Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Jaji Mkuu Kenya: Inasikitisha kuona masikini ndio wanaohukumiwa zaidi jela kuliko matajiri

    Jaji Mkuu Kenya: Inasikitisha kuona masikini ndio wanaohukumiwa zaidi jela kuliko matajiri

    Jan 16, 2018 01:09

    Jaji Mkuu nchini Kenya David Maraga, ameonyesha masikitiko yake kwa kile alichosema kuwa, masikini ndio wanaokamatwa na kutupwa jela kulikoni matajiri.

  • Wakenya wamlaani vikali Rais Trump wa Marekani kwa kuzitaja nchi za Afrika kuwa 'chafu'

    Wakenya wamlaani vikali Rais Trump wa Marekani kwa kuzitaja nchi za Afrika kuwa 'chafu'

    Jan 14, 2018 12:26

    Wananchi wa matabaka mbali mbali nchini Kenya wamemlaani vikali rais wa Marekani, Donald Trump ambaye ametoa matusi na matamshi ya kibaguzi kuhusu nchi za Afrika.

  • EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho

    EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho

    Jan 10, 2018 12:43

    Mkuu wa timu ya waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti na Oktoba mwaka uliomalizika 2017 nchini Kenya amesema kampeni zilizotangulia zoezi hilo ziligubikwa na rushwa, utumiaji wa mali za umma na vitisho.

  • Watu 36 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Watu 36 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Dec 31, 2017 04:15

    Watu wasiopungua 36 wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani baina ya lori na basi magharibi mwa Kenya katika barabara ya Nakuru-Eldoret.

  • EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake

    EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake

    Dec 17, 2017 04:43

    Bunge la Afrika Mashariki EALA linatazamiwa kurejelea shughuli zake kuanzia kesho Jumatatu baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake katika chombo hicho cha kieneo.

  • HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    Dec 14, 2017 12:23

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya wanawake walibakwa na maafisa wa polisi wakati wa msimu wa uchaguzi mkuu mwaka huu nchini Kenya.

  • Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds

    Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds

    Dec 08, 2017 23:24

    Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wamelaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutangaza mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha

    Dec 07, 2017 11:30

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya ametahadharisha kuhusu mpango wowote wa kumuapisha kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga kama 'rais wa watu' wiki ijayo.

  • Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Dec 04, 2017 03:41

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Miroslav Lajčák aliyeko ziarani nchini Kenya, amesema maendeleo hayapaswi kusababisha uharibifu wa mazingira.

  • Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji

    Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji

    Nov 30, 2017 13:02

    Ukanda wa Hifadhi za Taifa za Serengeti nchini Tanzania na Maasai Mara nchini Kenya ambao una mojawapo wa maajabu manane ya dunia yanayovutia watalii unakumbwa na tishio la kimazingira kutokana na nchi hizo mbili kuingia katika mgogoro wa kugombania maji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS