Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kipalestina

  • Njama mpya za Wazayuni zazidi kuwafanya kitu kimoja Wapalestina

    Njama mpya za Wazayuni zazidi kuwafanya kitu kimoja Wapalestina

    Jul 04, 2020 11:47

    Makundi mbalimbali ya Palestina yamepongeza makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya harakati za HAMAS na Fat'h na kusema kuwa, hatua hiyo ni muhimu katika kukabiliana na njama mpya za Wazayuni kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • HAMAS yasisitiza kuachiliwa huru wafungwa wa Kipalestina nchini Saudi Arabia

    HAMAS yasisitiza kuachiliwa huru wafungwa wa Kipalestina nchini Saudi Arabia

    Mar 23, 2020 08:14

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza juu ya ulazima wa kuachiliwa huru haraka iwezekanavyo wafungwa wa Kipalestina wanaoshikiliwa nchini Saudi Arabia

  • Israel imewakamata Waplestina milioni moja tokea ikalie ardhi zao kwa mabavu

    Israel imewakamata Waplestina milioni moja tokea ikalie ardhi zao kwa mabavu

    Dec 09, 2019 08:11

    Taasisi moja ya takwimu Palestina imetangaza kuwa, tokea utawala haramu wa Israel ukalie kwa mabavu ardhi za Palestina mwaka 1948 hadi sasa, Wapalestina wapatao milioni moja wamekamatwa kwa sababu mbali mbali.

  • Wapalestina waliotiwa mbaroni Saudia wakabiliwa na mateso

    Wapalestina waliotiwa mbaroni Saudia wakabiliwa na mateso

    Oct 22, 2019 03:20

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa raia wa Palestina waliokamatwa nchini Saudi Arabia wanakabiliwa na mateso mbalimbali.

  • Wapalestina 304 wameshauawa shahidi tangu yalipoanza maandamano ya

    Wapalestina 304 wameshauawa shahidi tangu yalipoanza maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    May 12, 2019 02:36

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, hadi hivi sasa Wapalestina 304 wameshauawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi makatili wa Israel wakiwemo watoto wadogo 59 na wanawake 10 tangu yalipoanza maandamano ya "Haki ya Kurejea" ya Wapaelstina tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.

  • Kuangusha kombora moja la muqawama wa Palestina, kunaigharimu Israel Dola elfu 80

    Kuangusha kombora moja la muqawama wa Palestina, kunaigharimu Israel Dola elfu 80

    May 07, 2019 13:55

    Gazeti la utawala haramu wa Israel Hayom limeandika kwamba, utawala huo hauwezi kumudu gharama kubwa ya Kuongoza na kuangusha kila kombora linalovurumishwa kutoka Ukanda wa Gaza.

  • Vijana wawili wa Kipalestina wauawa shahidi kwa kupigwa risasi na Wazayuni

    Vijana wawili wa Kipalestina wauawa shahidi kwa kupigwa risasi na Wazayuni

    Mar 04, 2019 08:08

    Vijana wawili wadogo wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wanajeshi wa Kizayuni wamewasababishia ulemavu Wapalestina 94 katika maandamano ya Haki ya Kurejea

    Wanajeshi wa Kizayuni wamewasababishia ulemavu Wapalestina 94 katika maandamano ya Haki ya Kurejea

    Dec 04, 2018 03:11

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamesababisha Wapalestina 94 kupata ulemavu tangu mwanzoni mwa maandamano ya Haki ya Kurejea huko Ghaza.

  • Picha ya

    Picha ya "Mpalestina Mlemavu Katika Maandamano Makubwa ya Kurejea" yashinda tuzo ya waandishi wa habari za vita

    Oct 16, 2018 15:40

    Picha ya "Mpalestina Mlemavu Katika Maandamano Makubwa ya Kurejea" imeshinda tuzo ya Bayeux Calvados-Normandy kwa waandishi wa habari za vita.

  • Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina

    Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina

    Aug 21, 2018 07:36

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga na kuwashambulia kwa maneno wanawake kadhaa wa Kipalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS