Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kenya yapinga hatua ya Tanzania kupiga mnada zaidi ya Ng’ombe 1,300

    Kenya yapinga hatua ya Tanzania kupiga mnada zaidi ya Ng’ombe 1,300

    Nov 08, 2017 12:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohamed ameilalamikia serikali ya Tanzania kufuatia hatua ya taifa hilo kuwapiga mnada zaidi ya ng’ombe 1,300 walioingia nchini humo kinyume na sheria.

  • Usafiri wasitishwa Mandera, Kenya baada ya hujuma ya magaidi wa Al Shabab

    Usafiri wasitishwa Mandera, Kenya baada ya hujuma ya magaidi wa Al Shabab

    Nov 07, 2017 10:54

    Hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab katika Kaunti ya Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya imepelekea usafiri kusitishwa kwa muda wa siku tatu.

  • Eneo la Pwani latoa wito wa kujitenga na ardhi ya Kenya

    Eneo la Pwani latoa wito wa kujitenga na ardhi ya Kenya

    Nov 03, 2017 23:50

    Viongozi wa eneo la Pwani nchini Kenya wametoa mwito wa kutaka kujitenga eneo hilo na ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Rais wa Zambia awaonya majaji wasifuate mkondo wa wenzao wa Kenya

    Rais wa Zambia awaonya majaji wasifuate mkondo wa wenzao wa Kenya

    Nov 03, 2017 11:01

    Rais Edgar Lungu wa Zambia ametoa tahadhari kwa majaji wa nchi hiyo dhidi ya kufuata mkondo wa majaji wa Kenya wa kumzuia kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • 'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    Nov 01, 2017 12:47

    Shirika moja la haki za binadamu la Kenya limetoa ripoti na kusema kuwa, zaidi ya watu 36 wameshauliwa na polisi tangu tarehe 11 Agosti siku yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi wa kwanza wa rais nchini Kenya hadi hivi sasa.

  • Majaji wa Mahakama ya Kilele ya Kenya wanyimwa ulinzi wa ziada

    Majaji wa Mahakama ya Kilele ya Kenya wanyimwa ulinzi wa ziada

    Nov 01, 2017 04:35

    Serikali ya Kenya imekataa ombi lililowasilishwa na majaji wa Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo wakitaka kupatiwa ulinzi wa ziada baada ya mmoja wa walinzi wao kupigwa risasi na hivyo kuwazuia kusikiliza kesi ililiyowasilishwa mahakamani na wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu ambayo ingepelekea kuakhirishwa uchaguzi wa marudio wa urais wa wiki iliyopita.

  • Uhuru Kenyatta atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa rais Kenya uliosusiwa na mpinzani wake

    Uhuru Kenyatta atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa rais Kenya uliosusiwa na mpinzani wake

    Oct 30, 2017 12:52

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya IEBC Wafula Chebukati amemtangaza Uhuru Kenyatta, mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Jubilee Rais mteule na mgombea wake mwenza William Ruto kuwa Naibu Rais mteule baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa marudio wa rais uliofanyika siku ya Alkhamisi.

  • Ruto: Uchaguzi mwingine Kenya utafanyika 2022, wala sio ndani ya siku 90

    Ruto: Uchaguzi mwingine Kenya utafanyika 2022, wala sio ndani ya siku 90

    Oct 30, 2017 04:34

    Naibu wa Rais wa Kenya amesema uchaguzi mwingine wa rais utafanyika mwaka 2022 kwa mujibu ya miongozo ya Katiba na Sheria za Uchaguzi na wala sio ndani ya siku 90 kama anavyoshinikiza kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga.

  • Wakenya wanasubiri matokeo rasmi ya uchaguzi, Kenyatta atazamiwa kushinda

    Wakenya wanasubiri matokeo rasmi ya uchaguzi, Kenyatta atazamiwa kushinda

    Oct 28, 2017 13:44

    Wakenya wangali wanasuburi matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais wa marudio uliofanyika Alhamisi huku Uhuru Kenyatta akiwa bado anaongoza na akitazamiwa kutangazwa mshindi baada ya kinara wa upinzani Raila Odinga kususia uchaguzi huo.

  • Uhuru Kenyatta aongoza kwa 96%, Odinga ataka uchaguzi mpya ndani ya siku 90

    Uhuru Kenyatta aongoza kwa 96%, Odinga ataka uchaguzi mpya ndani ya siku 90

    Oct 28, 2017 06:14

    Rais Uhuru Kenyatta anaongoza kwa asilimia 96 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa marudio wa urais uliofanyika Alkhamisi iliyopita nchini Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS