-
Kenya na Somalia zakubaliana kushirikiana zaidi ili kuboresha hali ya usalama
Feb 06, 2023 22:56Serikali ya Kenya imetangaza kufungua tena mpaka wa nchi kavu wa nchi hiyo na Somalia kwa lengo la kuboresha hali ya usalama katika mipaka hiyo.
-
Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya
Feb 05, 2023 08:03Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Lodwar- Kakuma eneo la Kakwamunyen, kaunti ya Turkana, kaskazini magharibi mwa Kenya.
-
Mkutano wa kilele wa Somalia waahidi kuchukua "hatua ya mwisho" ya kulimaliza kundi la Al-Shabaab
Feb 02, 2023 03:53Viongozi wa Somalia na nchi jirani wameahidi katika mkutano wa kilele uliofanyika jana Jumatano katika mji mkuu Somalia, Mogadishu, "kuchukua hatua za mwisho" dhidi ya kundi la Al-Shabaab.
-
Kikosi cha pili cha wanajeshi wa Kenya chawasili DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi
Nov 17, 2022 07:13Kundi la pili lal wanajeshi wa Kenya wamewasili katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lililoathiriwa na machafuko na hujuma za waasi. Wanajeshi hao wametumwa Kongo katika fremu ya kikosi cha kudumisha amani cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
-
Kundi la kwanza la wanajeshi wa Kenya latua mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Nov 13, 2022 01:13Wanajeshi wa Kenya jana Jumamosi walitua katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo' ambapo walilakiwa na maafisa husika na wanajeshi wa Kongo katika eneo.
-
Marubani wa Kenya Airways wasitisha mgomo, waanza kazi
Nov 09, 2022 07:34Marubani wa Kampuni ya ndege ya Kenya, Kenya Airways mapema leo wamerejea kazini baada ya muungano wao (Kalpa), kusitisha mgomo uliovuruga safari za ndege kwa siku kadhaa.
-
Shirika la Ndege la Kenya kuwapiga kalamu marubani waliogoma
Nov 05, 2022 23:58Makumi ya maelfu ya wasafiri wa ndani na nje ya nchi wameachwa katika njiapanda katika viwanja vya ndege vya Kenya, baada ya safari zao kukatizwa kutokana na mgomo wa marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ).
-
Marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways kuanza mgomo kesho Jumamosi
Nov 04, 2022 07:52Marubani wa Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways, wanatarajiwa kuanza mgomo kesho kutilia mkazo madai yao ya mazingira bora ya kazi, licha ya mahakama ya nchi hiyo kuamuru mgomo huo usitishwe.
-
Rais wa Kenya atangaza vita dhidi ya waasi wa M23 wa DRC
Nov 02, 2022 23:00Rais William Ruto wa Kenya ametangaza habari ya kutumwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, kwenda kukabiliana na magenge ya wanamgambo likiwemo kundi la waasi la M23.
-
Maisha ya Wakenya milioni nne na laki tatu yako hatarini kutokana na baa la njaa
Oct 08, 2022 03:49Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, ukame uliosababishwa na ukosefu wa mvua za kutosha unahatarisha maisha ya mamilioni ya raia katika eneo la Pembe ya Afrika wakati mashirika ya kutoa misaada yanaendelea kuihimiza jamii ya kimataifa iwasaidie raia wanaoendelea kutaabika kutokana na baa la njaa.