Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi Muadhamu: Mwenyezi Mungu amemfanya shahidi Hojaji kuwa kipenzi cha watu

    Kiongozi Muadhamu: Mwenyezi Mungu amemfanya shahidi Hojaji kuwa kipenzi cha watu

    Sep 27, 2017 10:33

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, ikhlasi, nia safi na kufanya harakati kwa wakati na kuhitajia jamii kuuawa shahidi kama huku ni mambo ambayo yamepelekea Mwenyezi Mungu amfanye shahidi Mohsen Hojaji kuwa kipenzi cha watu wote.

  • Kiongozi Muadhamu ashiriki katika kuuaga mwili wa shahid Hojaji

    Kiongozi Muadhamu ashiriki katika kuuaga mwili wa shahid Hojaji

    Sep 27, 2017 06:30

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alfajiri ya leo Jumatano amekwenda katika Msikiti wa Imam Husain AS hapa Tehran na kuusomea Faatiha mwili mtoharifu wa shahid Mohsen Hojaji, aliyeuliwa shahidi na magaidi wa Daesh wakati akilinda Haram ya mjukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW, Bibi Zaynab al Kubra AS nchini Syria.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Wamarekani wanapaswa kuona aibu kwa kuwa na Rais kama Trump

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Wamarekani wanapaswa kuona aibu kwa kuwa na Rais kama Trump

    Sep 21, 2017 11:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amekosoa vikali matamshi ya kipumbavu, kijinga na yaliyojaa urongo yaliyotolewa na Rais wa Marekani katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kusema kuwa: Matamshi hayo hayakutokana na nguvu bali yametokana na ghadhabu, kuchanganyikiwa na akili finyu.

  • Kiongozi Muadhamu: Ufumbuzi wa suala la Myanmar ni nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo

    Kiongozi Muadhamu: Ufumbuzi wa suala la Myanmar ni nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo

    Sep 12, 2017 03:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya na kutochukua hatua jumuiya za kimataifa na wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na matukio ya maafa yanayojiri Myanmar na kusisitiza kwamba: Njia ya utatuzi wa kadhia hii ni kuchukuliwa hatua za kivitendo na nchi za Kiislamu na kuishinikiza kisiasa na kiuchumi serikali isiyo na huruma ya Myanmar.

  • Kiongozi Muadhamu: Kulindwa moyo wa kimapinduzi na kidini katika udiplomasia ni jambo la dharura

    Kiongozi Muadhamu: Kulindwa moyo wa kimapinduzi na kidini katika udiplomasia ni jambo la dharura

    Aug 26, 2017 11:22

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumamosi ameonana na Rais Rouhani na baraza lake la mawaziri na kusema kuwa, kulindwa msimamo na muelekeo wa kimapinduzi na kidini katika siasa za kigeni za Iran ni jambo muhimu sana.

  • Ayatullah Shahroudi ateuliwa Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Ayatullah Shahroudi ateuliwa Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Aug 14, 2017 10:52

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemteua Ayatullah Sayyid Mahmoud Hashemi Shahroudi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa muhula wa miaka mitano.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aidhinisha kura za wananchi na kumpasisha Rouhani kuwa Rais wa Iran

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aidhinisha kura za wananchi na kumpasisha Rouhani kuwa Rais wa Iran

    Aug 03, 2017 03:51

    Sherehe ya kuidhinisha kura za wananchi kwa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu zimefanyika leo asubuhi katika Husseiniya ya Imamu Khomeini (M.A) hapa Tehran kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kumpasisha Hassan Rouhani kuwa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu alishukuru jeshi la SEPAH, kwa kushambulia maeneo ya magaidi Syria

    Kiongozi Muadhamu alishukuru jeshi la SEPAH, kwa kushambulia maeneo ya magaidi Syria

    Jul 05, 2017 23:40

    Saa moja baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH kushambulia kwa makombora maeneo ya magaidi wa kundi la Daesh huko Deir Ezzor nchini Syria, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na makamanda wa SEPAH na kuwashukuru kutokana na hatua yao hiyo.

  • Kiongozi Muadhamu: Ni wajibu kwa Umma wa Kiislamu kupambana na Israel

    Kiongozi Muadhamu: Ni wajibu kwa Umma wa Kiislamu kupambana na Israel

    Jun 26, 2017 11:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa, kwa mujibu wa fiqhi ya Kiislamu, Waislamu wote wanawajibika kupambana na kupigana jihadi kwa kutumia njia zote zinazowezekana dhidi ya adui anayevamia na kukalia kwa mabavu ardhi ya Kiislamu; kwa msingi huo hii leo ni wajibu kwa ulimwengu mzima wa Kiislamu kupambana na utawala ghasibu wa Israel.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Wajibu wa kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Wajibu wa kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jun 26, 2017 09:17

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei leo amehutubia Baraza la Iddil Fitri lililowakutanisha pamoja viongozi, matabaka mbalimbali ya wananchi na mabalozi wa nchi za Kiislamu mjini Tehran na akisisitiza kuwa kupuuza na kulisahaulisha suala la Palestina ni hatari kubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS