-
Tanzania na Kenya zakubaliana kujenga barabara mbili unganishi
Nov 01, 2016 04:27Tanzania na Kenya zimekubaliana kuanza kwa wakati ujenzi wa barabara mbili unganishi ambazo zitaboresha usafirishaji wa bidhaa na safari za raia kati ya nchi mbili hizo.
-
Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia
Oct 31, 2016 23:13Jeshi la Ulinzi la Kenya, KDF, limetangaza kuwaua magaidi 140 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Lower Jubba, mjini Afamadow nchini Somalia.
-
Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika
Oct 31, 2016 11:43Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amekanusha madai kuwa serikali yake inazipuuza nchi jirani na kujikita zaidi katika masuala ya ndani.
-
UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela
Oct 30, 2016 03:49Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.
-
Kenya yapiga marufuku kutoka nje usiku mjini Mandera
Oct 28, 2016 01:09Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya kutotembea majira ya usiku kwa muda wa siku 60 eneo la Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera
Oct 25, 2016 04:10Watu 12 wameuawa na wengine wengi kuachwa na majeraha ya risasi baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi, usiku wa jana.
-
Rais Kenyatta awafutia adhabu ya kifo wafungwa 2,747
Oct 24, 2016 12:11Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amebadili hukumu zote za kifo nchini humo na kuzifanya kifungo cha maisha jela.
-
Kenya yatahadharisha madola ya kigeni kuhusu kufadhili vyama vya upinzani
Oct 23, 2016 11:25Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya Justin Muturi ametahadharisha kuhusu mpango wa baadhi ya madola ya kigeni kufadhili kampeni za vyama vya upinzani kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2017.
-
Mbio za kumrithi Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU zashika kasi
Oct 15, 2016 04:52Kinyang'anyiro cha kuwania uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika kimeendelea kupamba moto huku Chad ikimteua Moussa Faki Mahamat, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuwania nafasi hiyo.
-
SAUTI: Mgogoro wa Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wazidi kupanuka na sasa ukiwasukuma watu hao kwenda ikulu
Oct 11, 2016 13:38Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wanaoishi maeneo ya pwani, wameanzisha matembezi ya amani ya umbali wa zaidi ya kilomita 600 kuelekea ikulu ya Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi.