-
Jamii ya Asia inayoishi Kenya yataka kutambuliwa kama kabila la 44
Jan 13, 2017 04:15Wakenya wenye asili ya Asia wameitaka serikali ya Kenya iwatambue kama kabila la 44 na kuwapa haki zao za msingi.
-
SAUTI: Kenya yaonya kuhusu umiliki wa silaha ndogondogo haramu kuelekea uchaguzi
Jan 12, 2017 14:30Serikali ya Kenya imeapa kukabiliana na swala la ongezeko la silaha ndogondogo miongoni mwa wananchi wake huku taifa hilo likijiandaa kwa ajili ya uhaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Agosti mwaka huu.
-
Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 2.4 katika hatari ya kufa njaa
Jan 07, 2017 04:08Shirika la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa, mamilioni ya Wakenya wapo katika hatari ya kukumbana na baa la njaa katika miezi michache ijayo.
-
Madaktari nchini Kenya wakataa nyongeza ya mishahara ya Rais Kenyatta
Jan 06, 2017 10:23Madaktari nchini Kenya wamekataa nyongeza ya karibuni zaidi iliyopendekezwa na Rais Uhuru Kenyatta ikiwa ni katika juhudi za kujaribu kumaliza mgomo wa madaktari na wahudumu wa afya ambao umedumu kwa mwezi mmoja sasa.
-
Umasikini wapungua Kenya kupitia huduma za pesa kwa simu za mkononi
Jan 06, 2017 04:39Kenya imefanikiwa kupunguza umasikini nchini humo kwa kueneza utumizi wa huduma za pesa kwa simu za mkononi.
-
Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab
Dec 27, 2016 11:22Akthari ya wakimbizi wa Kisomali waliorejeshwa kwa khiari nchini Somalia wamesema ahadi walizopewa kabla ya kurejeshwa nchini humo hazijatekelezwa na sasa baadhi yao wanataka kurejea katika kambi ya Dadaab nchini Kenya.
-
Kenya yazidisha usalama sherehe za Krismasi na mwaka mpya wa 2017
Dec 25, 2016 12:27Vyombo vya usalama vya Kenya vimechukua hatua kali za kulinda usalama sambamba na sherehe za Krismasi na mwaka mpya wa 2017 kwa ajili ya kukabiliana na tishio lolote la kigaidi.
-
Indhari ya Odinga juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini Kenya
Dec 23, 2016 13:14Huku vuta nikuvute baina ya serikali na mrengo wa upinzani nchini Kenya kuhusiana na mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 ukiwa unaendelea, kinara wa muungano wa upinzani wa CORD Raila Odinga ametahadharisha tena juu ya kufanyika uchaguzi usio wa kidemokrasia nchini humo.
-
Viongozi wa kidini Kenya wamtaka Uhuru asiidhinishe marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi
Dec 23, 2016 12:55Viongozi wa kidini nchini Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo asisaini muswada wa marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi ambao uliidhinishwa na Bunge la Kitaifa hapo jana.
-
Iran yaishukuru Kenya kwa kuwaachia huru raia wake waliokamatwa kimakosa
Dec 16, 2016 04:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeishukuru serikali ya Kenya kwa kuwaachia huru mawakili wawili raia wa nchi hii waliokamatwa kimakosa na polisi katika mji mkuu Nairobi, wiki mbili zilizopita.