Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Oparesheni ya Kenya ya kukusanya silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Oparesheni ya Kenya ya kukusanya silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Dec 05, 2016 08:50

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa kukusanya silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.

  • Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Dec 05, 2016 03:28

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.

  • SAUTI: Wasiwasi wa kuanza wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi nchini Kenya

    SAUTI: Wasiwasi wa kuanza wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi nchini Kenya

    Nov 30, 2016 14:45

    Idara ya polisi Kenya imetoa tahadhari kufuatia njama ya kundi la Al Shabaab na kundi la kitakfiri la Daesh kupanga kuvamia magari ya umma katika maeneo ya mipaka pamoja na miji ya pwani kama vile Mombasa. Kenya imekuwa ikishambuliwa na magaidi tangu kikosi cha jeshi lake kuelekea nchini Somalia kusaidia kulinda amani katika ngome zinazokaliwa kimabavu na wafuasi wa kundi la ash Shabab.

  • Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Nov 20, 2016 04:40

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kimataifa la kutathmini masuala ya sera umefichua kuwa, Marekani ilishinikiza kufutwa kazi kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Kenya aliyekuwa akisimamia Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS).

  • Kuafiki Kenya uakhirishaji tarehe ya kufunga kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Dadaab

    Kuafiki Kenya uakhirishaji tarehe ya kufunga kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Dadaab

    Nov 18, 2016 04:39

    Hatimaye baada ya mazungumzo magumu, serikali ya Kenya wiki hii imeafiki kuakhirisha tarehe ya kufungwa kambi ya wakimbizi ya Daadab iliyo karibu na mpaka wa nchi hiyo na Somalia.

  • Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Nov 16, 2016 10:16

    Kenya imerefusha muda wa kuwarejesha makwao wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi, ambayo ilitazamiwa kufungwa kikamilifu kufikia mwishoni mwa mwezi huu.

  • Amnesty yaikosoa Kenya kwa kuwafukuza wakimbizi kutoka Somalia

    Amnesty yaikosoa Kenya kwa kuwafukuza wakimbizi kutoka Somalia

    Nov 15, 2016 10:45

    Shirika la haki za binadmau la Amnesty International limeikosoa serikali ya Kenya kwa kuwalazimisha wakimbizi kutoka Somalia kurejea katika nchi yao inayokumbwa na vita na hivyo kuhatarisha maisha yao.

  • Kuondoka askari wa kulinda amani wa Kenya huko Sudan Kusini

    Kuondoka askari wa kulinda amani wa Kenya huko Sudan Kusini

    Nov 10, 2016 09:39

    Katika hali ambayo, vita na mapigano yanaendelea kushuhudiwa katika nchi ya Sudan Kusini, suala la kuondoka nchini humo baadhi ya askari wa kusimamani amani limegeuka na kuwa changamoto nyingine inayoikabili nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake

    Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake

    Nov 05, 2016 00:06

    Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini ameijia juu serikali ya Kenya kwa kumtimua nchini humo msemaji wake James Gatdet Dak na kusisitiza kuwa hatua hiyo imekiuka Hati ya makubaliano ya Geneva.

  • Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini

    Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini

    Nov 03, 2016 12:57

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema taifa hilo halijuti kwa uamuzi wake wa kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki walioko Sudan Kusini chini ya mwavuli wa kikosi maalumu cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa (UNMISS).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS