Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Uchunguzi wa maiti katika mauaji tata ya Shakahola, Kenya waondoa uwezekano wa kuwepo uvunaji wa viungo

    Uchunguzi wa maiti katika mauaji tata ya Shakahola, Kenya waondoa uwezekano wa kuwepo uvunaji wa viungo

    May 08, 2023 10:23

    Uchunguzi wa kidaktari uliofanyiwa miili 112 ya wahanga wa mauaji tata ya Shakahola iliyofukuliwa katika makaburi mbalimbali katika kaunti ya Kilifi katika eneo la Pwani Kenya umeondoa uwezekano juu ya uwepo wa uvunaji viungo katika miili ya wahanga hao.

  • Rais wa Kenya: Nitatumia mamlaka yangu kama Amiri Jeshi Mkuu kuzuia maandamano ya Azimio

    Rais wa Kenya: Nitatumia mamlaka yangu kama Amiri Jeshi Mkuu kuzuia maandamano ya Azimio

    May 01, 2023 01:49

    Rais William Ruto wa Kenya amesema, yuko tayari kutumia mamlaka aliyonayo kama Amiri Jeshi Mkuu kuzuia maandamano ya Muungano wa Azimio la Umoja yaliyopangwa kufanyika kesho Jumanne yakiongozwa na kiongozi wa upinzani Raila Odinga.

  • Maiti za waliofariki katika kanisa lenye misimamo mikali Kenya zakaribia 100

    Maiti za waliofariki katika kanisa lenye misimamo mikali Kenya zakaribia 100

    Apr 27, 2023 10:48

    Idadi ya waathirika wanaoaminika kufa na njaa kutokana na imani kali ya Kikristo nchini Kenya imeongezeka na kufikia 98 hadi kufikia leo mchana, huku familia zingine zikisubiri habari za wapendwa wao ambao ni wafuasi wa kanisa hilo na hadi sasa hawajulikani waliko.

  • Raila Odinga kuanza tena maandamano dhidi ya serikali ya Kenya

    Raila Odinga kuanza tena maandamano dhidi ya serikali ya Kenya

    Apr 24, 2023 12:35

    Mrengo wa upinzani nchini Kenya umesema kuwa umepanga kuanza tena maandamano dhidi ya serikali kuanzia tarehe Pili mwezi ujao wa Mei; ikiwa zimepita karibu wiki tatu tangu usimamishe maandamano yake dhidi ya serikali ya Rais William Ruto ili kutoa fursa ya kushiriki kwenye mazungumzo na serikali.

  • Ugonjwa wa Typhoid kali wasababisha vifo vya watu 4 huko Kakamega, Kenya

    Ugonjwa wa Typhoid kali wasababisha vifo vya watu 4 huko Kakamega, Kenya

    Apr 16, 2023 11:24

    Ripoti kuhusu mmlipuko wa ugonjwa ambao hadi sasa umeua watu wanne katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mukumu katika Kaunti ya Kakamega huko Kenya inaashiria kisa cha homa ya matumbo iliyosababishwa na maji yaliyochafuliwa na baktera aina ya Salmonella Typhi.

  • Wabunge wa Kenya: Wanajeshi watenda jinai wa Uingereza wahukumiwe nchini

    Wabunge wa Kenya: Wanajeshi watenda jinai wa Uingereza wahukumiwe nchini

    Apr 13, 2023 03:29

    Wanajeshi wa Jeshi la Uingereza wanaotoa mafunzo nchini Kenya wanaofanya mauaji nchini humo huenda wakakabiliwa na mashtaka katika mahakama za Kenya iwapo mapendekezo yaliyopendekezwa bungeni na Kamati ya Ulinzi na Mahusiano ya Kigeni yatapitishwa.

  • Wakenya wamtaka Rais Ruto, Raila wafanye muafaka wa kisiasa

    Wakenya wamtaka Rais Ruto, Raila wafanye muafaka wa kisiasa

    Apr 10, 2023 05:47

    Rais William Ruto wa Kenya na kinara wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, wako kwenye shinikizo la kubuni Serikali ya Umoja wa Kitaifa ili kurejesha utulivu wa kisiasa nchini Kenya.

  • Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa

    Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa

    Apr 03, 2023 09:52

    Madaktari wamewataka Wakenya kuwa na tahadhari baada ya kugunduliwa aina mbili mpya za magonjwa ya zinaa (STIs).

  • Mama: Askari wa Marekani waliomuua mwanangu ni wanyama

    Mama: Askari wa Marekani waliomuua mwanangu ni wanyama

    Mar 23, 2023 12:21

    Mama mzazi wa Ivor Otieno, kijana Mkenya aliyeuawa hivi karibuni na polisi ya Marekani akiwa korokoroni amewataja askari polisi waliofanya ukatili huo kuwa wanyama.

  • Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini

    Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini

    Mar 20, 2023 14:01

    Maafisa usalama nchini Kenya wametumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga, ambao wamejitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya nchi nzima dhidi ya serikali ya Rais William Ruto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS