-
Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN
Nov 29, 2017 04:52Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema ataapishwa kuwa rais 'halali' wa Kenya Disemba 12, wakati nchi hiyo itakuwa inaadhimisha Siku ya Jamhuri.
-
Uhuru Kenyatta aapishwa kama rais wa Kenya
Nov 28, 2017 13:08Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameapishwa kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili wa miaka mitano mjini Nairobi leo katika sherehe iliyohudhuriwa na maelfu ya wafuasi wake na viongozi kadhaa wa nchi za Afrika.
-
Uhuru kuapishwa leo, kambi ya upinzani yasusia, yaitisha mkutano Jacaranda
Nov 28, 2017 00:05Mivutano ya kisiasa inaonekana kupamba moto zaidi leo nchini Kenya huku vyombo vya usalama vikilinda maeneo muhimu ya jiji la Nairobi kabla ya kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta hii leo kwa ajili ya kipindi cha awamu ya pili.
-
Kenyatta amualika Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake
Nov 25, 2017 00:52Rais Uhuru Kenyatta amemualika 'ndugu yake' Raila Odinga katika sherehe za kuapishwa kwake zikatazofanyika katika mji mkuu Nairobi Jumanne ijayo ya Novemba 28.
-
Kuendelea mivutano baada ya Mahakama ya Juu ya Kenya kuthibitisha ushindi wa Uhuru Kenyatta
Nov 21, 2017 11:10Baada ya kupita wiki kadhaa tangu ulipofanyika uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya na kufuatia kesi zilizofunguliwa mahakamani kutaka matokeo ya uchaguzi huo yabatilishwe, Mahakama ya Juu ya nchi hiyo imetupilia mbali kesi hizo na kuthibitisha ushindi wa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi huo.
-
Rais Rouhani wa Iran ampongeza Rais Kenyatta wa Kenya kwa kuchaguliwa tena
Nov 21, 2017 04:15Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ujumbe wa kumpongeza kufuatia kuchaguliwa tena kuwa rais wa Kenya.
-
Mahakama ya Kilele Kenya yaidhinisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta
Nov 20, 2017 11:11Mahakama ya Kilele nchini Kenya imetupilia mbali kesi mbili zilizokuwa zimewasilishwa kupinga uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26 na hivyo kuidhinisha ushindi wa Uhuru Kenyatta.
-
Jeshi Kenya laua waandamanaji watatu, magari kadhaa yachomwa, Raila arejea nchini
Nov 17, 2017 13:20Watu watatu wameuawa hii leo wakati jeshi la polisi la Kenya lilipojaribu kutawanya waandamanaji waliokusanyika kupokea msafara wa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga aliyerejea nchini mapema leo akitokea nje ya nchi.
-
Mahakama ya Juu ya Kenya kusikiliza kesi ya kupinga uchaguzi wa marudio wa rais
Nov 14, 2017 12:57Mahakama ya Juu ya Kenya leo imeanza kuchunguza kesi za kupinga uchaguzi wa marudio wa rais uliofanyika mwezi uliopita wa Oktoba ambapo Rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta alipata ushindi wa kishindo kufuatia kujiondoa mpinzani wake mkuu Raila Odinga kwenye kinyang'anyiro hicho.
-
WHO yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa virusi vya Marburg Kenya na Uganda
Nov 11, 2017 12:23Shirika la Afya Duniani (WHO) limewatahadharisha wageni wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Mt Elgon juu ya hatari ya kupatwa na ugonjwa wa virusi vya Marburg.