Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Rais wa Korea Kusini aonyesha matarajio ya kufikiwa amani kati ya Korea mbili

    Rais wa Korea Kusini aonyesha matarajio ya kufikiwa amani kati ya Korea mbili

    Feb 06, 2018 14:14

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini, amesema kuwa kufanyika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali ndani ya mwezi huu kwa kuishirikisha Korea Kaskazini, ni mwanzo wa ratiba ya kupatikana amani katika eneo la Rasi ya Korea.

  • Licha ya malalamiko ya Korea Kaskazini, Marekani na Korea Kusini zaanza maneva ya kijeshi

    Licha ya malalamiko ya Korea Kaskazini, Marekani na Korea Kusini zaanza maneva ya kijeshi

    Feb 02, 2018 14:47

    Huku serikali ya Korea Kaskazini ikijiandaa kuboresha uhusiano wake na Korea Kusini, vyombo vya habari vimeripoti habari ya kuanza maneva mapya ya kijeshi kati ya askari wa Marekani na nchi hiyo inayopakana na Korea Kaskazini katika Rasi ya Korea.

  • Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini

    Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini

    Jan 26, 2018 07:23

    Kwa akali watu 41 wamepoteza maisha baada ya moto mkali kuteketeza sehemu ya jengo la hospitali moja nchini Korea Kusini mapema leo.

  • Ujumbe wa Korea Kaskazini wazuru Korea Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michuano

    Ujumbe wa Korea Kaskazini wazuru Korea Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michuano

    Jan 22, 2018 08:13

    Viongozi wa Korea Kaskazini waliwasili jana Jumapili nchini Korea Kusini chini ya ulinzi mkali, kwa ajili ya kuanza maandalizi ya wanamichezo wake kwenye michezo ijayo ya olimpiki.

  • Korea Kusini: Tafadhali Marekani msituharibie mazungumzo na Korea Kaskazini

    Korea Kusini: Tafadhali Marekani msituharibie mazungumzo na Korea Kaskazini

    Jan 17, 2018 08:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini ameitaka Marekani kutochafua nga ya mazungumzo yake na Korea Kaskazini na hivyo kuzuia kufanyika kwa namna bora michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini humo.

  • Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini

    Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini

    Nov 08, 2017 07:50

    Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.

  • Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump

    Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump

    Nov 05, 2017 14:47

    Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano ya kukashifu kile wanachotaja kama chokochoko za Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia, dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya

    Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya

    Oct 24, 2017 14:57

    Marekani imeendelea kufanya hali ya mambo katika eneo la Peninsula ya Korea kuwa mbaya na hivyo kuhatarisha usalama wa eneo hilo.

  • Korea Kusini yatishia kuangamiza silaha zote za Korea Kaskazini

    Korea Kusini yatishia kuangamiza silaha zote za Korea Kaskazini

    Oct 20, 2017 08:02

    Jeshi la Korea Kusini limetoa vitisho vikali ambavyo havijazoeleka kwa kudai kuwa ikiwa kutaibuka vita na mapigano katika eneo hilo, basi litaangamiza makombora yote ya balestiki ya Korea Kaskazini.

  • Mahakama ya Korea Kusini yaongeza muda wa kushikiliwa korokoroni Park Geun-hye

    Mahakama ya Korea Kusini yaongeza muda wa kushikiliwa korokoroni Park Geun-hye

    Oct 14, 2017 05:26

    Mahakama ya Korea Kusini imeongeza muda wa kuendelea kusalia korokoroni Bi Park Geun-hye, rais wa nchi hiyo aliyeuzuliwa madarakani mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2016.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS