Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Rouhani: JCPOA imetekelezwa kwa mujibu wa miongozo ya Kiongozi Muadhamu

    Rouhani: JCPOA imetekelezwa kwa mujibu wa miongozo ya Kiongozi Muadhamu

    Apr 30, 2017 11:43

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza makubaliano ya nyuklia ya Vienna kwa mujibu wa miongozo ya busara ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.

  • Sisitizo la Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu juu ya kulindwa utambulisho wa Kiislamu na maarifa ya Qur'ani

    Sisitizo la Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu juu ya kulindwa utambulisho wa Kiislamu na maarifa ya Qur'ani

    Apr 28, 2017 03:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta kabisa utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei alisema hayo jana Alkhamisi alipokutana na maustadhi, maqarii na mahufadhi wa Qur'ani Tukufu walioshiriki katika Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani hapa nchini Iran kutoka nchi 83 za dunia na kubainisha kwamba, utambulisho wa Kiislamu unazuia uingiliaji na ubeberu wa maadui.

  • Kiongozi Muadhamu: Uislamu ndio sababu ya uadui wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran

    Kiongozi Muadhamu: Uislamu ndio sababu ya uadui wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran

    Apr 25, 2017 11:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zinaipinga Iran ya Kiislamu kwa kuwa Uislamu umedhihiri nchini hapa na ndio unaozuia tamaa zao.

  • 40 wapoteza maisha katika mafuriko Iran, Kiongozi Muadhamu atoa kauli

    40 wapoteza maisha katika mafuriko Iran, Kiongozi Muadhamu atoa kauli

    Apr 16, 2017 02:53

    Makumi ya watu wamepoteza maisha katika janga la mafuriko kwenye mikoa ya kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Hujuma ya Marekani Syria ni kosa la kistratijia

    Kiongozi Muadhamu: Hujuma ya Marekani Syria ni kosa la kistratijia

    Apr 09, 2017 12:12

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kusema: "Ni jambo linalotarajiwa kwa Marekani kutenda jinai na kukiuka mambo na kudhulumu na imewahi kuyafanya hayo katika maeneo mengine duniani."

  • Hizbullah: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mhuishaji halisi wa Uislamu

    Hizbullah: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mhuishaji halisi wa Uislamu

    Apr 04, 2017 23:39

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kiongozi wa kipekee katika zama hizi na mhuishaji halisi wa Uislamu kifikra na kivitendo.

  • "Kiongozi Muadhamu katu hatoruhusu vitisho kutoka kwa maadui"

    Mar 10, 2017 12:21

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, katu hatokubali vitisho na chokochoko za maadui.

  • Kiongozi Muadhamu: Misitu na rasilimali inapasa vilindwe na uvamizi wa wafanyabiashara

    Kiongozi Muadhamu: Misitu na rasilimali inapasa vilindwe na uvamizi wa wafanyabiashara

    Mar 08, 2017 12:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi amepanda miche miwili ya miti ya matunda katika maadhimisho ya Wiki ya Rasilimali za Maliasili nchini.

  • Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Feb 27, 2017 23:15

    Msomi na mtafiti wa nchini Algeria sambamba na kupongeza hotuba ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kongamano la kimataifa la kuunga mkono Intifadha ya Palestina hapa mjini Tehran kwa kuitaja kama kadhia ya Palestina kama maudhui kuu ya ulimwengu wa Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee duniani ambayo imeweza kuhuisha kadhia hiyo.

  • Kiongozi Muadhamu: Matatizo yote ya M/Kati yanasababishwa na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Matatizo yote ya M/Kati yanasababishwa na Marekani

    Feb 11, 2017 13:15

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, matatizo yote ya eneo la Mashariki ya Kati ni uingiliaji wa baadhi ya madola makubwa ikiwemo Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS