-
Iran yazipongeza Korea 2, yaonya juu ya uchochezi wa US
Apr 28, 2018 07:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza jitihada za viongozi wa Korea Kusini na Korea Kaskazini za kutaka kupunguza taharuki katika Peninsula ya Korea sanjari na kuufanya wa kawaida uhusiano wao uliokuwa umevunjika kwa miongo kadhaa.
-
Viongozi wa Korea mbili wakutana katika tukio la kihistoria
Apr 27, 2018 04:29Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un na mwenzake wa Korea Kusini, Moon Jae-in wamekutana na kufanya mazungumzo mapema leo Ijumaa katika kijiji cha Panmunjom kwenye eneo la mpaka wa nchi hizo mbili la Demilitarized. Mazungumzo haya yanatajwa kuwa ya kihistoria.
-
Korea Kusini yasitisha programu ya kueneza propaganda dhidi ya Korea Kaskazini
Apr 24, 2018 07:29Serikali ya Korea Kusini imetangaza kusimamisha programu ya kueneza propaganda mbaya dhidi ya jirani yake Korea Kaskazini.
-
Kukaribisha Korea Kusini hatua ya kusimamishwa miradi ya nyuklia ya Korea Kaskazini
Apr 22, 2018 11:28Serikali ya Korea Kusini imekaribisha uamuzi wa kiongozi wa Korea Kaskazini, wa kusimamisha majaribio ya silaha za nyuklia na makombora ya balestiki ya nchi hiyo.
-
Viongozi wa Korea mbili wafungua njia ya mawasiliano ya moja kwa moja kati yao
Apr 20, 2018 14:01Msemaji wa Ikulu ya Rais nchini Korea Kusini, ametangaza habari ya kufunguliwa njia ya moja kwa moja ya mawasiliano kati ya Rais Moon Jae-in na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.
-
Korea Kusini nayo yajiunga na China katika vita vya kibiashara dhidi ya Marekani
Apr 08, 2018 02:52Wizara ya Biashara, Viwanda na Nishati ya Korea Kusini imeungana na China katika vita vya kibiashara dhidi ya Marekani kwa kuziwekea ushuru mpya wa forodha biashara kadhaa za Marekani.
-
Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa miaka 24 jela kwa ufisadi
Apr 06, 2018 14:00Mahakama ya Korea Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 24 jela, rais wa nchi hiyo aliyeuzuliwa Park Geun-hye, baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi wa kifedha iliyokuwa ikimkabili.
-
Korea Kaskazini yaafiki kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu na Korea Kusini
Mar 24, 2018 14:35Wizara ya Umoja ya Korea Kusini, imetangaza kuwa serikali ya Korea Kaskazini imekubali kufanyika mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya nchi mbili siku chache zijazo.
-
Pande tatu za Marekani, Japan na K/Kusini zafanya mazungumzo kuhusu K/Kaskazini
Mar 20, 2018 04:19Washauri wa ngazi ya juu wa kiusalama wa nchi tatu za Marekani, Korea Kusini na Japan, wameanza kikao cha siku mbili ambacho kitajikita katika kuchunguza namna ya kuliepusha eneo la Korea na silaha za nyuklia.
-
Trump alegeza msimamo na kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini
Mar 09, 2018 06:36Rais Donald Trump wa Marekani amelegeza msimamo na kukubali kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jon-un mwezi Mei mwaka huu.