Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya

    Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya

    Dec 23, 2016 13:14

    Huku vuta nikuvute baina ya serikali na mrengo wa upinzani nchini Kenya kuhusiana na mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 ukiwa unaendelea, kinara wa muungano wa upinzani wa CORD Raila Odinga ametahadharisha tena juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini humo.

  • Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi

    Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi

    Dec 23, 2016 12:55

    Viongozi wa kidini nchini Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo asisaini muswada wa marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi ambao uliidhinishwa na Bunge la Kitaifa hapo jana.

  • Iran yaishukuru Kenya kwa kuwaachia huru raia wake waliokamatwa kimakosa

    Iran yaishukuru Kenya kwa kuwaachia huru raia wake waliokamatwa kimakosa

    Dec 16, 2016 04:51

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeishukuru serikali ya Kenya kwa kuwaachia huru mawakili wawili raia wa nchi hii waliokamatwa kimakosa na polisi katika mji mkuu Nairobi, wiki mbili zilizopita.

  • SID: Serikali ya Jubilee nchini Kenya imeshindwa kupambana na ufisadi

    SID: Serikali ya Jubilee nchini Kenya imeshindwa kupambana na ufisadi

    Dec 15, 2016 03:23

    Shirika la kutetea haki za umma la SID limetangaza kuwa SERIKALI ya Jubilee nchini Kenya imetimiza ahadi moja pekee kati ya 30 ilizotoa kuhusiana na mikakati ya kupambana na ufisadi.

  • Kenyatta: Kenya inatathmini kwa kina mpango wa kujiondoa ICC

    Kenyatta: Kenya inatathmini kwa kina mpango wa kujiondoa ICC

    Dec 13, 2016 04:10

    Kwa mara nyingine tena Kenya imeweka bayana azma ya kuangalia upya uhusiano wake na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Kenya yakanusha madai ya kutekwa mji wake mpakani na Somalia

    Kenya yakanusha madai ya kutekwa mji wake mpakani na Somalia

    Dec 12, 2016 03:38

    Vyombo vya usalama nchini Kenya vimekadhibisha habari zilizoenea katika mitandao ya kijamii kuwa mji wa Elwak ulioko katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia umetekwa na wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabaab.

  • Ajali ya lori la mafuta yaua watu wasiopungua 25 nchini Kenya

    Ajali ya lori la mafuta yaua watu wasiopungua 25 nchini Kenya

    Dec 11, 2016 00:09

    Mripuko wa lori lililobeba shehena ya mafuta katika barabara moja kuu nchini Kenya umeua watu wasiopungua 25.

  • Madaktari na wauguzi Kenya watishia kupanua wigo wa mgomo wao

    Madaktari na wauguzi Kenya watishia kupanua wigo wa mgomo wao

    Dec 09, 2016 01:02

    Madaktari na wauguzi wa hospitali za serikali nchini Kenya ambao wanaingia katika siku yao ya tano ya mgomo wao wametishia kuwa watapanua wigo wa mgomo huo endapo serikali haitasikiliza matakwa yao.

  • Mgomo wa madaktari Kenya waingia siku ya 3, 20 waaga dunia

    Mgomo wa madaktari Kenya waingia siku ya 3, 20 waaga dunia

    Dec 07, 2016 03:59

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari na wauguzi katika hospitali za umma nchini Kenya imeongezeka na kufikia watu 20.

  • Madaktari Kenya wagoma, polisi yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya

    Madaktari Kenya wagoma, polisi yatumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya

    Dec 05, 2016 13:39

    Madaktari wanaofanya kazi katika hospitali za serikali nchini Kenya leo wamefanya mgomo wakitaka kutimizwa makubaliano yaliyofikiwa mwaka 2013 kati ya muungano wao na serikali kuhusu kuongezwa mishahara na kuboreshwa mazingira ya kufanyia kazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS