Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • SAUTI: Wanachama wa kundi la kitakfiri la ash-Shabab wavamia bohari la silaha la kambi ya polisi

    SAUTI: Wanachama wa kundi la kitakfiri la ash-Shabab wavamia bohari la silaha la kambi ya polisi

    Sep 22, 2016 13:43

    Katika hujuma hiyo wanachama hao wa kigaidi wanadaiwa kutoweka na kiasi kisichojulikana cha risasi na bunduki, sanjari na kumjeruhi vibaya polisi mmoja.

  • Al Shabaab washambulia Kenya, askari polisi wawili hawajulikani waliko

    Al Shabaab washambulia Kenya, askari polisi wawili hawajulikani waliko

    Sep 22, 2016 11:09

    Askari polisi wawili wa Kenya hawajulikani waliko kufuatia shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabaab katika kituo cha polisi cha Kaunti ya Garissa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Hayo yameelezwa na msemaji wa Polisi ya Kenya George Kinoti. 

  • Kenya: Maneva yetu ya kijeshi na Jordan ni kuinua uwezo wetu wa kijeshi

    Kenya: Maneva yetu ya kijeshi na Jordan ni kuinua uwezo wetu wa kijeshi

    Sep 21, 2016 03:50

    Wizara ya Ulinzi nchini Kenya imesema kuwa, maneva ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Jordan yanafanyika katika fremu ya kuinua uwezo wa nguvu kati ya nchi mbili katika kukabiliana na tishio la usalama.

  • SAUTI: Waislamu Kenya walaani kitendo cha kukamatwa na polisi mke wa Sheikh Aboud Rogo

    SAUTI: Waislamu Kenya walaani kitendo cha kukamatwa na polisi mke wa Sheikh Aboud Rogo

    Sep 16, 2016 23:29

    Radiamali ya Waislamu nchini Kenya imeendelea kutolewa kutokana na kamatakamata ya polisi ya nchi hiyo katika kuwasaka wanachama wa genge jipya la wanawake wanaoaminika kuwa wafuasi wa kundi la kigaidi la ash-Shabab.

  • Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Sep 13, 2016 02:29

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamewakana na kuwalaani wanawake watatu waliotekeleza hujuma ya kigaidi dhidi ya kituo cha polisi mjini Mombasa siku ya Jumapili.

  • Polisi Mombasa yazima shambulio la kigaidi, wanawake watatu wauawa

    Polisi Mombasa yazima shambulio la kigaidi, wanawake watatu wauawa

    Sep 11, 2016 09:36

    Polisi ya Mombasa Kenya imetibua shambulio la kigaidi na kuwauwa wanawake watatu waliotaka kutekeleza shambulio hilo katika makao makuu ya polisi mjini humo.

  • Ushindi kwa wanafunzi Waislamu Kenya baada ya mahakama kuruhusu Hijabu shuleni

    Ushindi kwa wanafunzi Waislamu Kenya baada ya mahakama kuruhusu Hijabu shuleni

    Sep 09, 2016 10:18

    Waislamu nchini Kenya wamepata ushindi baada ya Mahakama ya Rufaa nchini humo kuamuru kwamba, wasichana wa Kiislamu nchini humo wanaruhusiwa kuvaa vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu.

  • Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya

    Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya

    Sep 06, 2016 23:46

    Jeshi la Polisi mjini Isiolo nchini Kenya linaendelea kuwasaili watu saba wanaoshikiliwa na jeshi hilo tangu wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash Shabab.

  • Kiongozi wa kanisa Kenya: Wanasiasa wanalifanyia siasa baa la njaa nchini

    Kiongozi wa kanisa Kenya: Wanasiasa wanalifanyia siasa baa la njaa nchini

    Aug 30, 2016 00:00

    Askofu wa Kanisa la Anglikana katika jimbo la Mombasa nchini Kenya Julius Kalu, amewakosoa vikali wanasiasa wa Pwani kwa kulifanyia siasa baa la njaa, ambalo limeathiri pakubwa baadhi ya maeneo ya eneo hilo.

  • Katibu mkuu wa kamati ya olimpiki nchini Kenya atiwa mbaroni kwa ufisadi

    Katibu mkuu wa kamati ya olimpiki nchini Kenya atiwa mbaroni kwa ufisadi

    Aug 27, 2016 02:56

    Duru za usalama nchini Kenya zimeripoti kutiwa mbaroni Katibu Mkuu wa Kamati ya Kitaifa ya Olimpiki nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS