Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran

    Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran

    Jun 02, 2026 09:12

    Utawala wa Israel umeachana na mpango wake wa kufanya mashambulizi makali ya ya kijeshi dhidi ya mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Haya yameelezwa siku ya Jumatatu na Rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia onyo kali kutoka kwa Iran kwamba haitavumilia wimbi jipya la uvamizi dhidi ya Beirut, hatua ambayo ingekiuka makubaliano ya kusitisha vita kati ya Iran na Marekani.

  • Waziri wa Israeli Ben-Gvir amhimiza Netanyahu 'kusawazisha vitongoji vya Beirut na ardhi'

    Waziri wa Israeli Ben-Gvir amhimiza Netanyahu 'kusawazisha vitongoji vya Beirut na ardhi'

    May 31, 2026 12:48

    Waziri anayejiita wa usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amemtaka Waziri Mkuu wa utawaka huo katili, Benjamin Netanyahu, kusawazisha na ardhi vitongoji vya mji mkuu wa Lebanon, Beirut huku utawala huo ukizidisha mashambulizi yake dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Nabih Berri: Kwa pamoja tutaikomboa na kuijenga upya Lebanon

    Nabih Berri: Kwa pamoja tutaikomboa na kuijenga upya Lebanon

    May 25, 2026 14:22

    Katika siku ya kumbukumbu ya kukombolewa Lebanon kutoka kwenye makucha ya utawala ghasibu wa Israel, Nabih Berri, Spika wa Bunge la nchi hiyo amesema kuwa, adui Mzayuni hatasita hata kidogo kulipiza kisasi dhidi ya Lebanon na kuongeza kwamba kwa pamoja watu wa nchi hiyo wana uwezo wa kuikomboa na kuijenga upya.

  • Hizbullah yafanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel Kusini mwa Lebanon

    Hizbullah yafanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel Kusini mwa Lebanon

    May 12, 2026 09:07

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema imefanya operesheni 20 za kijeshi dhidi ya vikosi vamizi vya Israel katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, huku mapigano yakiendelea licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoongezwa hadi katikati ya mwezi Mei.

  • Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia

    Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia

    May 10, 2026 10:32

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kushindwa jeshi la utawala wa vamizi wa Israel kukabiliana na ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah.

  • Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake

    Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake

    Apr 25, 2026 04:55

    Rais wa Lebanon ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo na kujeruhiwa mwandishi mwingine wa habari katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa Lebanon, akitangaza kwamba lengo la uhalifu huu ni jitihada za utawala wa Israeli za kutaka kuficha uhalifu wake.

  • Iravani alaani mauaji ya wanadiplomasia 4 wa Iran nchini Lebanon

    Iravani alaani mauaji ya wanadiplomasia 4 wa Iran nchini Lebanon

    Mar 11, 2026 04:18

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameyataja mauaji ya kigaidi ya wanadiplomasia wanne wa Jamhuri ya Kiislamu katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kama 'jinai ya kihaini'.

  • Araghchi: Iran inaunga mkono umoja wa kitaifa wa Lebanon

    Araghchi: Iran inaunga mkono umoja wa kitaifa wa Lebanon

    Jan 08, 2026 23:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeiunga mkono na itaendelea kuinga mkono Lebanon, umoja wa kitaifa, uhuru na mamlaka ya kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Baghaei: Israel ibebeshwe dhima kwa mashambulizi ya kinyama Lebanon

    Baghaei: Israel ibebeshwe dhima kwa mashambulizi ya kinyama Lebanon

    Jan 07, 2026 06:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuiwajibisha Israel kwa uhalifu wa kivita, kufuatia wimbi la mashambulizi mabaya dhidi ya Lebanon, na kukanyaga makubaliano ya kusitisha mapigano.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Kuupokonya silaha Muqawama ni mradi wa kuangamiza nguvu za Lebanon

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Kuupokonya silaha Muqawama ni mradi wa kuangamiza nguvu za Lebanon

    Dec 28, 2025 23:51

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu nchini Lebanon ya Hizbullah amesema: "leo, Lebanon iko katikati ya dhoruba na mvurugiko wa utulivu kutokana na sera za Marekani na adui wa Kizayuni."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS