Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi: Makundi ya kigaidi kama ISIS yametokana na uingiliaji wa madola makubwa

    Kiongozi: Makundi ya kigaidi kama ISIS yametokana na uingiliaji wa madola makubwa

    Nov 22, 2016 13:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matukio machungu na ya kusikitisha katika eneo na nafasi ya baadhi ya madola makubwa katika kulazimisha ukosefu wa uthabiti na vita katika mataifa na kusistiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikitoa wito kwa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi yenye harakati katika kukabiliana na mashinikizo dhidi ya mataifa na inayataka yasikae kimya na kuwa watazamaji."

  • Ayatullah Khamenei: Iran haina hukumu yoyote kuhusu uchaguzi wa Marekani

    Ayatullah Khamenei: Iran haina hukumu yoyote kuhusu uchaguzi wa Marekani

    Nov 16, 2016 10:55

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina hukumu ya aina yoyote kuhusu uchaguzi wa rais wa Marekani na kuongeza kuwa, Iran daima imekuwa ikishuhudia uadui kutoka kwa vyama viwili vikuu vya Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Muungano wa Magharibi hauna nia ya kweli ya kuutokomeza ugaidi

    Kiongozi Muadhamu: Muungano wa Magharibi hauna nia ya kweli ya kuutokomeza ugaidi

    Oct 25, 2016 13:14

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema nchi zenye misimamo huru zinapaswa kuimarisha uhusiano baina yao na kutoathiriwa na siasa za madola ya Kiistikbari ili kuweza kuzima moto wa hitilafu na mapigano uliowashwa na madola hayo.

  • Kiongozi: Ni marufuku kwa Serikali, Bunge, Mahakama, vikosi vya ulinzi, kuingilia uchaguzi Iran

    Kiongozi: Ni marufuku kwa Serikali, Bunge, Mahakama, vikosi vya ulinzi, kuingilia uchaguzi Iran

    Oct 15, 2016 12:28

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametumia haki yake aliyopewa na kifungu nambari 110 cha Katiba, kuwasilisha siasa kuu za uchaguzi baada ya kushauriana na Halmashauri ya Kuainisha Maslahi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu

    Oct 04, 2016 11:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.

  • Kiongozi: Kuwakumbuka mashahidi ni nukta muhimu ya kukabiliana na njama za adui

    Kiongozi: Kuwakumbuka mashahidi ni nukta muhimu ya kukabiliana na njama za adui

    Oct 02, 2016 10:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.

  • Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran yawe tayari kukabiliana na adui

    Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran yawe tayari kukabiliana na adui

    Sep 28, 2016 10:26

    Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa majeshi nchini kujiimarisha kiitikadi, kielimu na kinidhamu sambamba na kuwapa wanajeshi vijana uzoefu wa zama za Kujihami Kutakatifu.

  • Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi katika kubainisha tukio la Ghadir

    Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi katika kubainisha tukio la Ghadir

    Sep 21, 2016 04:40

    Kiongozi Maudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, jana alikutana na maelfu ya wananchi wa matabaka mbalimbali kwa mnasaba wa Sikukuu ya Ghadir Khum ambapo mbali na kutoa mkono wa pongezi, heri na baraka kwa Waislamu alizungumzia umuhimu wa tukio la kihistoria la Ghadir katika pande tofauti.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aupongeza msafara wa michezo ya Paralimpiki

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aupongeza msafara wa michezo ya Paralimpiki

    Sep 19, 2016 09:33

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kwa msafara wa michezo ya Paralimpiki wa "Mashahidi wa Mina" na kueleza kwamba:"Mliyofanya ni ya kujivunia na mumelifurahisha taifa la Iran".

  • Kiongozi Muadhamu: Kutoiamini hata chembe Marekani ni sehemu ya nguvu laini za Iran

    Kiongozi Muadhamu: Kutoiamini hata chembe Marekani ni sehemu ya nguvu laini za Iran

    Sep 18, 2016 10:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) ni "ngome imara ya Mapinduzi" na "chombo muhimu cha kulinda usalama wa ndani na nje".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS