Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • "ISIS walitaka kushambulia ubalozi wa Marekani Lebanon na kuisingizia Hizbullah"

    Jan 24, 2020 06:15

    Gazeti la al Jamhuriyyah la Lebanon limefichua kuwa, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) lilikuwa limepanga njama za kushambulia ubalozi wa Marekani mjini Beirut ili kuibebesha lawama harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Hizbullah hasa baada ya Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Jasusi mmoja wa Marekani atiwa mbaroni mjini Beirut, Lebanon

    Jasusi mmoja wa Marekani atiwa mbaroni mjini Beirut, Lebanon

    Jan 20, 2020 13:14

    Maafisa usalama wa Lebanon wamemtia mbaroni mwandishi mmoja wa habari wa Kimarekani katika maandamano ya wananchi mjini Beirut kwa tuhuma za kuufanyia ujasusi utawala haramu wa Kizayuni.

  • Waziri Mkuu mpya wa Lebanon; vipaumbele vyake na changamoto zinazomkabili

    Waziri Mkuu mpya wa Lebanon; vipaumbele vyake na changamoto zinazomkabili

    Dec 20, 2019 12:12

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amemtangaza Hassan Diab, shakhsia miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni na waziri wa zamani wa elimu ya juu wa nchi hiyo, kuwa waziri mkuu mpya na kumpa jukumu la kuunda serikali.

  • Baada ya vuta nikuvute hatimaye Lebanon yapata Waziri Mkuu

    Baada ya vuta nikuvute hatimaye Lebanon yapata Waziri Mkuu

    Dec 20, 2019 08:03

    Baada ya vuta nikuvute ya kisiasa nchini Lebanon, hatimaye nchi hiyo imefanikiwa kupata Waziri Mkuu mpya ikiwa ni karibu miezi miwili tangu alipojiuzulu Saad Hariri aliyekuwa akishikilia wadhifa huo.

  • Sheikh Abdul-Amir Qabalan: Mkutano wa Bahrain ni khiana kwa Palestina

    Sheikh Abdul-Amir Qabalan: Mkutano wa Bahrain ni khiana kwa Palestina

    Dec 12, 2019 12:08

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon ameulaani mkutano wa Bahrain na juhudi za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusema hatua yoyote ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel ni khiana kwa historia ya Uislamu na ardhi za Palestina.

  • Kuakhirishwa kikao cha Bunge la Lebanon; Saad Hariri katika ndoto za kurejea madarakani

    Kuakhirishwa kikao cha Bunge la Lebanon; Saad Hariri katika ndoto za kurejea madarakani

    Dec 10, 2019 14:22

    Jumatatu ya jana tarehe 9 Disemba, ilipangwa kuwa Bunge la Lebanon likutane na kufanya mashauriano kuhusiana na Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Hata hivyo kikao hicho cha Bunge kiliakhirishwa.

  • Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Nov 20, 2019 02:29

    Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon

    Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon

    Nov 16, 2019 02:45

    Vyombo vya habari vya Lebanon vimemnukuu Waziri wa Mambo ya Nje Gebran Bassil akisema kuwa waziri wa zamani wa Fedha Muhammad Safadi amekubali kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina

    Nov 15, 2019 07:57

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa madhulumu la Palestina.

  • Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon

    Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon

    Nov 09, 2019 03:14

    Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inataka kuweka serikali kibaraka huko Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS