Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti

    Mar 04, 2023 03:54

    Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.

  • Rais Ruto: Kenya haitaruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Rais Ruto: Kenya haitaruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Mar 03, 2023 02:41

    Rais William Ruto wa Kenya amekosoa uamuzi wa Mahakama ya Juu ya nchi hiyo wa kuruhusu kusajiliwa makundi ya kulobi ya mashoga na wasagaji (LGBTQ) na kusisitiza kuwa, taifa hilo la Afrika Mashariki kamwe halitaruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja.

  • Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia

    Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia

    Feb 17, 2023 07:28

    Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Kenya KDF wamewaua magaidi watatu wa kundi la ukufurishaji la Al-Shabaab la Somalia katika eneo la Sarira kwenye mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

  • Kenya na Somalia zakubaliana kushirikiana zaidi ili kuboresha hali ya usalama

    Kenya na Somalia zakubaliana kushirikiana zaidi ili kuboresha hali ya usalama

    Feb 07, 2023 02:26

    Serikali ya Kenya imetangaza kufungua tena mpaka wa nchi kavu wa nchi hiyo na Somalia kwa lengo la kuboresha hali ya usalama katika mipaka hiyo.

  • Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Feb 05, 2023 11:33

    Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Lodwar- Kakuma eneo la Kakwamunyen, kaunti ya Turkana, kaskazini magharibi mwa Kenya.

  • Mkutano wa kilele wa Somalia waahidi kuchukua

    Mkutano wa kilele wa Somalia waahidi kuchukua "hatua ya mwisho" ya kulimaliza kundi la Al-Shabaab

    Feb 02, 2023 07:23

    Viongozi wa Somalia na nchi jirani wameahidi katika mkutano wa kilele uliofanyika jana Jumatano katika mji mkuu Somalia, Mogadishu, "kuchukua hatua za mwisho" dhidi ya kundi la Al-Shabaab.

  • Kikosi cha pili cha wanajeshi wa Kenya chawasili  DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi

    Kikosi cha pili cha wanajeshi wa Kenya chawasili DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi

    Nov 17, 2022 10:43

    Kundi la pili lal wanajeshi wa Kenya wamewasili katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lililoathiriwa na machafuko na hujuma za waasi. Wanajeshi hao wametumwa Kongo katika fremu ya kikosi cha kudumisha amani cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

  • Kundi la kwanza la wanajeshi wa Kenya latua mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Kundi la kwanza la wanajeshi wa Kenya latua mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Nov 13, 2022 04:43

    Wanajeshi wa Kenya jana Jumamosi walitua katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo' ambapo walilakiwa na maafisa husika na wanajeshi wa Kongo katika eneo.

  • Marubani wa Kenya Airways wasitisha mgomo, waanza kazi

    Marubani wa Kenya Airways wasitisha mgomo, waanza kazi

    Nov 09, 2022 11:04

    Marubani wa Kampuni ya ndege ya Kenya, Kenya Airways mapema leo wamerejea kazini baada ya muungano wao (Kalpa), kusitisha mgomo uliovuruga safari za ndege kwa siku kadhaa.

  • Shirika la Ndege la Kenya kuwapiga kalamu marubani waliogoma

    Shirika la Ndege la Kenya kuwapiga kalamu marubani waliogoma

    Nov 06, 2022 03:28

    Makumi ya maelfu ya wasafiri wa ndani na nje ya nchi wameachwa katika njiapanda katika viwanja vya ndege vya Kenya, baada ya safari zao kukatizwa kutokana na mgomo wa marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS