-
Kiongozi Muadhamu: Hujuma ya Marekani Syria ni kosa la kistratijia
Apr 09, 2017 16:42Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kusema: "Ni jambo linalotarajiwa kwa Marekani kutenda jinai na kukiuka mambo na kudhulumu na imewahi kuyafanya hayo katika maeneo mengine duniani."
-
Hizbullah: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mhuishaji halisi wa Uislamu
Apr 05, 2017 04:09Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kiongozi wa kipekee katika zama hizi na mhuishaji halisi wa Uislamu kifikra na kivitendo.
-
"Kiongozi Muadhamu katu hatoruhusu vitisho kutoka kwa maadui"
Mar 10, 2017 15:51Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, katu hatokubali vitisho na chokochoko za maadui.
-
Kiongozi Muadhamu: Misitu na rasilimali inapasa vilindwe na uvamizi wa wafanyabiashara
Mar 08, 2017 16:29Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi amepanda miche miwili ya miti ya matunda katika maadhimisho ya Wiki ya Rasilimali za Maliasili nchini.
-
Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani
Feb 28, 2017 02:45Msomi na mtafiti wa nchini Algeria sambamba na kupongeza hotuba ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kongamano la kimataifa la kuunga mkono Intifadha ya Palestina hapa mjini Tehran kwa kuitaja kama kadhia ya Palestina kama maudhui kuu ya ulimwengu wa Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee duniani ambayo imeweza kuhuisha kadhia hiyo.
-
Kiongozi Muadhamu: Matatizo yote ya M/Kati yanasababishwa na Marekani
Feb 11, 2017 16:45Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, matatizo yote ya eneo la Mashariki ya Kati ni uingiliaji wa baadhi ya madola makubwa ikiwemo Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili.
-
Ayatullah Khamenei amjibu Trump: Iran haimuogopi yeyote, Marekani isubiri majibu 10 Februari
Feb 07, 2017 13:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran litajibu vitisho vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ijumaa ijayo.
-
Rais Rouhani: Ayatullah Rafsanjani alikuwa msaidizi imara wa Kiongozi Muadhamu
Jan 16, 2017 07:32Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani aliyekuwa Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran, ni msiba mkubwa ambao umepelekea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kupoteza tegemeo lake kubwa."
-
Ayatullah Rafsanjani kuzikwa leo, Swala ya maiti inaongozwa na Ayatullah Ali Khamenei
Jan 10, 2017 04:35Ofisi ya Hamlashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu nchini Iran imetangaza kuwa, mwili wa marehemu Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani utazikwa leo baada ya Swala ya maiti itakayoongozwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhmaa Ali Khamenei.
-
Kiongozi: Ni lazima Iran iimarishe uwezo wake
Dec 27, 2016 14:38Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran inapaswa kuendelea kuimarisha nguvu zake ili kukabiliana na aina mbali mbali za maadui.