-
Watu 3 wauawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya
Oct 13, 2017 11:29Watu watatu wameripotiwa kuuawa katika maandamano ya wapinzani nchini Kenya ambao wanataka mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi IEBC.
-
Mwangwi wa hatua ya kinara wa chama kikuu cha upinzani Kenya kujiondoa katika uchaguzi wa Rais
Oct 11, 2017 07:24Kiongozi wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance (NASA) nchini Kenya ametangaza kuwa, hatagombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki.
-
Odinga ajitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa marudio wa rais wa Kenya
Oct 10, 2017 13:21Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametangaza leo kuwa hatogombea katika uchaguzi wa marudio wa rais ulioamriwa kuitishwa tena na Mahakama ya Juu ya nchi hiyo ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba akisema kwamba uchaguzi huo hautokuwa huru na wa haki.
-
Watu wenye silaha wawafyatulia risasi waandamanaji jijini Nairobi, Kenya
Oct 09, 2017 11:25Habari kutoka Kenya zinaarifu kwamba watu wenye silaha wamefyatua risasi dhidi ya mamia ya waandamanaji wa upinzani waliokuwa wanaelekea zilipo ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) jijini Nairobi, mji mkuu wa Kenya.
-
Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa NASA
Oct 06, 2017 11:39Polisi nchini Kenya wamelazimika kutumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa muungano wa upinzani NASA walioandamana katika miji ya Nairobi na Kisumu kushinikiza mabadiliko katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.
-
WFP kupunguza chakula wanachopata wakimbizi nchini Kenya
Oct 03, 2017 00:32Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa WPF, litapunguza kwa asilimia 30 mgao wa chakula kwa wakimbizi 420,000 walio kwenye kambi za Daadab na Kakuma nchini Kenya.
-
Kenya kukabiliana na maandamano ya wapinzani
Sep 29, 2017 11:08Serikali ya Kenya imesema maandamano ya muungano wa upinzani Nasa ambayo yamepangwa kuanza Jumatatu yatadhibitiwa na vitengo vya kuimarisha usalama vya nchi hiyo.
-
Polisi Kenya watawanya wapinzani wanaotaka mabadiliko tume ya uchaguzi
Sep 26, 2017 12:36Polisi wa kuzima ghasia nchini Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakitaka baadhi ya maafisa wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC wafutwe kazi kabla ya uchaguzi wa rais wa marudio wa Oktoba 26.
-
UN yajitosa katika uchaguzi wa marudio Kenya, wapinzani kuandamana dhidi ya IEBC
Sep 26, 2017 04:20Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesaini mkataba na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) kuhusu zabuni ya karatasi za kupigia kura kwa ajili ya uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.
-
DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC
Sep 24, 2017 11:03Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (DPP), Keriako Tobiko ameagiza polisi na Kamisheni ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi EACC kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, kutokana na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwezi uliopita.