Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Gavana wa Mombasa adai  Masheikhe 24  wameuawa na serikali

    Gavana wa Mombasa adai Masheikhe 24 wameuawa na serikali

    Oct 08, 2016 23:32

    Gavana wa ODM katika kaunti ya Mombasa nchini Kenya ameikosoa vikali serikali kutokana na kukithiri mauaji ya washukiwa mbali mbali na hususan wa ugaidi na kudai kuwa vyombo vya usalama nchini humo vimeua Masheikh zaidi ya 24 katika miaka ya hivi karibuni.

  • Watu sita wauliwa na al Shabab nchini  Kenya

    Watu sita wauliwa na al Shabab nchini Kenya

    Oct 06, 2016 04:24

    Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la kigaidi la al Shabab wamewaua watu sita katika shambulio lililofanywa na kundi hilo leo asubuhi huko Kenya.

  • UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia

    UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia

    Oct 04, 2016 04:32

    Umoja wa Mataifa umesema robo ya wakimbizi wa Kisomali wanaoishi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya wametangaza utayarifu wao wa kurejea nchini kwao Somalia karibuni hivi.

  • Waziri wa Kigeni Kenya, Amina Mohammad, kuwania uenyekiti wa Tume ya AU

    Waziri wa Kigeni Kenya, Amina Mohammad, kuwania uenyekiti wa Tume ya AU

    Oct 03, 2016 11:36

    Serikali ya Kenya imewasilisha jina la Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Bi. Amina Mohamed kuwa mwenyekiti ajaye wa Tume ya Umoja wa Afrika AU.

  • UNHCR imewarejesha wakimbizi zaidi ya 30,000 wa Somalia kutoka Kenya

    UNHCR imewarejesha wakimbizi zaidi ya 30,000 wa Somalia kutoka Kenya

    Sep 30, 2016 04:26

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema kuanzia mwezi Desemba mwaka 2014 wakimbizi zaidi ya elfu 30 wa Somalia wamerejeshwa kwa hiari katika nchi yao kutoka kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • SAUTI: Polisi Kenya: Tumemuua gaidi wa ash-Shabab aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu

    SAUTI: Polisi Kenya: Tumemuua gaidi wa ash-Shabab aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu

    Sep 28, 2016 12:23

    Idara ya polisi nchini Kenya imetangaza kumpiga risasi na kumuua mshukiwa mkuu wa ugaidi nchini humo ambaye amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na jeshi hilo.

  • Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab

    Kenya yatangaza azma ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab

    Sep 27, 2016 11:38

    Afisa wa ngazi za juu katika polisi ya Kenya amesema vikosi vyote vya usalama nchini humo vina azma imara ya kuangamiza kundi la kigaidi la Al Shabab.

  • Rais Rouhani asisitiza kuongezwa kiwango cha ushirikiano kati ya Iran na Kenya

    Rais Rouhani asisitiza kuongezwa kiwango cha ushirikiano kati ya Iran na Kenya

    Sep 25, 2016 13:04

    Rais Hassan Rouhani amesema kustawisha na kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika ni miongoni mwa misingi ya siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • SAUTI: Wakenya wasiokuwa na vitambulisho vya uraia waitisha maandamano makubwa Kenya

    SAUTI: Wakenya wasiokuwa na vitambulisho vya uraia waitisha maandamano makubwa Kenya

    Sep 24, 2016 13:52

    Hatma ya kusajiliwa kwa jamii zisizokuwa na uraia wa taifa la Kenya bado haijafahamika kutokana na kukamilika kwa muda wa usajili wa jamii hizo.

  • SAUTI: Mahojiano maalumu juu ya mazungumzo ya Maspika wa mabunge ya Iran na Kenya

    SAUTI: Mahojiano maalumu juu ya mazungumzo ya Maspika wa mabunge ya Iran na Kenya

    Sep 24, 2016 13:45

    Maspika wa mabunge ya Iran na Kenya wamesisitzia udharura wa kuimarishwa zaidi uhusiano wa nchi hizo mbili katika pande zote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS