Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Rais wa Kenya atoa wito wa kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Gambia kwa njia za amani

    Rais wa Kenya atoa wito wa kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Gambia kwa njia za amani

    Jan 21, 2017 04:29

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametoa wito wa kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Gambia kwa njia za amani.

  • SAUTI: Awamu nyingine ya uandikishaji wa wapigakura nchini Kenya imeanza Jumatatu hii chini ya anga ya tuhuma za wapinzani

    SAUTI: Awamu nyingine ya uandikishaji wa wapigakura nchini Kenya imeanza Jumatatu hii chini ya anga ya tuhuma za wapinzani

    Jan 16, 2017 13:49

    Awamu ya pili ya zoezi la kitaifa la usajili wa wapigakura nchini Kenya limeanza rasmi Jumatatu hii.

  • SAUTI: Serikali ya Kenya yasema, Tumegundua genge la vijana wanaopatiwa mafunzo ya utumiaji silaha haramu kuelekea uchaguzi

    SAUTI: Serikali ya Kenya yasema, Tumegundua genge la vijana wanaopatiwa mafunzo ya utumiaji silaha haramu kuelekea uchaguzi

    Jan 14, 2017 13:41

    Serikali ya Kenya imetangaza kupata ripoti kamilifu za kijasusi kuhusu vijana wanaopata mafunzo ya utumiaji wa silaha kama vile bastola na bunduki.

  • Jamii ya Asia inayoishi Kenya yataka kutambuliwa kama kabila la 44

    Jamii ya Asia inayoishi Kenya yataka kutambuliwa kama kabila la 44

    Jan 13, 2017 04:15

    Wakenya wenye asili ya Asia wameitaka serikali ya Kenya iwatambue kama kabila la 44 na kuwapa haki zao za msingi.

  • SAUTI: Kenya yaonya kuhusu umiliki wa silaha ndogondogo haramu kuelekea uchaguzi

    SAUTI: Kenya yaonya kuhusu umiliki wa silaha ndogondogo haramu kuelekea uchaguzi

    Jan 12, 2017 14:30

    Serikali ya Kenya imeapa kukabiliana na swala la ongezeko la silaha ndogondogo miongoni mwa wananchi wake huku taifa hilo likijiandaa kwa ajili ya uhaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Agosti mwaka huu.

  • Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 2.4 katika hatari ya kufa njaa

    Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 2.4 katika hatari ya kufa njaa

    Jan 07, 2017 04:08

    Shirika la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa, mamilioni ya Wakenya wapo katika hatari ya kukumbana na baa la njaa katika miezi michache ijayo.

  • Madaktari nchini Kenya wakataa nyongeza ya mishahara ya Rais Kenyatta

    Madaktari nchini Kenya wakataa nyongeza ya mishahara ya Rais Kenyatta

    Jan 06, 2017 10:23

    Madaktari nchini Kenya wamekataa nyongeza ya karibuni zaidi iliyopendekezwa na Rais Uhuru Kenyatta ikiwa ni katika juhudi za kujaribu kumaliza mgomo wa madaktari na wahudumu wa afya ambao umedumu kwa mwezi mmoja sasa.

  • Umasikini wapungua Kenya kupitia huduma za pesa kwa simu za mkononi

    Umasikini wapungua Kenya kupitia huduma za pesa kwa simu za mkononi

    Jan 06, 2017 04:39

    Kenya imefanikiwa kupunguza umasikini nchini humo kwa kueneza utumizi wa huduma za pesa kwa simu za mkononi.

  • Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Dec 27, 2016 11:22

    Akthari ya wakimbizi wa Kisomali waliorejeshwa kwa khiari nchini Somalia wamesema ahadi walizopewa kabla ya kurejeshwa nchini humo hazijatekelezwa na sasa baadhi yao wanataka kurejea katika kambi ya Dadaab nchini Kenya.

  • Kenya yazidisha usalama sherehe za Krismasi na mwaka mpya wa 2017

    Kenya yazidisha usalama sherehe za Krismasi na mwaka mpya wa 2017

    Dec 25, 2016 12:27

    Vyombo vya usalama vya Kenya vimechukua hatua kali za kulinda usalama sambamba na sherehe za Krismasi na mwaka mpya wa 2017 kwa ajili ya kukabiliana na tishio lolote la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS