-
Ujumbe wa Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) nchini Kenya + Sauti
May 01, 2019 11:28Jamii ya wafanyakazi nchini Kenya imeitaka serikali kumaliza tatizo la ufisadi ambalo limeshika kasi sana nchini. Hayo yametolewa na wafanyakazi hao katika sherehe za Siku ya Mfanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo pamoja na mambo mengine wameitaka serikali ya Nairobi kuwaandalia mazingira salama ya kazi ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
-
IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini
Apr 21, 2019 23:00Ripoti ya Taasisi ya Masuala ya Uchumi IEA imefichua kuwa, Kenya na Uganda zimefeli kuzuia mzunguko wa pesa haramu zinazotoka katika nchi changa zaidi barani Afrika, Sudan Kusini.
-
'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya
Apr 12, 2019 10:30Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.
-
Kenya yatenga dola milioni 18.8 kukabiliana na njaa
Apr 11, 2019 01:46Kenya imetenga dola milioni 18.8 (Ksh Bilioni 1.88) kukabiliana na baa la njaa nchini humo ambaloo limewaathiri watu takriban milioni 1.1.
-
Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti
Apr 05, 2019 01:51Hatimaye botuba ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na raia wengi wa nchi hiyo imetolewa ingawa haikutimiza matakwa ya wananchi wengi. Sifullah Murtadha na maelezo zaidi
-
Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi
Apr 04, 2019 03:36Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.
-
Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini
Mar 24, 2019 11:07Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.
-
Iran yalalamikia hatua ya Kenya, yamwita nyumbani balozi wake Nairobi kwa mashauriano
Mar 17, 2019 13:36Balozi wa Kenya mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Jamhuri ya Kiislamu kuhusu ukiukaji wa haki za wafungwa wawili Wairani wanaoshikilia nchini Kenya.
-
Wakenya 32 ni miongoni mwa watu 157 walioaga dunia katika ajali ya ndege Ethiopia + Sauti
Mar 10, 2019 13:11Raia 32 wa Kenya ni miongoni mwa abiria 149 na wahudumu wanane, waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege iliyotokea mapema leo nchini Ethiopia.
-
Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia
Mar 06, 2019 23:24Upatanishi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed katika mgogoro wa mpaka wa baharini kati ya Kenya na Somalia umezaa matunda kwa kiasi fulani, baada ya nchi mbili hizo jirani kuafikiana kupunguza taharuki iliyopo kati yao.