Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Odinga aenda mahakamani kupinga matokeo ya urais Kenya

    Odinga aenda mahakamani kupinga matokeo ya urais Kenya

    Aug 22, 2022 11:18

    Mgombea urais wa Kenya kwa tiketi ya chama cha Muungano wa Azimio la Umoja wa One Kenya, Raila Odinga amewasilisha mahakamani shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC hivi karibuni.

  • Iran yatoa pongezi kufuatia kufanyika uchaguzi wenye mafanikio Kenya

    Iran yatoa pongezi kufuatia kufanyika uchaguzi wenye mafanikio Kenya

    Aug 20, 2022 03:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza wananchi na serikali ya Kenya kwa kufanyika kwa mafanakio uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Mgombea urais wa Azimio Kenya apinga matokeo yaliyomtangaza Ruto mshindi

    Mgombea urais wa Azimio Kenya apinga matokeo yaliyomtangaza Ruto mshindi

    Aug 16, 2022 14:27

    Raila Odinga, mgombea urais wa Kenya kwa tiketi ya Muungano wa Azimio amesema hakubaliani na matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kwa sababu mwenyekiti wa tume hiyo Wafula Chebukati alikiuka katiba kabla ya kumtangaza mshindi.

  • Marais, viongozi wa kieneo wampongeza Rais mteule wa Kenya, William Ruto

    Marais, viongozi wa kieneo wampongeza Rais mteule wa Kenya, William Ruto

    Aug 16, 2022 08:04

    Marais a viongozi wa nchi kadhaa za Afrika wamemnyooshea mkono wa pongezi William Ruto kwa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa kiti cha rais nchini Kenya uliofanyika wiki iliyopita.

  • Wakenya wasubiri muelekeo wa Odinga baada ya Ruto kutangazwa mshindi wa urais

    Wakenya wasubiri muelekeo wa Odinga baada ya Ruto kutangazwa mshindi wa urais

    Aug 16, 2022 03:40

    Wananchi wa Kenya hususan wafuasi wa mwanasiasa mkongwe Raila Odinga wanasubiri tangazo na muelekeo utakaochukuliwa na mgombea huyo wa kiti cha rais kupitia chama cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya katika uchaguzi wa Jumanne iliyopita, baada ya mshindani wake William Ruto wa chama cha UDA kutangazwa mshindi wa uchaguzi huo.

  • Mwito wa amani watolewa huku Wakenya wakiendelea kusubiri matokeo ya urais

    Mwito wa amani watolewa huku Wakenya wakiendelea kusubiri matokeo ya urais

    Aug 15, 2022 04:14

    Viongozi wa kidini na wakuu wa asasi za kiraia wametoa mwito kwa wananchi wa Kenya kuendelea kudumisha amani na kuwa watulivu huku wakisuburi matokeo ya uchaguzi wa rais.

  • Tume ya Uchaguzi Kenya yakanusha madai ya kudukuliwa mfumo wake

    Tume ya Uchaguzi Kenya yakanusha madai ya kudukuliwa mfumo wake

    Aug 12, 2022 14:39

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) imepuuzilia mbali madai kuwa mfumo wake wa kuendesha uchaguzi umedukuliwa, huku Wakenya wakiendelea kusubiri kwa hamu na shauku kuu matokeo rasmi ya mwisho ya uchaguzi wa rais.

  • Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais

    Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais

    Aug 11, 2022 02:56

    Raila Odinga ambaye anagombea kiti rais katika uchaguzi mkuu nchini Kenya kwa chama cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, yupo kifua mbele katika matokeo ya muda, saa chache baada ya mpinzani wake wa karibu anayewania kwa chama cha UDA, William Ruto kuongoza katika matokeo ya awali ya zoezi hilo lililofanyika Jumanne.

  • Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

    Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

    Aug 10, 2022 15:13

    Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha UDA katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, William Ruto anaongoza katika matokeo ya muda ya zoezi hilo la kidemokrasia lililofanyika jana Jumanne.

  • Taifa la Kenya katika mtihani mwingine wa uchaguzi

    Taifa la Kenya katika mtihani mwingine wa uchaguzi

    Aug 09, 2022 02:44

    Wananchi wa Kenya Jumanne ya kesho Agosti 9 wanaelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi watakaowawakilisha na kusimamia masuala muhimu ya nchi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS