Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Kukosolewa na Lebanon utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la Corona

    Kukosolewa na Lebanon utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la Corona

    Apr 13, 2020 11:46

    Utendaji wa asasi za kimataifa kuhusiana na janga la virusi vya Corona umekosolewa vikali na Hamad Hassan, Waziri wa Afya wa Lebanon.

  • Shirika la ujasusi la Israel Mossad lashukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah

    Shirika la ujasusi la Israel Mossad lashukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah

    Apr 06, 2020 07:44

    Duru za Lebanon zimesema, shirika la ujasusi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Mossad na vibaraka wake ndio wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah Muhammad Ali Yunus.

  • Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury

    Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu kadhia ya Amer Al-Fakhoury

    Mar 22, 2020 09:19

    Kuachiliwa huru na kutoroshwa Amer Al-Fakhoury, kibaraka mwenye uraiapacha wa Lebanon na Marekani, ilikuwa ndio maudhui kuu ya hotuba aliyotoa Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon usiku wa kuamkia jana.

  • Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Lebanon na kuendelea mwenendo ulio dhidi ya Hizbullah

    Mar 15, 2020 09:26

    Katika kikao cha Ijumaa iliyopita pamoja na Hassan Diab, Waziri Mkuu wa Lebanon, Dorothy Shea, balozi mpya wa Marekani nchini Lebanon sambamba na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu, alisema kuwa mazingira ya msaada wa Washington kwa ajili ya kuushinda mzozo wa kiuchumi wa taifa hilo, unategemea kutengana serikali ya Beirut na Harakati ya Muqawama ya Hizbullah.

  • Lebanon yachukua uamuzi wa kuanza kuchimba mafuta eneo inalozozania na Israel

    Lebanon yachukua uamuzi wa kuanza kuchimba mafuta eneo inalozozania na Israel

    Feb 28, 2020 01:17

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa nchi yake itaanzisha operesheni ya kuchimba mafuta katika eneo inalozozania na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Askofu wa Kanisa Katoliki Lebanon: Mpango wa Muamala wa Karne ni namna fulani ya kutangaza vita

    Askofu wa Kanisa Katoliki Lebanon: Mpango wa Muamala wa Karne ni namna fulani ya kutangaza vita

    Feb 19, 2020 11:41

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki kusini mwa Lebanon amesema kuwa, mpango wa kibaguzi wa Muamala wa Karne unakinzana wazi kabisa na amani na kuishi pamoja na kimsingi ni namna fulani ya kutangaza vita.

  • Spika wa Iran akutana na Rais wa Lebanon na Sayyid Nasrullah

    Spika wa Iran akutana na Rais wa Lebanon na Sayyid Nasrullah

    Feb 18, 2020 07:52

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Michel Aoun wa Lebanon, Spika wa Bunge la nchi hiyo ya Kiarabu, Nabih Berri na Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut.

  • Kuundwa serikali mpya ya Lebanon; mafanikio na changamoto

    Kuundwa serikali mpya ya Lebanon; mafanikio na changamoto

    Feb 13, 2020 08:09

    Bunge la Lebanon siku ya Jumanne liliidhinisha baraza jipya la mawaziri la nchi hiyo ambalo lilipendekezwa na Waziri Mkuu Hassan Diab. Baraza hilo lilipitishwa kwa kura 63 za 'ndio' na 20 za 'la' huku mbunge mmoja akijizuia kupiga kura katika kikao hicho kilichohudhuriwa na wabunge 84 kati ya wabunge wote 128 wa Bunge la Lebanon.

  • Hizbullah ya Lebanon: Tutaiunga mkono serikali mpya

    Hizbullah ya Lebanon: Tutaiunga mkono serikali mpya

    Feb 08, 2020 07:59

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbulla ya Lebanon amesema kuwa harakati hiyo itaonyesha imani yake kwa serikali mpya ya nchi hiyo kwa kuwa ina shakhsia wanaofaa.

  • Hizbullah: Marekani ndiyo sababu ya matatizo yote ya Lebanon

    Hizbullah: Marekani ndiyo sababu ya matatizo yote ya Lebanon

    Jan 26, 2020 12:56

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo chimbuko la matatizo yote yanayoikabili Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS