Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kimbunga cha al Aqsa

  • Jeshi la utawala wa Kizayuni lakiri kuwa askari wake wawili wameangamizwa Ghaza

    Jeshi la utawala wa Kizayuni lakiri kuwa askari wake wawili wameangamizwa Ghaza

    May 09, 2025 07:20

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa wanajeshi wake wawili wameuawa katika Ukanda wa Ghaza.

  • Israel yakiri rasmi kushindwa katika oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa

    Israel yakiri rasmi kushindwa katika oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa

    Feb 28, 2025 07:31

    Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwa, katika mashambulizi ya Oktoba 7 mwaka 2023 lilishindwa kuwahami walowezi wa utawala huo wanaoishi katika maeneo jirani na Gaza; na kwamba lilifeli katika masaa ya awali mkabala wa mashambulizi ya Hamas.

  • Iran yakanusha madai ya kuhusika na operesheni ya Wapalestina ya Kimbunga cha Al Aqsa

    Iran yakanusha madai ya kuhusika na operesheni ya Wapalestina ya Kimbunga cha Al Aqsa

    Oct 13, 2024 07:10

    Ujumbe wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa na taarifa kuhusu Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyotekelezwa mwaka jana na wapigania ukombozi wa Palestina dhidi ya utawala wa Israel.

  • Kiongozi wa Ansarullah: Marekani ni mshirika na muungaji mkono wa jinai zote za Israel

    Kiongozi wa Ansarullah: Marekani ni mshirika na muungaji mkono wa jinai zote za Israel

    Oct 07, 2024 07:16

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi ni waitifaki, washirika na wafadhili wa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na zinashiriki katika mauaji na maafa dhidi ya taifa la Palestina.

  • Mwanaharakati Nigeria: Kimbunga cha al-Aqsa kilianika udhaifu wa Israel

    Mwanaharakati Nigeria: Kimbunga cha al-Aqsa kilianika udhaifu wa Israel

    Oct 07, 2024 06:17

    Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu nchini Nigeria amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ya Oktoba 7, 2023 iliyofanywa na wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ilifichua namna utawala haramu wa Israel ulivyo dhaifu sanjari na kuugutusha ulimwengu juu ya kadhia ya Palestina.

  • Hizbullah; imara zaidi kuliko wakati wowote

    Hizbullah; imara zaidi kuliko wakati wowote

    Oct 07, 2024 02:41

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki maalumu ambacho kitazungumzia jinsi Hizbullah ya Lebanon ilivyokuwa imara na madhubuti hii leo kuliko wakati mwingine wowote.

  • Wazayuni milioni moja wakimbilia Ulaya na Marekani kufuatia

    Wazayuni milioni moja wakimbilia Ulaya na Marekani kufuatia "Kimbunga cha al Aqsa"

    Aug 18, 2024 07:14

    Wazayuni milioni moja wamekimbia makazi yao katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kuelekea Marekani na katika nchi mbalimbali za Ulaya kufuatia oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa.

  • Iran: Israel haitaweza katu kufidia vipigo vya kushindwa ilivyopata tangu Kimbunga cha Al-Aqsa hadi sasa

    Iran: Israel haitaweza katu kufidia vipigo vya kushindwa ilivyopata tangu Kimbunga cha Al-Aqsa hadi sasa

    Aug 12, 2024 03:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, licha ya jinai na mauaji ya kutisha uliyofanya dhidi ya Wapalestina, Utawala wa Kizayuni wa Israel hautaweza katu kufidia vipigo vya kushindwa kistratejia ulivyopata tangu ilipotekelezwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa hadi sasa.

  • Sayyid Nasrullah: Waislamu hivi sasa wameshikamana kutokana na Kimbunga cha al Aqsa

    Sayyid Nasrullah: Waislamu hivi sasa wameshikamana kutokana na Kimbunga cha al Aqsa

    Jul 17, 2024 11:03

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mshikamano unaoonekana hivi sasa na kupungua mivutano katika safu za Waislamu ni katika mafanikio makubwa ya operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa iliyoongozwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Wimbi la kimataifa la kuwaunga mkono watu wa Gaza

    Wimbi la kimataifa la kuwaunga mkono watu wa Gaza

    Apr 08, 2024 07:44

    Kufanyika Mkutano wa Kimataifa wa Kimbunga cha Al-Aqsa huko Kuala Lumpur, mji mkuu wa Malaysia kwa kuhudhuriwa na makumi ya asasi zisizo za kiserikali, wasomi, wanafikra, mwakilishi maalum wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi kadhaa za Asia, kunaoneysha wimbi kubwa la uungaji mkono wa kimataifa kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Ghaza dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS