Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria

    Dec 18, 2018 03:26

    Genge la kigaidi na la ukufurishaji la Boko Haram limevamia na kushambulia kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuchoma moto nyumba za wanakijiji baada ya kuwashambulia kwa risasi.

  • Jeshi la Somalia na AU zafanya operesheni ya pamoja dhidi ya al Shabab

    Jeshi la Somalia na AU zafanya operesheni ya pamoja dhidi ya al Shabab

    Dec 17, 2018 15:22

    Mkuu wa mipango ya opereshenei ya kikosi cha Umoja wa Afrika cha kulinda amani Somalia (AMISOM) amesema kuwa, askari wa kikosi hicho na wale wa serikali wanaendesha kwa pamoja operesheni ya kupambana na magaidi wa al Shabab kusini mwa Somalia.

  • Pentagon yakiri kutumwa misaada na taasisi za nchini Marekani kwa magaidi

    Pentagon yakiri kutumwa misaada na taasisi za nchini Marekani kwa magaidi

    Nov 13, 2018 14:21

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetoa ripoti ikikiri kwamba taasisi za misaada ya kujitolea nchini humo zimetuma misaada mbalimbali kwa makundi ya kigaidi nchini Syria na Iraq, kwa kisingizio cha misaada ya kibinaadamu.

  • Majina 164 ya wanachama wa Ikhwanul Muslimin yawekwa katika orodha ya makundi ya kigaidi Misri

    Majina 164 ya wanachama wa Ikhwanul Muslimin yawekwa katika orodha ya makundi ya kigaidi Misri

    Oct 29, 2018 04:40

    Mahakama moja ya mjini Cairo Misri imeyaweka majina 164 ya viongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo katika orodha ya makundi ya kigaidi.

  • Wakulima 12 wauawa na magaidi wa Boko Haram katika jimbo la Borno

    Wakulima 12 wauawa na magaidi wa Boko Haram katika jimbo la Borno

    Oct 21, 2018 07:44

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limewaua wakulima wasiopungua 12 na kujeuhi makumi ya wengine, baada ya kufanya shambulio katika kitongoji kimoja katika mji wa Maiduguri ulioko katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 28, 2018 14:35

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 21, 2018 03:23

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.

  • Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 15, 2018 07:42

    Watu wasiopungua wanane wanaripotiwa kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuvishambulia vijiji viwili.

  • Uturuki yapinga kuangamizwa magaidi mkoani Idlib, Syria

    Uturuki yapinga kuangamizwa magaidi mkoani Idlib, Syria

    Sep 11, 2018 07:12

    Sambamba na jeshi la Syria kujiandaa kwa mashambulio ya kuiangamiza ngome kuu ya makundi ya kigaidi katika mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa nchi hiyo, Uturuki imetangaza msimamo wa kupinga hatua hiyo.

  • Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Sep 08, 2018 07:05

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuachiliwa huru raia 21 kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS