Mtandao wa habari wa The Atlantic wa nchini Marekani umefichua kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amekuwa akimtaka mara kadhaa Rais Barack Obama aishambulie Syria kwa makombora.
Waislamu nchini Marekani, wamesema kuwa maneno ya chuki dhidi ya dini tukufu ya Kiislamu yanayotolewa na viongozi wa chama cha Republican, ndiyo sababu ya kuongezeka hujuma na mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini humo.