Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • UN na AU zatoa wito wa amani kabla ya uchaguzi wa marudio Kenya

    UN na AU zatoa wito wa amani kabla ya uchaguzi wa marudio Kenya

    Oct 23, 2017 10:24

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimetoa taarifa ya pamoja zikitoa wito kwa wanasiasa na polisi nchini Kenya kuzingatia sheria katika kutatua mgogoro uliopo nchini humo.

  • Helikopta yaanguka Kenya, wanachama wa Jubilee wanaaminika kuaga dunia

    Helikopta yaanguka Kenya, wanachama wa Jubilee wanaaminika kuaga dunia

    Oct 21, 2017 13:31

    Ndege moja aina ya helikopta imeanguka katika ziwa Nakuru nchini Kenya muda mfupi baada ya kuondoka katika hoteli moja mjini humo.

  • Polisi Kenya: Watu 4 wameuawa katika maandamano ya upinzani

    Polisi Kenya: Watu 4 wameuawa katika maandamano ya upinzani

    Oct 20, 2017 13:43

    Polisi ya kenya imesema kuwa watu wanne wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini humo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita huku uchaguzi wa rais wa marudio ukikaribia kufanyika wiki ijayo. Polisi ya Kenya imesema kuwa watu hao waliuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya maafisa polisi na waandamanaji.

  • Chama cha Jubilee chawashitaki viongozi wa NASA kwa kuwashawishi Wakenya kususia uchaguzi

    Chama cha Jubilee chawashitaki viongozi wa NASA kwa kuwashawishi Wakenya kususia uchaguzi

    Oct 20, 2017 01:13

    Katibu Mkuu wa Chama cha Jubelee nchini Kenya, Raphael Tuju amesema kuwa uongozi wa chama hicho umewasilisha kesi katika Mahakama ya Juu ambayo iliagiza uchaguzi wa urais urudiwe.

  • Mmoja wa viongozi wa Tume ya Uchaguzi ya IEBC nchini Kenya ajiuzulu

    Mmoja wa viongozi wa Tume ya Uchaguzi ya IEBC nchini Kenya ajiuzulu

    Oct 18, 2017 11:48

    Mmoja kati ya viongozi wanane wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) nchini Kenya ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo mapema leo Jumatano.

  • Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Upinzani Kenya wasimamisha maandamano, Ruto amtaka Odinga ashiriki uchaguzi

    Oct 17, 2017 11:57

    Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA umetangaza kusimamisha maandamano ya kushinikiza marekebisho kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    HRW, AI: Polisi ya Kenya imeua watu zaidi ya 67 katika maandamano

    Oct 16, 2017 04:47

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch na Amnesty International yamesema polisi ya Kenya imeua watu wasiopungua 50 katika maandamano ya upinzani ya kushinikiza mabadiliko kwenye Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC, kuelekea uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • Askofu asilimu Kenya na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

    Askofu asilimu Kenya na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

    Oct 15, 2017 23:03

    Askofu mmoja nchini Kenya amesilimu akiwa na wafuasi wake na kulibadilisha kanisa lake kuwa msikiti.

  • Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Wapinzani Kenya waendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika tume ya uchaguzi

    Oct 15, 2017 11:32

    Muungano mkuu wa upinzani Kenya, NASA, leo umeendeleza maandamano ya kutaka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.

  • Wanafunzi 6 na mlinzi wauawa baada ya shule kuvamiwa na maharamia Kenya

    Wanafunzi 6 na mlinzi wauawa baada ya shule kuvamiwa na maharamia Kenya

    Oct 14, 2017 06:06

    Kwa akali wanafunzi sita na bawabu wa shule moja katika mji wa Lokichogio, kaskazini mwa Kenya wameuawa baada ya shule yao kuvamiwa na maharamia wanaoaminika kutoka Sudan Kusini, usiku wa kuamkia leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS