Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • SAUTI: Kufuatia Rais Kenyatta wa Kenya kujibizana vikali na kiongozi wa upinzani, sasa viongozi wa kisiasa watakiwa kuwa na subira

    SAUTI: Kufuatia Rais Kenyatta wa Kenya kujibizana vikali na kiongozi wa upinzani, sasa viongozi wa kisiasa watakiwa kuwa na subira

    Mar 10, 2017 13:51

    Muungano wa viongozi wa kidini nchini Kenya umetoa tahadhari ya kudhibiti ndimi za wanasiasa kunako kutoa maneno ya uchochezi pale wawapo majukwaani.

  • Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa

    Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa

    Mar 05, 2017 00:24

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatarajiwa kuwasili leo nchini Kenya katika safari ya kikazi ya siku mbili.

  • Vikosi vya usalama vya Kenya vyawekwa katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya Baringo

    Vikosi vya usalama vya Kenya vyawekwa katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya Baringo

    Feb 27, 2017 04:19

    Vikosi vya usalama vya Kenya vimewekwa katika hali ya tahadhari kaskazini magharibi mwa nchi hiyo baada ya kuongezeka mauaji katika Kaunti ya Baringo.

  • Kenya yaomba msaada kwa ajili ya kukabiliana na ukame

    Kenya yaomba msaada kwa ajili ya kukabiliana na ukame

    Feb 21, 2017 04:03

    Serikali ya Kenya imeomba msaada wa mashirika ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na ukame ulioikumba nchi hiyo.

  • Mahakama Kuu ya Kenya yabatilisha uamuzi wa kuifunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab

    Mahakama Kuu ya Kenya yabatilisha uamuzi wa kuifunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab

    Feb 09, 2017 13:18

    Mahakama Kuu ya Kenya imebatilisha mpango uliotangazwa na serikali ya nchi hiyo wa kuifunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab.

  • Kenya kuimarisha sekta ya utalii Halal kwa ajili ya Waislamu

    Kenya kuimarisha sekta ya utalii Halal kwa ajili ya Waislamu

    Feb 05, 2017 03:46

    Kenya imeanzisha mkakati wa huduma za 'Halal' za kitalii kwa ajli ya ongezeko la watalii Waislamu nchini humo.

  • SAUTI: Mahakama ya Haki na Uadilifu ya Kimataifa imetupilia mbali ombi la Kenya la kutaka kutosikilizwa kesi ya mpaka na Somalia

    SAUTI: Mahakama ya Haki na Uadilifu ya Kimataifa imetupilia mbali ombi la Kenya la kutaka kutosikilizwa kesi ya mpaka na Somalia

    Feb 02, 2017 13:48

    Serikali ya Kenya imepoteza ombi lake katika mahakama ya kimataifa kuhusu masuala ya haki, baaya ya kuitaka mahakama hiyo kutosikiliza kesi kuhusu mpaka wake na Somalia.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Al-Shabaab yadai kuua askari 66 wa KDF Somalia, Kenya yakanusha

    Jan 27, 2017 10:16

    Jeshi la Kenya limekadhibisha madai yaliyotolewa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kwamba limeua makumi ya wanajeshi wa KDF katika kambi ya jeshi iliyoko katika mji wa Kulbiyow, kusini mwa Somalia.

  • SAUTI: Wakenya wa kabila la Wanubi walalamikia kusumbuliwa na serikali katika harakati za kusaka vitambulisho vya taifa kuelekea uchaguzi

    SAUTI: Wakenya wa kabila la Wanubi walalamikia kusumbuliwa na serikali katika harakati za kusaka vitambulisho vya taifa kuelekea uchaguzi

    Jan 24, 2017 13:48

    Wakenya wa kabila la Wanubi nchini Kenya wameilalamikia serikali kwa kuwasumbua katika harakati za kusaka vitambulisho vya taifa ambavyo vitawapa haki ya kushiriki uchaguzi wa mwezi Agosti mwaka huu.

  • Polisi mmoja auawa kaskazini mashariki mwa Kenya

    Polisi mmoja auawa kaskazini mashariki mwa Kenya

    Jan 23, 2017 11:38

    Jeshi la polisi nchini Kenya limetangaza habari ya kuuawa afisa mmoja wa polisi wakati wanamgambo wanaosadikiwa ni wa kundi la kigaidi la al Shabab walipotega mabomu katika benki moja na mikahawa miwli huko Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS