-
Korea Kaskazini: Mkataba wa kijeshi wa Marekani na Korea Kusini, ni njama dhidi ya Pyongyang
Oct 03, 2017 05:02Serikali ya Korea Kaskazini imeutaja mkataba wa kijeshi kati ya Marekani na Korea Kusini kuwa ni njama ya kutaka kuishambulia nchi hiyo.
-
Korea Kaskazini: Yataka kutumiwa njia za amani badala ya za kijeshi kudumisha usalama katika eneo
Sep 30, 2017 04:52Serikali ya Korea Kaskazini imesema ili kuhitimisha mgogoro wa eneo la Peninsula ya Korea, kuna haja ya kuwekwa kando mipango ya kijeshi na kushikamana na mfumo wa amani.
-
Korea Kaskazini: Njia pekee ya kuzuia vita katika eneo ni Seoul kuzuia chokochoko za Marekani
Aug 14, 2017 03:41Serikali ya Korea Kaskazini imekosoa mazungumzo ya simu ya Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini na Rais Donald Trump wa Marekani yaliyofanyika hivi karibuni na kusema kuwa mazungumzo hayo hayawezi kusaidia kumaliza mgogoro uliopo.
-
Kuendelea maandamano ya raia wa Korea Kusini kupinga ngao ya Marekani ya THAAD
Aug 03, 2017 02:29Kwa mara nyingine raia wa Korea Kusini wamefanya maandamano kupinga mwendelezo wa uwekaji ngao ya makombora ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD ndani ya nchi yao.
-
Korea Kaskazini: Wabunge wa Korea Kusini waliotunyooshea kidole, watajuta
Jul 23, 2017 02:49Serikali ya Korea Kaskazini imewatahadharisha wabunge wa Korea Kusini kutokana na hatua yao ya kutoa taarifa ya kulaani majaribio ya hivi karibuni ya kombora yaliyofanywa na Pyongyang, na kusema kuwa, wabunge hao watajutia hatua hiyo.
-
Korea Kusini sasa yaomba mazungumzo na Korea Kaskazini
Jul 08, 2017 07:25Huku mgogoro wa Peninsula ya Korea ukiendelea kutokota kufuatia vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba atatumia nguvu za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini, Korea Kusini sasa imetaka mazungumzo yafanyike kutatua mgogoro uliopo.
-
Pyongyang: Komandi ya kijeshi ya askari wa kimataifa mjini Seoul, ivunjwe
Jul 03, 2017 04:22Serikali ya Korea Kasakazini imetoa pendekezo la kuvunjwa kituo kikuu cha kijeshi kwa ajili ya askari wa mataifa tofauti iliyo chini ya Umoja wa Mataifa huko Seoul, mji mkuu wa Korea Kusini ivunjwe.
-
Pyongyang: Trump anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler wa Ujerumani
Jun 27, 2017 15:08Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatekeleza siasa zile zile za Adolf Hitler, kiongozi wa zamani wa Kinazi nchini Ujerumani.
-
Korea Kusini: Pyongyang iwaachilie huru watu wetu na Wamarekani inaowashikilia
Jun 26, 2017 08:00Waziri Mkuu wa Korea Kusini ameitaka serikali ya Korea Kaskazini kuwaalichilia huru raia wa nchi hiyo na wale wa Marekani ambao wanashikiliwa na serikali ya Pyongyang.
-
Asilimia 78 ya raia wa Korea Kusini wanapendelea nchi yao izungumze na Korea Kaskazini
Jun 26, 2017 04:06Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kwamba, raia wengi wa Korea Kusini, wanapendelea nchi yao ifanye kila juhudi kuhakikisha inafanya mazungumzo ya amani na jirani yao Korea Kaskazini.