-
"ISIS walitaka kushambulia ubalozi wa Marekani Lebanon na kuisingizia Hizbullah"
Jan 24, 2020 06:15Gazeti la al Jamhuriyyah la Lebanon limefichua kuwa, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) lilikuwa limepanga njama za kushambulia ubalozi wa Marekani mjini Beirut ili kuibebesha lawama harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Hizbullah hasa baada ya Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.
-
Jasusi mmoja wa Marekani atiwa mbaroni mjini Beirut, Lebanon
Jan 20, 2020 13:14Maafisa usalama wa Lebanon wamemtia mbaroni mwandishi mmoja wa habari wa Kimarekani katika maandamano ya wananchi mjini Beirut kwa tuhuma za kuufanyia ujasusi utawala haramu wa Kizayuni.
-
Waziri Mkuu mpya wa Lebanon; vipaumbele vyake na changamoto zinazomkabili
Dec 20, 2019 12:12Rais Michel Aoun wa Lebanon amemtangaza Hassan Diab, shakhsia miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni na waziri wa zamani wa elimu ya juu wa nchi hiyo, kuwa waziri mkuu mpya na kumpa jukumu la kuunda serikali.
-
Baada ya vuta nikuvute hatimaye Lebanon yapata Waziri Mkuu
Dec 20, 2019 08:03Baada ya vuta nikuvute ya kisiasa nchini Lebanon, hatimaye nchi hiyo imefanikiwa kupata Waziri Mkuu mpya ikiwa ni karibu miezi miwili tangu alipojiuzulu Saad Hariri aliyekuwa akishikilia wadhifa huo.
-
Sheikh Abdul-Amir Qabalan: Mkutano wa Bahrain ni khiana kwa Palestina
Dec 12, 2019 12:08Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon ameulaani mkutano wa Bahrain na juhudi za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusema hatua yoyote ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel ni khiana kwa historia ya Uislamu na ardhi za Palestina.
-
Kuakhirishwa kikao cha Bunge la Lebanon; Saad Hariri katika ndoto za kurejea madarakani
Dec 10, 2019 14:22Jumatatu ya jana tarehe 9 Disemba, ilipangwa kuwa Bunge la Lebanon likutane na kufanya mashauriano kuhusiana na Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Hata hivyo kikao hicho cha Bunge kiliakhirishwa.
-
Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia
Nov 20, 2019 02:29Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon
Nov 16, 2019 02:45Vyombo vya habari vya Lebanon vimemnukuu Waziri wa Mambo ya Nje Gebran Bassil akisema kuwa waziri wa zamani wa Fedha Muhammad Safadi amekubali kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.
-
Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina
Nov 15, 2019 07:57Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa madhulumu la Palestina.
-
Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon
Nov 09, 2019 03:14Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inataka kuweka serikali kibaraka huko Lebanon.