Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Watu 36 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Watu 36 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Dec 31, 2017 04:15

    Watu wasiopungua 36 wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani baina ya lori na basi magharibi mwa Kenya katika barabara ya Nakuru-Eldoret.

  • EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake

    EALA kuanza shughuli zake baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake

    Dec 17, 2017 04:43

    Bunge la Afrika Mashariki EALA linatazamiwa kurejelea shughuli zake kuanzia kesho Jumatatu baada ya Kenya kuwateua wawakilishi wake katika chombo hicho cha kieneo.

  • HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    Dec 14, 2017 12:23

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya wanawake walibakwa na maafisa wa polisi wakati wa msimu wa uchaguzi mkuu mwaka huu nchini Kenya.

  • Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds

    Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds

    Dec 08, 2017 23:24

    Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wamelaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutangaza mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya amuonya Odinga dhidi ya kujiapisha

    Dec 07, 2017 11:30

    Mwanasheria Mkuu wa Kenya ametahadharisha kuhusu mpango wowote wa kumuapisha kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga kama 'rais wa watu' wiki ijayo.

  • Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Dec 04, 2017 03:41

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Miroslav Lajčák aliyeko ziarani nchini Kenya, amesema maendeleo hayapaswi kusababisha uharibifu wa mazingira.

  • Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji

    Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji

    Nov 30, 2017 13:02

    Ukanda wa Hifadhi za Taifa za Serengeti nchini Tanzania na Maasai Mara nchini Kenya ambao una mojawapo wa maajabu manane ya dunia yanayovutia watalii unakumbwa na tishio la kimazingira kutokana na nchi hizo mbili kuingia katika mgogoro wa kugombania maji.

  • Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN

    Odinga 'kujiapisha' Disemba 12, kupinga ushindi wa Kenyatta UN

    Nov 29, 2017 04:52

    Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema ataapishwa kuwa rais 'halali' wa Kenya Disemba 12, wakati nchi hiyo itakuwa inaadhimisha Siku ya Jamhuri.

  • Uhuru Kenyatta aapishwa kama rais wa Kenya

    Uhuru Kenyatta aapishwa kama rais wa Kenya

    Nov 28, 2017 13:08

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameapishwa kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili wa miaka mitano mjini Nairobi leo katika sherehe iliyohudhuriwa na maelfu ya wafuasi wake na viongozi kadhaa wa nchi za Afrika.

  • Uhuru kuapishwa leo, kambi ya upinzani yasusia, yaitisha mkutano Jacaranda

    Uhuru kuapishwa leo, kambi ya upinzani yasusia, yaitisha mkutano Jacaranda

    Nov 28, 2017 00:05

    Mivutano ya kisiasa inaonekana kupamba moto zaidi leo nchini Kenya huku vyombo vya usalama vikilinda maeneo muhimu ya jiji la Nairobi kabla ya kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta hii leo kwa ajili ya kipindi cha awamu ya pili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS