Kenya yatangaza kampeni kubwa ya kupambana na silaha haramu + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i56259-kenya_yatangaza_kampeni_kubwa_ya_kupambana_na_silaha_haramu_sauti
Msemaji wa serikali ya Kenya amesema kuwa watatumia mkono wa chuma kukabiliana na wale wote wanaomiliki silaha haramu nchini humo. Amesema watu hao watahesabiwa ni wahalifu wenye silaha hatari kwa maisha ya raia. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Sep 26, 2019 22:59 UTC

Msemaji wa serikali ya Kenya amesema kuwa watatumia mkono wa chuma kukabiliana na wale wote wanaomiliki silaha haramu nchini humo. Amesema watu hao watahesabiwa ni wahalifu wenye silaha hatari kwa maisha ya raia. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.