Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Jun 15, 2019 22:52

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.

  • Bomu la kutegwa ardhini laua askari polisi 10 nchini Kenya + Sauti

    Bomu la kutegwa ardhini laua askari polisi 10 nchini Kenya + Sauti

    Jun 15, 2019 08:11

    Maafisa usalama wasiopungua 10 wameripotiwa kuuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika kaunti ya Wajir, katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Wakenya waandamana jijini Nairobi kupinga mradi wa makaa ya mawe Lamu + Sauti

    Wakenya waandamana jijini Nairobi kupinga mradi wa makaa ya mawe Lamu + Sauti

    Jun 12, 2019 12:06

    Mashirika ya kijamii nchini Kenya yakiongozwa na shirika la deCOALonize la kutetea nishati safi wameandaa maandamano makubwa jijini Nairobi kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kufadhili ujenzi wa kiwanda cha kawi ya mawe kisiwani Lamu katika mpaka wa Kenya na Somalia. Omar Elmawi ni mratibu wa kitaifa wa shirika hilo la deCOALonize. Mwandishi wetu wa Mombasa Kenya Seifullah Murtadha amefanya mahojiano naye na hapa anaanza kuelezea kiini cha maandamano hayo

  • Polisi Kenya wamjeruhi vibaya kwa risasi kijana aliyetaka kuingia Ikulu kwa nguvu + Sauti

    Polisi Kenya wamjeruhi vibaya kwa risasi kijana aliyetaka kuingia Ikulu kwa nguvu + Sauti

    Jun 11, 2019 12:08

    Polisi nchini kenya wamempiga risasi na kumjeruhi vibaya jamaa mmoja aliyekua akijaribu kuingia katika ikulu ya rais jijini Nairobi huku akiwa amejihami kwa kisu mkononi. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.

  • Mkenya atakiwa aukane uraia wa Marekani kabla ya kuwa balozi

    Mkenya atakiwa aukane uraia wa Marekani kabla ya kuwa balozi

    Jun 07, 2019 02:53

    Raia wa Kenya ambaye pia ana uraia wa Marekani ametakiwa aukane uraia wa Marekani kabla ya kuchukua nafasi ya balozi wa Kenya nchini Korea Kusini.

  • Kenya yazindua sarafu mpya Madaraka Day + Sauti

    Kenya yazindua sarafu mpya Madaraka Day + Sauti

    Jun 01, 2019 12:23

    Taifa la kenya limezindua sarafu mpya katika maadhimisho ya 56 ya Madaraka Day ili kupambana na ufisadi. Rais Uhuru Kenyatta amesema kuwa, pasi na kushirikiana ili kuukomesha ufisadi basi ndoto za waanzilishi wa taifa za kuona Kenya ni taifa lililostaarabika katika kila Nyanja, zitashindwa kutimia. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.

  • Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    May 27, 2019 02:51

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kushtadi mvutano kati ya Kenya na Somalia, serikali ya Mogadishu imejibu mapigo na kufuta mikutano yake iliyotazamiwa kufanyika jijini Nairobi.

  • Mahakama ya Kenya yaamuru wahajiri 22 wa Eritrea warudishwe kwao

    Mahakama ya Kenya yaamuru wahajiri 22 wa Eritrea warudishwe kwao

    May 25, 2019 03:46

    Mahakama nchini Kenya imeagiza raia 22 wa Eritrea waliokamatwa siku 10 zilizopita na kushtakiwa kwa kuwa nchini humo kinyume cha sheria warejeshwe nchini kwao.

  • SAUTI, Mahakama Kuu ya Kenya yatupilia mbali pingamizi la mabaradhuli la kutaka kuhalalishwa mahusiano ya jinsia moja

    SAUTI, Mahakama Kuu ya Kenya yatupilia mbali pingamizi la mabaradhuli la kutaka kuhalalishwa mahusiano ya jinsia moja

    May 24, 2019 11:30

    Hatimaye Mahakama Kuu nchini Kenya imechukua uamuzi wa kupongezwa, baada ya kukataa kufuta kifungu cha 162 cha sheria za nchi hiyo kinachoharamisha na kupiga marufuku mahusiano ya jinsia moja (yaani ubaradhuli).

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 09:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS