Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Rais Rouhani: Kiongozi Muadhamu amewapa motisha wanasayansi kwa kupigwa chanjo ya Iran

    Rais Rouhani: Kiongozi Muadhamu amewapa motisha wanasayansi kwa kupigwa chanjo ya Iran

    Jun 26, 2021 12:48

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema hatua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya kupigwa chanjo ya Corona ya COVIran Barekat imewapa motisha na kuwashajiisha wanasayansi wa Jamhuri ya Kiislamu walioizalisha chanjo yenyewe.

  • Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran ndiye mshindi mkuu wa uchaguzi, mliochaguliwa chapeni kazi

    Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran ndiye mshindi mkuu wa uchaguzi, mliochaguliwa chapeni kazi

    Jun 19, 2021 14:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza hatua ya kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi mkuu wa jana Ijumaa na kusisitiza kuwa, 'washindi wakuu wa uchaguzi ni wananchi wenyewe, ambao azma yao thabiti haikuvunjwa moyo na ama janga (la Corona) au njama za kuwakatisha tamaa.

  • Kiongozi Muadhamu asikitishwa na kifo cha Shahidi Jenerali Hijazi

    Kiongozi Muadhamu asikitishwa na kifo cha Shahidi Jenerali Hijazi

    Apr 19, 2021 07:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole na kueleza juu ya kusikitishwa kwake na kifo cha Brigedia Jenerali Mohammad Hosseinzadeh Hijazi, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambaye ameaga dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 65, kutokana na mshtuko wa moyo.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA

    Apr 16, 2021 03:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, siasa za Iran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ziko wazi, na maafisa wanaoshiriki kwenye mazungumzo ya kuhuishwa makubaliano hayo wanapaswa kuwa macho ili yasirefushwe kupita kiasi, suala ambalo lina madhara kwa taifa.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu JCPOA; Iran haina haraka

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu JCPOA; Iran haina haraka

    Mar 23, 2021 09:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Marekani inapaswa kufuta vikwazo vyote, kisha Iran ichunguze na kutathmini ukweli wa hatua hiyo, na endapo itathibiti kweli kwamba, vikwazo hivyo vimeondolewa, basi taifa hili litarejea bila tatizo lolote katika utekelezaji wa ahadi zake kwa mujibu wa makubaliano hayo.

  • Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi

    Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi

    Feb 20, 2021 13:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza nafasi ya kipekee ya tabaka la vijana katika masuala muhimu nchi na kueleza kuwa, uwepo wa kizazi hicho katika masuala hasasi ya nchi ni katika mafanikio na fakhari ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Kiongozi Muadhamu: Basij ni utajiri mkubwa na hazina liliyotunukiwa na Mungu taifa la Iran

    Kiongozi Muadhamu: Basij ni utajiri mkubwa na hazina liliyotunukiwa na Mungu taifa la Iran

    Nov 25, 2020 07:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, jeshi la kujitolea la Basij ni utajiri mkubwa na hazina liliyotunukiwa na Mwenyezi Mungu taifa la Iran.

  • Kiongozi Muadhamu Kuhutubu kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW

    Kiongozi Muadhamu Kuhutubu kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW

    Nov 01, 2020 11:42

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei atahutubu kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka siku ya kuzaliwa (Maulid) Mtume Muhammad SAW na pia uzawa wa mjukuu wake, Imam Jaafar Swadiq AS.

  • Kiongozi Muadhamu aushangaa undumakuwili wa Rais Macron wa Ufaransa

    Kiongozi Muadhamu aushangaa undumakuwili wa Rais Macron wa Ufaransa

    Oct 29, 2020 07:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameeleza kushangazwa kwake na undumakuwili wa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kulikingia kifua jarida la Charlie Hebdo la nchini hiyo ya Ulaya kwa kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

  • Kiongozi Muadhamu alaani njama za Marekani na Wazayuni za kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Kiongozi Muadhamu alaani njama za Marekani na Wazayuni za kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Sep 08, 2020 08:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelaani vikali hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo ya kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW) na kusisitiza kuwa: Njama hizo za Marekani na utawala wa Kizayuni ni dhambi isiyosameheka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS