-
Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya uliogubikwa na wingu la ususiaji wa wapinzani
Oct 27, 2017 11:39Uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya ulifanyika hapo jana huku ukiwa umesusiwa na wapinzani wa serikali sambamba na kushuhudiwa mivutano ya kisiasa na hali ya wasiwasi nchini humo.
-
Uchaguzi wa marudio wa urais Kenya katika kaunti nne waakhirishwa hadi kesho
Oct 27, 2017 04:32Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imetangaza kuwa zoezi la upigaji kura lilikwamishwa jana katika baadhi ya maeneo kutokana na changamoto za kiusalama na kwamba zoezi hilo litafanyika kesho Oktoba 28.
-
Uhuru aongoza katika matokeo ya uchaguzi wa marudio yaliyotolewa hadi sasa
Oct 27, 2017 01:21Uhuru Kenyatta anaongoza katika matokeo ya uchaguzi wa marudio wa urais uliofanyika jana nchini Kenya huku matokeo yakiendelea kutolewa kutoka vituo mbalimbali vya uchaguzi.
-
SAUTI: Wakenya wanaoishi nchini Tanzania wameshiriki uchaguzi wa marudio, huku wakiwataka wenzao (Kenya) kudumisha amani
Oct 26, 2017 13:06Wakenya wanaoishi nchini Tanzania wameshiriki zoezi la upigaji kura kwa ajili ya kumchagua rais wao katika uchaguzi wa rais wa marudio.
-
Watu kadhaa wauawa na makumi wajeruhiwa katika uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya
Oct 26, 2017 12:54Watu wasiopungua wanne wameuawa katika mkoa wa Nyanza na mji wa Machakos nchini Kenya katika ghasia za uchaguzi wa marudio wa rais uliofanyika leo nchini humo.
-
Wakenya washiriki uchaguzi wa rais wa marudio uliosusiwa na upinzani
Oct 26, 2017 04:41Wananchi wa Kenya waliotimiza masharti ya kupiga kura wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki uchaguzi wa marudio wa urais, ambao umesusiwa na viongozi na wafuasi wa upinzani.
-
Rais wa Kenya ataka uchaguzi ufanyike kwa amani kesho, kiongozi wa upinzani Raila Odinga aususia rasmi
Oct 25, 2017 13:07Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amelihutubia taifa jioni hii na kutoa mwito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa marudio wa Rais na kuhakikisha usalama na amani inadumishwa nchini humo.
-
Mahakama ya Juu Kenya yaakhirisha kesi ya uchaguzi wa marudio kwa ukosefu wa akidi
Oct 25, 2017 04:45Kesi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Juu na watetezi na wanaharakati wa haki za binadamu ya kutaka kuakhirishwa uchaguzi wa rais wa marudio nchini Kenya imekosa kufanyika kutokana na ukosefu wa akidi.
-
Odinga: Wafuasi wetu wasiandamane siku ya uchaguzi wa marudio
Oct 24, 2017 11:35Kinara wa muungano wa upinzani NASA nchini Kenya amewataka wafuasi wa mrengo huo kutofanya maandamano wakati wa uchaguzi wa marudio wa urais unaotazamiwa kufanyika Alkhamisi wiki hii.
-
SAUTI: Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya lawachagua viongozi wapya, watakiwa kutatua matatizo ya Waislamu
Oct 23, 2017 13:20Hatimaye Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya limefanya uchaguzi wa ndani ikiwa ni baada ya kupita zaidi ya miaka 10.