-
Stesheni tatu za TV Kenya kuendelea kufungwa kwa kutangaza hafla ya kuapishwa Odinga
Jan 31, 2018 12:02Waziri wa Usalama wa Ndani wa Kenya amesema vituo vitatu vya televisheni vitaendelea kufungwa kwa muda usiojulikana wakati serikali inachunguza hafla ya "kuapishwa" kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo Raila Odinga.
-
Odinga 'aapishwa' kuwa 'rais wa wananchi' Kenya, viongozi wenzake wasusa
Jan 30, 2018 13:21Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga 'ameapishwa' hii leo kuwa 'rais wa wananchi' katika sherehe ilizofanyika katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi.
-
Wasiwasi watanda Kenya huku Odinga akijiandaa kuapishwa kama 'rais'
Jan 30, 2018 04:38Wasiwasi umetanda nchini Kenya hii leo katika siku ambayo Kiongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya, NASA Raila Odinga ametangaza kuwa ataapishwa kama 'rais' hatua ambayo serikali imesema ni uhaini na hukumu yake ni kunyongwa.
-
Kenya yaunda sataliti yake ya kwanza, itarushwa anga za mbali Aprili au Mei
Jan 24, 2018 01:06Kenya imetangaza kuunda satalaiti yake ya kwanza ikiwa ni mafanikio makubwa kwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika uga wa sayansi ya anga za mbali.
-
NASA: Balozi wa Marekani atatue matatizo ya nchi yake inayosambaratika, asiingilie masuala yetu
Jan 22, 2018 04:50Viongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya NASA wamewataka mabalozi wa mataifa ya Magharibi waache mara moja kujihusisha na masuala ya ndani ya Kenya na kusisitiza kuwa watawaapisha viongozi wa muungano huo, yaani Raila Odinga na Kalonzo Musyoka tarehe iliyopangwa.
-
Jitihada za Kudhibiti Homa ya Chikungunya Kenya na Tanzania
Jan 20, 2018 03:59Serikali Kenya na Tanzania ziko mbioni kudhibiti ugonjwa wa Homa ya Chikungunya ambao huambukizwa na mbu aina ya aedes na hauna tiba mahsusi wala kinga.
-
UNICEF yamteua Rais Kenyatta wa Kenya kuwa mtetezi wa uwezeshaji vijana duniani
Jan 20, 2018 03:50Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amekubali ombi la Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto UNICEF, la kumteua kuwa mtetezi wa uwezeshaji vijana duniani.
-
SAUTI, Waislamu Kenya wakasirishwa na hatua ya serikalia kushindwa kutoa radiamali yoyote kwa matusi ya Trump dhidi ya Afrika
Jan 18, 2018 13:11Viongozi wa dini ya Kiislamu nchini Kenya waghadhabishwa mno na hatua ya serikali ya Nairobi ya kuchelewa kuonyesha radiamali kali dhidi ya matamshi machafu ya Rais Donald Trump wa Marekani aliyoyatoa siku chache zilizopita kuwalenga Wafrika na mataifa yao.
-
Kenya yajadili njia za kupambana na hujuma ya silaha za kibaiolojia
Jan 17, 2018 00:49Kenya inapanga mkakati wa kukabiliana na hatari ya silaha za kibiolojia kupitia uwekezaji katika miradi inayolenga kuimarisha hatua za usalama wa kibaiolojia nchini humo.
-
Wakenya walalamikia ongezeko la ughali wa maisha baada ya kupandishwa bei ya mafuta
Jan 16, 2018 05:20Raia wa Kenya wamelalamika ongezeko kubwa la ughali wa maisha nchini mwao kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta.