-
Kiongozi Muadhamu: Usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu
Oct 04, 2016 15:07Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.
-
Kiongozi: Kuwakumbuka mashahidi ni nukta muhimu ya kukabiliana na njama za adui
Oct 02, 2016 13:56Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.
-
Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran yawe tayari kukabiliana na adui
Sep 28, 2016 13:56Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa majeshi nchini kujiimarisha kiitikadi, kielimu na kinidhamu sambamba na kuwapa wanajeshi vijana uzoefu wa zama za Kujihami Kutakatifu.
-
Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi katika kubainisha tukio la Ghadir
Sep 21, 2016 08:10Kiongozi Maudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, jana alikutana na maelfu ya wananchi wa matabaka mbalimbali kwa mnasaba wa Sikukuu ya Ghadir Khum ambapo mbali na kutoa mkono wa pongezi, heri na baraka kwa Waislamu alizungumzia umuhimu wa tukio la kihistoria la Ghadir katika pande tofauti.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aupongeza msafara wa michezo ya Paralimpiki
Sep 19, 2016 14:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kwa msafara wa michezo ya Paralimpiki wa "Mashahidi wa Mina" na kueleza kwamba:"Mliyofanya ni ya kujivunia na mumelifurahisha taifa la Iran".
-
Kiongozi Muadhamu: Kutoiamini hata chembe Marekani ni sehemu ya nguvu laini za Iran
Sep 18, 2016 14:31Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) ni "ngome imara ya Mapinduzi" na "chombo muhimu cha kulinda usalama wa ndani na nje".
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi aonana na maafisa wa Kituo cha Takwimu cha Iran
Sep 13, 2016 14:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa takwimu na taarifa sahihi, zenye muelekeo na za kisayansi ni msingi mkuu wa uchukuaji maamuzi ya kiutendaji kwa ajili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Hija; ukumbusho wa jinai za Aal Saud
Sep 06, 2016 06:44Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumatatu alituma ujumbe maalumu kwa mnasaba wa ibada adhimu ya Hija na kueleza kwamba msimu wa Hija kwa Waislamu ni msimu wa kujivunia na wa adhama mbele ya macho ya viumbe; na ni msimu wa kunawirisha nyoyo na kudhihirisha khushuu na unyenyekevu mbele ya Muumba.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuimarishwa uwezo wa kujihami na kushambulia
Sep 01, 2016 07:50Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Iran siku ya Jumatano alisisitiza ulazima wa nchi hii kujiimarisha katika sekta za kujihami na kumshambulia adui.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kudhoofisha azma ya adui ya kutaka kuishambulia Iran
Aug 29, 2016 12:41Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, adui anapaswa ajue kwamba, kama atajaribu kuishambulia Iran atapata kipigo kikali. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameyasema hayo katika mkutano na makamanda na maafisa wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi cha Khaatamul-Anbiyaa.