Maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wametilia mkazo wajibu wa kushirikiana zaidi katika kupambana na ugaidi na uhalifu wa kitaasisi na kiserikali pamoja na kupambana na mihadarati.
Mawaziri wa Usalama na maafisa wengine wa ngazi za juu wa usalama wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanatazamiwa kukutana leo Alkhamisi kujadili masuala ya amani na changamoto za kiusalama zinazolikabili bara hilo.
Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran itakabiliana na kila aina ya vitisho vya Marekani na madola mengine ya kibeberu.
Viongozi wa nchi tano za eneo la Sahel zinazojumuisha Mauritania, Chad, Burkina Faso, Niger, Mali wamekutana katika kikao cha dharura kujadili hali ya usalama nchini Mali.