-
Polisi 1400 wajiuzulu Kenya kwa kupunguziwa mishahara
Mar 19, 2018 11:53Maafisa 1,400 wa polisi wamejiuzulu wakilalamikia hatua ya Tume ya Huduma ya Polisi (NPSC) kupunguza mishahara yao.
-
ICC yatangaza majaji wapya kushughulikia kesi za Kenya zilizoporomoka
Mar 17, 2018 12:29Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imechagua majaji wapya kushughulikia mafaili ya kesi zilizoporomoka za Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na naibu wake, Bw William Ruto kuhusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.
-
Abbas Gullet: Wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini Kenya mwezi huu pekee
Mar 17, 2018 04:22Katibu Mkuu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya ametangaza kuwa, wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini humo tangu kuanza mwezi huu wa Machi.
-
Raia wawili wa Iran wamshitaki mwanasheria mkuu wa Kenya kwa kuwazuia katika mazingira mabaya
Mar 14, 2018 04:08Raia wawili wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini kenya kwa tuhuma za ugaidi, wamemshitaki mwanasheria mkuu wa Kenya kwa hatua yake ya kukaidi agizo la Mahakama ya Juu ya nchi hiyo lililotaka washikiliwe katika mazingira salama.
-
Kenya kuisaidia Somalia kuiumarisha mfumo wa sheria
Mar 09, 2018 03:18Mwanasheria mkuu wa Kenya, Githu Muigai amesema, nchi yake itaisaidia Somalia kuimarisha mfumo wake wa sheria, ili kukabiliana vizuri zaidi na na changamoto za kijamii na kisiasa.
-
SAUTI, Shambulizi la magaidi wa ash-Shabab lililopelekea mauaji ya askari 5 wa Kenya asubuhi ya Ijumaa hii
Mar 02, 2018 13:45Askari polisi watano wa Kenya wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kushambulia kambi mbili za maafisa usalama katika mji wa Fino katika kaunti ya Mandera.
-
Al-Shabaab yaua askari polisi 5 wa Kenya kaunti ya Mandera
Mar 02, 2018 04:24Askari polisi watano wa Kenya wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kushambulia kambi mbili za maafisa usalama katika mji wa Fino katika kaunti ya Mandera.
-
Twaweza: Masikini wanazidi kuwa masikini na matajiri kuwa matajiri zaidi Kenya
Mar 01, 2018 01:21Uchunguzi umeonyesha kwamba, maskini wamezidi kuwa maskini huku wale wenye uwezo wa kifedha wakiendelea kuwa matajiri zaidi nchini Kenya.
-
Serikali ya Kenya yaahidi kukomesha ugaidi unaovuruga elimu
Feb 28, 2018 13:00Serikali ya Kenya imetangaza kuwa imebuni mpango ambao utahakikisha kwamba shughuli za masomo hazitaathiriwa katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo hususan katika Kaunti ya Wajir kutokana na mashambulizi ya kigaidi ya kundi la al Shabab.
-
Maisha nchini Kenya yatabiriwa kuendelea kuwa magumu kutokana na kuendelea hali ya ukame
Feb 16, 2018 01:21Gharama ya maisha kwa raia wa Kenya inatazamiwa kupanda zaidi kutokana na kurefuka kipindi cha kiangazi na ongezeko la bei za mahitaji muhimu ya kuzalisha bidhaa.