Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa

    Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa

    Oct 27, 2019 07:38

    Afisa mmoja wa Pentagon nchini Marekani amesema kuwa Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ameuawa katika operesheni ya siri iliyotekelezwa kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia

    Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia

    Oct 20, 2019 02:35

    Maafisa wa serikali ya Somalia wametangaza habari ya kuuawa wanachama 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab katika shambulizi lililolilenga gari yao katikati mwa nchi hiyo.

  • Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram

    Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram

    Oct 05, 2019 15:05

    Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.

  • Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS

    Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS

    Sep 21, 2019 12:15

    Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi za Ulaya akizitaka zihakikishe zimewachukua raia wao waliojiunga na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na wanaoendelea kushikiliwa nchini Iraq na Syria.

  • Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria

    Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria

    Aug 02, 2019 01:16

    Syria imekuwa ikikabiliwa na hali ya mchafukoge tangu mwakak 2011 na kisha ikatumbukia katika vita vya ndani baina ya serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo na waungaji mkono wake kwa upande mmoja na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na madola ya Magharibi na washirika wao wa Kiarabu kwa upande wa pili.

  • Mahakama ya Federali ya Nigeria imeiruhusu serikali kuiweka Harakati ya Kiislamu  katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Mahakama ya Federali ya Nigeria imeiruhusu serikali kuiweka Harakati ya Kiislamu katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Jul 28, 2019 07:38

    Mahakama ya Federali ya nchini Nigeria imeiruhusu serikali kuiweka Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo katika faharasa ya makundi ya kigaidi.

  • Afisa wa zamani wa Marekani: Serikali ya Trump inaficha ukweli wa nafasi muhimu ya Iran katika kupambana na ugaidi

    Afisa wa zamani wa Marekani: Serikali ya Trump inaficha ukweli wa nafasi muhimu ya Iran katika kupambana na ugaidi

    May 07, 2019 13:43

    Mshauri wa zamani katika masuala ya kimataifa nchini Marekani amesema kuwa, serikali ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo inafanya njama za kuficha nafasi chanya na muhimu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mapambano dhidi ya makundi ya kigaidi.

  • Larijani: Marekani ni nembo ya ugaidi wa kimataifa kijeshi na kiuchumi

    Larijani: Marekani ni nembo ya ugaidi wa kimataifa kijeshi na kiuchumi

    Apr 09, 2019 07:51

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, serikali ya Marekani na majeshi ya nchi hiyo ni nembo ya ugaidi wa kimataifa, kijeshi na kiuchumi.

  • Russia, Syria na Human Rights Watch wakanusha madai ya Trump kuhusu ISIS

    Russia, Syria na Human Rights Watch wakanusha madai ya Trump kuhusu ISIS

    Mar 24, 2019 15:17

    Russia, Syria na Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch wamepinga madai ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kwamba magaidi wa Daesh (ISIS) wameshasambaratishwa kikamilifu katika nchi za Iraq na Syria.

  • Kamanda wa jeshi la Marekani akiri kwamba nchi hiyo imeshindwa huko Syria

    Kamanda wa jeshi la Marekani akiri kwamba nchi hiyo imeshindwa huko Syria

    Feb 16, 2019 01:26

    Kamanda wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani amekiri kwamba uingiliaji kijeshi wa nchi hiyo dhidi ya Syria haukuwa na mafanikio.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS