Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kipalestina

  • Afungwa jela miezi 13 kwa kuandika sentensi moja ya kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Afungwa jela miezi 13 kwa kuandika sentensi moja ya kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Oct 20, 2022 07:31

    Mahakama ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imemhukumu Mpalestina mmoja anayeishi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu kifungo cha miezi 13 jela kwa kuandika mtandaoni sentensi moja ya kuunga mkono muqawama wa Palestina.

  • Israel imewaua shahidi Wapalestina 77 katika kipindi cha miezi sita

    Israel imewaua shahidi Wapalestina 77 katika kipindi cha miezi sita

    Jul 03, 2022 11:15

    Tokea mwanzo wa mwaka huu wa 2022, hadi sasa utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi Wapalestina 77 wakiwemo watoto 15.

  • Haniya: Njia mwandishi habari Mpalestina aliyeuawa shahidi itaendelea

    Haniya: Njia mwandishi habari Mpalestina aliyeuawa shahidi itaendelea

    May 11, 2022 13:05

    Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kumuua shahidi Shireen Abu Akleh mwandishi habari Mpalestina wa Kanali Al Jazeera.

  • Jinai mpya ya Wazayuni! Wamuua shahidi mwandishi wa al Jazeera kwa damu baridi kabisa!

    Jinai mpya ya Wazayuni! Wamuua shahidi mwandishi wa al Jazeera kwa damu baridi kabisa!

    May 11, 2022 07:46

    Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya jinai nyingine ya kumuua kikatili na kidhulma, kwa damu baridi kabisa na kutokea nyuma, mwandishi mashuhuri na nguli wa televisheni ya al Jazeera, Shirin Abu Akleh alipokuwa katikati ya kazi zake kwenye kambi ya Jenin.

  • Zaidi ya Wapalestina 50 wameshauliwa shahidi na Wazayuni tangu mwezi Januari 2022

    Zaidi ya Wapalestina 50 wameshauliwa shahidi na Wazayuni tangu mwezi Januari 2022

    May 04, 2022 02:36

    Kituo cha Takwimu cha Palestina kimetoa ripoti maalumu na kusema kuwa, tangu mwezi Januari mwaka huu wa 2022 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawaua shahidi Wapalestina zaidi ya 50.

  • HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni

    HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni

    Feb 24, 2022 08:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza katika taarifa yake kwamba, operesheni ya kuwakamata kiholela Wapalestina katu haiwezi kulifanya taifa la Palestina liachane na mapambano yake dhidi ya Wazayuni maghasibu wanaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina

    Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina

    Jan 19, 2022 10:23

    Wazayuni maghasibu wamebomoa nyumba kadhaa za raia wa Palestina na kuwatia mbaroni Wapalestina 27 ikiwa ni katika kuendelea uadui na chuki za utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 05, 2021 10:34

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Mwalimu Mpalestina mkazi wa Ghaza achaguliwa mwalimu bora duniani

    Mwalimu Mpalestina mkazi wa Ghaza achaguliwa mwalimu bora duniani

    Oct 25, 2020 02:37

    Bi Asma Mustafa, mwalimu wa kike wa shule ya wasichana ya "Halima al Saadiyah" ya kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza huko Paletina ameshinda tunzo ya mwalimu boda duniani mwaka huu wa 2020 ijulikanayo kwa jina la AKS Education Award.

  • Wapalestina 27 wauawa shahidi miezi sita ya kwanza mwaka 2020

    Wapalestina 27 wauawa shahidi miezi sita ya kwanza mwaka 2020

    Jul 27, 2020 07:24

    Wapalestina 27 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS