Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Watu 3 wauawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya

    Watu 3 wauawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya

    Oct 13, 2017 11:29

    Watu watatu wameripotiwa kuuawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya ambao wanataka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.

  • Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais

    Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais

    Oct 11, 2017 07:24

    Kiongozi wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance (NASA) nchini Kenya ametangaza kuwa, hatagombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki.

  • Odinga ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya

    Odinga ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya

    Oct 10, 2017 13:21

    Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametangaza leo kuwa hatogombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ulioamriwa kuitishwa tena na Mahakama ya Juu ya nchi hiyo ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautokuwa huru na wa haki.

  • Watu wenye silaha wawafyatulia risasi waandamanaji jijini Nairobi, Kenya

    Watu wenye silaha wawafyatulia risasi waandamanaji jijini Nairobi, Kenya

    Oct 09, 2017 11:25

    Habari kutoka Kenya zinaarifu kwamba watu wenye silaha wamefyatua risasi dhidi ya mamia ya waandamanaji wa upinzani waliokuwa wanaelekea zilipo ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) jijini Nairobi, mji mkuu wa Kenya.

  • Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA

    Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA

    Oct 06, 2017 11:39

    Polisi nchini Kenya wamelazimika kutumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa muungano wa upinzani NASA walioandamana katika miji ya Nairobi na Kisumu kushinikiza mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.

  • WFP kupunguza chakula wanachopata wakimbizi nchini Kenya

    WFP kupunguza chakula wanachopata wakimbizi nchini Kenya

    Oct 03, 2017 00:32

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa WPF, litapunguza kwa asilimia 30 mgao wa chakula kwa wakimbizi 420,000 walio kwenye kambi za Daadab na Kakuma nchini Kenya.

  • Kenya kukabiliana na maandamano ya wapinzani

    Kenya kukabiliana na maandamano ya wapinzani

    Sep 29, 2017 11:08

    Serikali ya Kenya imesema maandamano ya muungano wa upinzani Nasa ambayo yamepangwa kuanza Jumatatu yatadhibitiwa na vitengo vya kuimarisha usalama vya nchi hiyo.

  • Polisi Kenya watawanya wapinzani wanaotaka mabadiliko tume ya uchaguzi

    Polisi Kenya watawanya wapinzani wanaotaka mabadiliko tume ya uchaguzi

    Sep 26, 2017 12:36

    Polisi wa kuzima ghasia nchini Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakitaka baadhi ya maafisa wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC wafutwe kazi kabla ya uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26.

  • UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC

    UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC

    Sep 26, 2017 04:20

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesaini mkataba na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) kuhusu zabuni ya karatasi za kupigia kura kwa ajili ya uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

  • DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    Sep 24, 2017 11:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (DPP), Keriako Tobiko ameagiza polisi na Kamisheni ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi EACC kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, kutokana na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwezi uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS