19, 2026 09:38

    Mvutano wa kisheria kuhusu iwapo viongozi waliotimuliwa afisini kupitia Bunge wanaweza kugombea nyadhifa za kisiasa kabla ya kesi zao kukamilika bado utaendelea kutokota nchini Kenya.

  • Indhari ya UN na SADC kuhusu El Niño, Kenya yatangaza maeneo yaliyo katika hatari kubwa

    Indhari ya UN na SADC kuhusu El Niño, Kenya yatangaza maeneo yaliyo katika hatari kubwa

    Aug 13, 2026 04:35

    Uchambuzi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani (WFP) unaonyesha kuwa mfumo wa hali ya hewa wa El Niño unaozidi kuimarika kwa kasi unatarajiwa kuzidisha kwa kiasi kikubwa ukosefu wa usalama wa chakula katika baadhi ya nchi zilizo katika hali hatarishi zaidi duniani hadi mwaka 2027.

  • Wabunge Kenya: Hakuna makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi na Uingereza

    Wabunge Kenya: Hakuna makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi na Uingereza

    Aug 09, 2026 10:20

    Wabunge wa Kenya wamesema kuwa hakuna makubaliano mapya yaliyofikiwa kati ya Kenya na Uingereza kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kijeshi (BATUK).

  • Wakulima wa Kenya wakanusha madai ya matumizi ya sianidi baada ya tembo 15 kufa huko Amboseli

    Wakulima wa Kenya wakanusha madai ya matumizi ya sianidi baada ya tembo 15 kufa huko Amboseli

    Aug 08, 2026 02:43

    Wakulima wanaopakana na Hifadhi ya Taifa ya Amboseli nchini Kenya wamekanusha kutumia sianidi baada ya tembo 15 kufariki dunia baada ya kudaiwa kuwa tembo hao wamekufa kutokana na sumu hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS