Wakenya waandamana jijini Nairobi kupinga mradi wa makaa ya mawe Lamu + Sauti
Jun 12, 2019 12:06 UTC
Mashirika ya kijamii nchini Kenya yakiongozwa na shirika la deCOALonize la kutetea nishati safi wameandaa maandamano makubwa jijini Nairobi kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kufadhili ujenzi wa kiwanda cha kawi ya mawe kisiwani Lamu katika mpaka wa Kenya na Somalia. Omar Elmawi ni mratibu wa kitaifa wa shirika hilo la deCOALonize. Mwandishi wetu wa Mombasa Kenya Seifullah Murtadha amefanya mahojiano naye na hapa anaanza kuelezea kiini cha maandamano hayo
Tags