Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Tanzania na Kenya zakubaliana kujenga barabara mbili unganishi

    Tanzania na Kenya zakubaliana kujenga barabara mbili unganishi

    Nov 01, 2016 04:27

    Tanzania na Kenya zimekubaliana kuanza kwa wakati ujenzi wa barabara mbili unganishi ambazo zitaboresha usafirishaji wa bidhaa na safari za raia kati ya nchi mbili hizo.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia

    Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia

    Oct 31, 2016 23:13

    Jeshi la Ulinzi la Kenya, KDF, limetangaza kuwaua magaidi 140 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Lower Jubba, mjini Afamadow nchini Somalia.

  • Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika

    Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika

    Oct 31, 2016 11:43

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amekanusha madai kuwa serikali yake inazipuuza nchi jirani na kujikita zaidi katika masuala ya ndani.

  • UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    Oct 30, 2016 03:49

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.

  • Kenya yapiga marufuku kutoka nje usiku mjini Mandera

    Kenya yapiga marufuku kutoka nje usiku mjini Mandera

    Oct 28, 2016 01:09

    Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya kutotembea majira ya usiku kwa muda wa siku 60 eneo la Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera

    Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera

    Oct 25, 2016 04:10

    Watu 12 wameuawa na wengine wengi kuachwa na majeraha ya risasi baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi, usiku wa jana.

  • Rais Kenyatta awafutia adhabu ya kifo wafungwa 2,747

    Rais Kenyatta awafutia adhabu ya kifo wafungwa 2,747

    Oct 24, 2016 12:11

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amebadili hukumu zote za kifo nchini humo na kuzifanya kifungo cha maisha jela.

  • Kenya yatahadharisha  madola ya kigeni kuhusu kufadhili vyama vya upinzani

    Kenya yatahadharisha madola ya kigeni kuhusu kufadhili vyama vya upinzani

    Oct 23, 2016 11:25

    Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya Justin Muturi ametahadharisha kuhusu mpango wa baadhi ya madola ya kigeni kufadhili kampeni za vyama vya upinzani kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2017.

  • Mbio za kumrithi Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU zashika kasi

    Mbio za kumrithi Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU zashika kasi

    Oct 15, 2016 04:52

    Kinyang'anyiro cha kuwania uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika kimeendelea kupamba moto huku Chad ikimteua Moussa Faki Mahamat, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuwania nafasi hiyo.

  • SAUTI: Mgogoro wa Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wazidi kupanuka na sasa ukiwasukuma watu hao kwenda ikulu

    SAUTI: Mgogoro wa Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wazidi kupanuka na sasa ukiwasukuma watu hao kwenda ikulu

    Oct 11, 2016 13:38

    Jamii ya Wakenya wasiokuwa na uraia wa taifa hilo wanaoishi maeneo ya pwani, wameanzisha matembezi ya amani ya umbali wa zaidi ya kilomita 600 kuelekea ikulu ya Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS