-
Korea Kaskazini: Maafisa wetu walioenda Korea Kusini hawatokutana na viongozi wa US
Feb 08, 2018 11:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imesema kuwa, viongozi wa nchi hiyo waliofanya safari nchini Korea Kusini kwa ajili ya kushiriki katika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi, kamwe hawatokutana na viongozi wa Marekani.
-
Rais wa Korea Kusini aonyesha matarajio ya kufikiwa amani kati ya Korea mbili
Feb 06, 2018 10:44Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini, amesema kuwa kufanyika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali ndani ya mwezi huu kwa kuishirikisha Korea Kaskazini, ni mwanzo wa ratiba ya kupatikana amani katika eneo la Rasi ya Korea.
-
Licha ya malalamiko ya Korea Kaskazini, Marekani na Korea Kusini zaanza maneva ya kijeshi
Feb 02, 2018 11:17Huku serikali ya Korea Kaskazini ikijiandaa kuboresha uhusiano wake na Korea Kusini, vyombo vya habari vimeripoti habari ya kuanza maneva mapya ya kijeshi kati ya askari wa Marekani na nchi hiyo inayopakana na Korea Kaskazini katika Rasi ya Korea.
-
Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini
Jan 26, 2018 03:53Kwa akali watu 41 wamepoteza maisha baada ya moto mkali kuteketeza sehemu ya jengo la hospitali moja nchini Korea Kusini mapema leo.
-
Ujumbe wa Korea Kaskazini wazuru Korea Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michuano
Jan 22, 2018 04:43Viongozi wa Korea Kaskazini waliwasili jana Jumapili nchini Korea Kusini chini ya ulinzi mkali, kwa ajili ya kuanza maandalizi ya wanamichezo wake kwenye michezo ijayo ya olimpiki.
-
Korea Kusini: Tafadhali Marekani msituharibie mazungumzo na Korea Kaskazini
Jan 17, 2018 04:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini ameitaka Marekani kutochafua nga ya mazungumzo yake na Korea Kaskazini na hivyo kuzuia kufanyika kwa namna bora michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini humo.
-
Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 08, 2017 04:20Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.
-
Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump
Nov 05, 2017 11:17Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano ya kukashifu kile wanachotaja kama chokochoko za Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia, dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya
Oct 24, 2017 11:27Marekani imeendelea kufanya hali ya mambo katika eneo la Peninsula ya Korea kuwa mbaya na hivyo kuhatarisha usalama wa eneo hilo.
-
Korea Kusini yatishia kuangamiza silaha zote za Korea Kaskazini
Oct 20, 2017 04:32Jeshi la Korea Kusini limetoa vitisho vikali ambavyo havijazoeleka kwa kudai kuwa ikiwa kutaibuka vita na mapigano katika eneo hilo, basi litaangamiza makombora yote ya balestiki ya Korea Kaskazini.