Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kitongoji cha Mayahudi

  • Jumuiya ya Wayahudi wa Iran yataka kulipiza kisasi baada ya Israel kumuua Haniyeh

    Jumuiya ya Wayahudi wa Iran yataka kulipiza kisasi baada ya Israel kumuua Haniyeh

    Aug 04, 2024 02:23

    Jumuiya ya Wayahudi wa Iran imelaani vikali mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniyeh akiwa ugenini mjini Tehran, ikitoa wito wa kulipiza kisasi dhidi ya mauaji hayo.

  • Katika hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa, Pompeo kutembelea vitongoji vya walowezi

    Katika hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa, Pompeo kutembelea vitongoji vya walowezi

    Nov 13, 2020 07:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amepanga kutembelea vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kuhalalisha jinai za utawala huo haramu.

  • Mkuu wa jeshi la Israel akiri wameshindwa kulinda usalama wa Wazayuni

    Mkuu wa jeshi la Israel akiri wameshindwa kulinda usalama wa Wazayuni

    Dec 24, 2018 08:20

    Mkuu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa utawala huo umeshindwa katika miezi ya hivi karibuni kuwadhaminia usalama wao walowezi wa Kizayuni wanaishi karibu na Ukanda wa Ghaza.

  • OIC yataka kusitishwa ujenzi wa vitongozi vya walowezi wa Kizayuni

    OIC yataka kusitishwa ujenzi wa vitongozi vya walowezi wa Kizayuni

    Aug 29, 2018 07:46

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito wa kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Wapalestina.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS