-
'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria kaunti ya Lamu, Kenya
Jan 02, 2020 10:02Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kuteka nyara basi la abiria katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.
-
Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya
Dec 29, 2019 04:25Afisa wa serikali ya Kenya jana alisema kuwa familia zaidi ya 6000 katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoanza mapema wiki jana katika mkesha wa Krismasi.
-
Wakenya wanaoishi nje ya nchi watuma nyumbani dola bilioni 2.546
Dec 21, 2019 21:45Raia wa Kenya wanaoishi na kufanya kazi nje ya nchi hiyo wametuma nyumbani dola bilioni 2.546 za Kimarekani sawa na Ksh. bilioni 256.4 katika kipindi cha miezi 11 ya mwaka 2019 ikiwa ni ongezeko la asilimia 3.8 ikilinganishwa na kipindi sawa na hicho mwaka jana.
-
Gavana wa Nairobi apandishwa kizimbani, akana mashtaka yanayomkabili
Dec 09, 2019 08:54Gavana wa jiji la Nairobi nchini Kenya Mike Mbuvi Sonko, amekana mashtaka yanayomkabili, ya ufisadi na uhalifu wa kiuchumi unaohusisha mamilioni ya dola, wakati alipofikishwa mahakamani mapema leo.
-
Shambulizi la al-Shabaab dhidi ya basi la abiria laua 10 Kenya
Dec 07, 2019 03:45Watu 10 wamethibitishwa kuuawa katika shambulizi dhidi ya basi la abiria linaloaminika kufanywa na genge la kigaidi na kitakfiri al-Shabaab katika kaunti ya Wajir, kaskazini mashariki mwa Kenya mpakani na Somalia.
-
Viongozi wa Kenya wazindua ripoti ya BBI + Sauti
Nov 28, 2019 03:32Viongozi nchini Kenya wamezindua ripoti ya uwiano na utangamano wa kisiasa huku wakifanya juhudi za kuleta muamko mpya wa kisiasa na mshikamano katika kila fani ya maisha nchini humo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa...
-
Zaidi ya familia 50 zahamishwa katika mpaka wa Uganda na Kenya kutokana na mafuriko + Sauti
Nov 25, 2019 12:10Familia zaidi ya 50 zimehamishwa kutoka kwenye mpaka wa Uganda na Kenya kutokana na kuhofia maafa yanayoweza kusababishwa na mvua kubwa zinazonyesha mfululizo. Kigozi Ismail na ripoti zaidi kutoka Kampala.
-
SAUTI, Mkasa wa kusikitisha kuhusiana na tukio la maporomoko ya ardhi na mafuriko nchini Kenya
Nov 25, 2019 07:40Viongozi wa serikali ya Kenya wametangaza habari ya kuongezeka idadi ya wahanga wa mafuriko na maporomoko ya ardhi kuwa imefikia watu 60.
-
Watu 24 wapoteza maisha katika maporomoko ya ardhi Kenya
Nov 23, 2019 09:44Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha magharibi mwa Kenya kufuatia maporomoko ya ardhi katika Kaunti ya West Pokot.
-
UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikomeshwe
Nov 14, 2019 10:58Mmoja kati ya wanawake watatu duniani hukumbana na dhuluma za kijinsia kutoka kwa wapenzi au waume zao.