-
SAUTI: Wanachama wa kundi la kitakfiri la ash-Shabab wavamia bohari la silaha la kambi ya polisi
Sep 22, 2016 13:43Katika hujuma hiyo wanachama hao wa kigaidi wanadaiwa kutoweka na kiasi kisichojulikana cha risasi na bunduki, sanjari na kumjeruhi vibaya polisi mmoja.
-
Al Shabaab washambulia Kenya, askari polisi wawili hawajulikani waliko
Sep 22, 2016 11:09Askari polisi wawili wa Kenya hawajulikani waliko kufuatia shambulio la kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabaab katika kituo cha polisi cha Kaunti ya Garissa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Hayo yameelezwa na msemaji wa Polisi ya Kenya George Kinoti.
-
Kenya: Maneva yetu ya kijeshi na Jordan ni kuinua uwezo wetu wa kijeshi
Sep 21, 2016 03:50Wizara ya Ulinzi nchini Kenya imesema kuwa, maneva ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Jordan yanafanyika katika fremu ya kuinua uwezo wa nguvu kati ya nchi mbili katika kukabiliana na tishio la usalama.
-
SAUTI: Waislamu Kenya walaani kitendo cha kukamatwa na polisi mke wa Sheikh Aboud Rogo
Sep 16, 2016 23:29Radiamali ya Waislamu nchini Kenya imeendelea kutolewa kutokana na kamatakamata ya polisi ya nchi hiyo katika kuwasaka wanachama wa genge jipya la wanawake wanaoaminika kuwa wafuasi wa kundi la kigaidi la ash-Shabab.
-
Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui
Sep 13, 2016 02:29Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamewakana na kuwalaani wanawake watatu waliotekeleza hujuma ya kigaidi dhidi ya kituo cha polisi mjini Mombasa siku ya Jumapili.
-
Polisi Mombasa yazima shambulio la kigaidi, wanawake watatu wauawa
Sep 11, 2016 09:36Polisi ya Mombasa Kenya imetibua shambulio la kigaidi na kuwauwa wanawake watatu waliotaka kutekeleza shambulio hilo katika makao makuu ya polisi mjini humo.
-
Ushindi kwa wanafunzi Waislamu Kenya baada ya mahakama kuruhusu Hijabu shuleni
Sep 09, 2016 10:18Waislamu nchini Kenya wamepata ushindi baada ya Mahakama ya Rufaa nchini humo kuamuru kwamba, wasichana wa Kiislamu nchini humo wanaruhusiwa kuvaa vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu.
-
Watuhumiwa saba wa ugaidi watiwa nguvuni Isiolo, Kenya
Sep 06, 2016 23:46Jeshi la Polisi mjini Isiolo nchini Kenya linaendelea kuwasaili watu saba wanaoshikiliwa na jeshi hilo tangu wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash Shabab.
-
Kiongozi wa kanisa Kenya: Wanasiasa wanalifanyia siasa baa la njaa nchini
Aug 30, 2016 00:00Askofu wa Kanisa la Anglikana katika jimbo la Mombasa nchini Kenya Julius Kalu, amewakosoa vikali wanasiasa wa Pwani kwa kulifanyia siasa baa la njaa, ambalo limeathiri pakubwa baadhi ya maeneo ya eneo hilo.
-
Katibu mkuu wa kamati ya olimpiki nchini Kenya atiwa mbaroni kwa ufisadi
Aug 27, 2016 02:56Duru za usalama nchini Kenya zimeripoti kutiwa mbaroni Katibu Mkuu wa Kamati ya Kitaifa ya Olimpiki nchini humo.