-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran
Jun 09, 2017 03:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa ujumbe wa rambirambi kwa mnasaba wa mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika siku chache zilizopita mjini Tehran akisisitiza kuwa, jinai hiyo haiwezi kutia doa katika irada na azma ya taifa la Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Magaidi hawawezi kufua dafu mbele ya irada ya taifa la Iran
Jun 08, 2017 00:22Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alasiri ya jana alihutubia hadhara ya wanafunzi wa vyuo vikuu waliokwenda kuonana naye na kusema kuwa, mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana mjini Tehran hayawezi kutia doa katika irada na azma kubwa ya taifa na viongozi wa Iran.
-
Hauli ya Imam Khomeini (MA) kufanyika kesho; Kiongozi Muadhamu atahutubia waombolezaji
Jun 03, 2017 10:41Hauli ya mwaka wa 28 tangu alipoaga dunia mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (MA) itafanyika kesho kwenye haram ya kiongozi huyo ambapo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anatazamiwa kuhutubia umma wa wananchi watakaohudhuria hauli hiyo.
-
Kiongozi Muadhamu atoa dola 85,000 ili kuachiliwa wafungwa walio na madeni
May 29, 2017 23:08Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa kiasi cha dola 85,000 kwa lengo la kusaidia kuachiliwa huru wafungwa wenye makosa yasiyo ya kukusudia ikiwa ni katika kulipa fidia ya makosa yao.
-
Kiongozi Muadhamu: Kujitetea kutakatifu ni athari muhimu kwa ajili ya leo na kesho
May 25, 2017 00:46Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa moja ya masomo ya kudumu milele ya kipindi cha kujitetea kutakatifu ni kwamba kumtegemea Mwenyezi Mungu kivitendo na kujitolea nafsi, bila shaka kunawawezesha waumini kuzishinda changamoto mbalimbali zinazowakabili maishani.
-
Kiongozi Muadhamu awataka wananchi wa Iran wajitokeze kwa wingi katika uchaguzi wa leo
May 19, 2017 00:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa leo.
-
Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya mgodi wa madini Iran
May 04, 2017 10:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole kufuatia kufadiki dunia wachimba migodi katika mkoa wa Golestan wa kaskazini mashariki mwa Iran na kusema kuwa, kuna wajibu wa kuchukuliwa hatua madhubuti za kuwaokoa watu waliokwama ndani ya mgodi huo.
-
Rouhani: JCPOA imetekelezwa kwa mujibu wa miongozo ya Kiongozi Muadhamu
Apr 30, 2017 11:43Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza makubaliano ya nyuklia ya Vienna kwa mujibu wa miongozo ya busara ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Sisitizo la Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu juu ya kulindwa utambulisho wa Kiislamu na maarifa ya Qur'ani
Apr 28, 2017 03:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta kabisa utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei alisema hayo jana Alkhamisi alipokutana na maustadhi, maqarii na mahufadhi wa Qur'ani Tukufu walioshiriki katika Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani hapa nchini Iran kutoka nchi 83 za dunia na kubainisha kwamba, utambulisho wa Kiislamu unazuia uingiliaji na ubeberu wa maadui.
-
Kiongozi Muadhamu: Uislamu ndio sababu ya uadui wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran
Apr 25, 2017 11:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zinaipinga Iran ya Kiislamu kwa kuwa Uislamu umedhihiri nchini hapa na ndio unaozuia tamaa zao.