Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Kombe la Dunia; Vijana wa Kiarabu wakataa kuzungumza na wanahabari wa Israel

    Kombe la Dunia; Vijana wa Kiarabu wakataa kuzungumza na wanahabari wa Israel

    Nov 21, 2022 07:55

    Mashabiki wa soka wa nchi za Kiarabu wamekataa kuzungumza na waandishi wa habari wa mashirika ya utawala haramu wa Israel nchini Qatar, kunakofanyika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu 2022; kuonyesha upinzani wao wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala huo bandia unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Nguvu za Muqawama; sababu kuu ya kutiwa saini makubalino ya mipaka ya baharini

    Nguvu za Muqawama; sababu kuu ya kutiwa saini makubalino ya mipaka ya baharini

    Nov 10, 2022 05:20

    Hivi karibuni, Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel zilitiliana saini makubaliano ya mpaka wa baharini kwa upatanishi wa Marekani. Hivi sasa lakini Benjamin Netanyahu anadai kuwa hatoheshimu makubaliao hayo.

  • Walebanon wataka kutimuliwa balozi wa Saudi Arabia mjini Beirut

    Walebanon wataka kutimuliwa balozi wa Saudi Arabia mjini Beirut

    Nov 02, 2022 10:09

    Wananchi wa Lebanon wametoa mwito wa kutimuliwa nchini humo balozi wa Saudi Arabia wakimtuhumu kwamba, amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Oct 25, 2022 07:29

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema balozi za Saudi Arabia na Marekani jijini Beirut zimekula njama na kuweka vizingiti vya kila aina ili kukwamisha uchaguzi wa rais, huku ikiwa imesalia wiki moja tu kabla ya kumalizika muhula wa Rais Michel Aoun wa nchi hiyo.

  • Hizbullah: Tutatumia nguvu za kijeshi ikiwa Israel itachimba mafuta na gesi kabla ya kufikiwa mwafaka

    Hizbullah: Tutatumia nguvu za kijeshi ikiwa Israel itachimba mafuta na gesi kabla ya kufikiwa mwafaka

    Oct 07, 2022 08:12

    Mwakilishi wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon amesema, harakati hiyo ya muqawama itatumia nguvu za kijeshi iwapo utawala haramu wa Kizayuni wa Israel utaamua kuchimba mafuta na gesi kabla ya kufikia makubaliano na Lebanon juu ya maeneo ya mpaka wa baharini zinayozozania.

  • Jumblatt na Netanyahu: Israel imesalimu amri kwa Hizbullah ya Lebanon

    Jumblatt na Netanyahu: Israel imesalimu amri kwa Hizbullah ya Lebanon

    Oct 04, 2022 08:01

    Kiongozi wa Chama cha Maendeleo cha Kisoshalisti cha Wadruzi wa Lebanon amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel umesalimu amri kwa nguvu za Hizbullah katika kadhia ya uchoraji mipaka ya baharini.

  • Lebanon na Israel zakaribia kufikia makubaliano ya kuweka mipaka ya baharini

    Lebanon na Israel zakaribia kufikia makubaliano ya kuweka mipaka ya baharini

    Oct 04, 2022 02:49

    Taarifa zinaonyesha kuwa rasimu ya mwisho iliyopokelewa kutoka upande wa Marekani kuhusu kuainisha mipaka ya bahari ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel itapelekea kupunguzwa tofauti kati ya pande hizo mbili.

  • Rais wa Lebanon: Misimamo ya Imamu Musa Sadr inatoa ilhamu kwetu sote

    Rais wa Lebanon: Misimamo ya Imamu Musa Sadr inatoa ilhamu kwetu sote

    Aug 31, 2022 21:56

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema, misimamo ya Imamu Musa Sadr ni chemchemi ya ilhamu kwa Walebanon wote ili wafanye juhudi kwa ajili ya ukombozi wa nchi na watu wake.

  • Kuendelea mkwamo wa kisiasa nchini Lebanon

    Kuendelea mkwamo wa kisiasa nchini Lebanon

    Aug 27, 2022 20:51

    Licha ya kupita zaidi ya miezi miwili tangu kuteuliwa Najib Mikati kuwa Waziri Mkuu wa Lebanon, lakini hadi sasa nchi hiyo ingali inakabiliwa na mkwamo wa kisiasa hususan kuhusiana na uundwaji wa serikali.

  • UN yatoa mwito wa kuanza uchunguzi wa kimataifa kuhusu mripuko wa bandari ya Beirut

    UN yatoa mwito wa kuanza uchunguzi wa kimataifa kuhusu mripuko wa bandari ya Beirut

    Aug 04, 2022 06:51

    Samamba na kutimia mwaka wa pili tangu ulipotokea mripuko katika bandari ya Beirut, Lebanon, Umoja wa Mataifa umetoa taarifa ya kutaka uanze kufanyika uchunguzi wa kimataifa kubaini chanzo cha tukio hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS