Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Hatimaye Rais wa Korea Kusini aliyeuzuliwa akamatwa, tukio la kwanza katika historia ya nchi hiyo

    Hatimaye Rais wa Korea Kusini aliyeuzuliwa akamatwa, tukio la kwanza katika historia ya nchi hiyo

    Jan 15, 2025 11:23

    Rais wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol ametiwa mbaroni kwa jaribio lake lililofeli la kuweka sheria ya kijeshi, baada ya mamia ya maafisa wa kupambana na ufisadi na polisi kuvamia makazi yake na kuhitimisha mzozo uliodumu kwa wiki kadhaa.

  • Bunge la Korea Kusini lapitisha sheria inayopiga marufuku ulaji wa nyama ya mbwa

    Bunge la Korea Kusini lapitisha sheria inayopiga marufuku ulaji wa nyama ya mbwa

    Jan 10, 2024 06:18

    Bunge la Korea Kusini limepiga kura kupitisha sheria inayopiga marufuku uuzaji na ulaji wa nyama ya mbwa, ambao uliwahi kuwa mwenendo uliozoeleka na kuenea sana katika nchi hiyo ya Asia Mashariki.

  • Manuva ya pande tatu ya Korea Kusini, Japan na Marekani

    Manuva ya pande tatu ya Korea Kusini, Japan na Marekani

    Dec 22, 2023 09:28

    Korea Kusini, Japan na Marekani zimefanya manuva ya pamoja ya anga. Inasemekana kuwa zoezi hilo la kijeshi limefanyika katika kujibu jaribio la kombora la masafa marefu lililofanywa hivi karibuni na Korea Kaskazini katika anga ya Peninsula ya Korea.

  • Korea Kaskazini yatishia kuishambulia manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani

    Korea Kaskazini yatishia kuishambulia manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani

    Oct 15, 2023 02:32

    Korea Kaskazini imeitishia Marekani kwamba itaanzisha "shambulio kali zaidi na la haraka zaidi la kujikinga" dhidi ya zana za kijeshi za nchi hiyo, ikiwa ni pamoja na meli yake ya kivita ya nyuklia iliyoko kwenye maji ya Peninsula ya Korea.

  • Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Jun 18, 2023 10:26

    Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.

  • Idadi ya watu nchini Korea Kusini yapungua kwa mwaka wa tatu mfululizo

    Idadi ya watu nchini Korea Kusini yapungua kwa mwaka wa tatu mfululizo

    Jan 15, 2023 10:48

    Idadi ya watu nchini Korea Kusini imepungua mwaka 2022 kwa mwaka wa tatu mfululizo.

  • Korea Kaskazini yajiwekea rekodi ya kufyatua makombora ya balestiki mara tatu ndani ya wiki moja

    Korea Kaskazini yajiwekea rekodi ya kufyatua makombora ya balestiki mara tatu ndani ya wiki moja

    Sep 30, 2022 07:22

    Korea Kaskazini imefyatua kombora la balestiki kwa mara ya tatu ndani ya wiki moja mara baada ya kumalizika ziara ya makamu wa rais wa Marekani Kamala Harris nchini Korea Kusini.

  • Mikrofoni yamnasa rais wa Korea Kusini akiwatusi wabunge wa US kwa kuwaita

    Mikrofoni yamnasa rais wa Korea Kusini akiwatusi wabunge wa US kwa kuwaita "wapumbavu"

    Sep 26, 2022 11:36

    Rais Yoon Suk-yeol wa Korea Kusini amesema ripoti za vyombo vya habari kuhusu matamshi aliyotoa wakati wa safari yake mjini New York, si sahihi.

  • Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia

    Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia

    Sep 26, 2022 08:20

    Hatua ya Korea Kaskazini ya kufanyia majaribio kombora lake jipya kuelekea upande wa Bahari ya Japan imepokewa kwa hisia kali na nchi mbili za Japan na Korea Kusini.

  • Korea Kusini ina hofu juu ya jaribio la 7 la nyukia linalokaribia kufanywa na Korea Kaskazini

    Korea Kusini ina hofu juu ya jaribio la 7 la nyukia linalokaribia kufanywa na Korea Kaskazini

    Jul 26, 2022 11:19

    Korea Kusini imesema, si baidi kwa Korea Kaskazini kufanya jaribio la saba la nyuklia hapo kesho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS