-
Kenya yapata Naibu Rais mpya; Profesa Kithure Kindiki
Nov 01, 2024 09:58Hatimaye Profesa Abraham Kithure Kindiki ameapishwa kuwa Naibu Rais mpya wa Kenya, kuja kurithi mikoba ya Rigathi Gachagua ambaye alibanduliwa mamlakani na Bunge la nchi hiyo mwezi uliopita wa Oktoba.
-
Vyombo vya habari Kenya: Siasa za usaliti na ‘njama za mauaji’ zimerejea kwa kishindo
Oct 23, 2024 08:01Baadhi ya vyombo vya habari vya Kenya vimeripoi kuwa, siasa za madai ya usaliti na njama za watu kuuawa zimeanza kujitokeza tena nchini humo baada ya naibu rais aliyetimuliwa mamlakani kudai alijaribiwa kulishwa sumu mara mbili.
-
Rais William Ruto ameiomba Mahakama ya Milimani kutupilia mbali kesi za Gachagua
Oct 22, 2024 15:25Rais William Ruto wa Kenya ameiomba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi kadhaa za kupinga kuondolewa madarakani Rigathi Gachagua kama Naibu Rais, akisema kuwa masuala yaliyoibuliwa katika kesi hizo yametengewa Mahakama ya Juu pekee.
-
Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa adai kulikuwa na njama ya kutaka kumuuwa
Oct 21, 2024 02:49Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa, Rigathi Gachagua amedai kujiri majaribio mawili yaliyofeli ya kutaka kumuua mwezi Agosti na Septemba mwaka huu.
-
Mahakama Kuu Kenya yasimamisha uamuzi wa Bunge wa kumuidhinisha Kindiki kuwa Naibu Rais
Oct 18, 2024 13:53Mahakama Kuu nchini Kenya leo imetoa amri ya muda ya kusimamisha kubadilishwa kwa Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua.
-
Wizara ya Mazingira Kenya kuwafurusha waishio pembezoni mwa mito
Oct 17, 2024 02:54Waziri wa mazingira na maliasili wa Kenya, Aden Duale amesema kuwa serikali itaendeleza mpango wake wa kuwahamisha watu wanaoishi kando kando ya mito nchini humo.
-
Bunge la Kenya lamtimua Naibu Rais, Rigathi Gachagua
Oct 09, 2024 03:43Bunge la Kitaifa la Kenya limepasisha kwa wingi wa kura hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua.
-
Wachimba dhahabu Kenya wapoteza maisha baada ya mgodi kuporomoka
Sep 17, 2024 03:04Watu wasiopungua tisa wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa wakati mgodi usio rasmi wa dhahabu ulipoporomoka na kuwaangukia wachimba dhahabu hao huko kaskazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia.
-
Kaimu Mkuu wa Polisi nchini Kenya ahukumiwa kifungo cha miezi sita jela
Sep 14, 2024 04:28Kaimu Mkuu wa Polisi nchini Kenya Ijumaa ya jana alihukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kukaidi mara kwa mara amri ya kutoa ushahidi kuhusu mahali walipo watu watatu ambao wametoweka baada ya kudaiwa kukamatwa na maafisa wa polisi.
-
Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani
Aug 20, 2024 12:01Raia wa Kenya aliyekiri kuhusika na mauaji ya wanawake 42 ambao baadhi yao miili yao ilipatikana imetupwa katika eneo la kutupa taka jijini Nairobi, ametoroka gerezani.