-
Waziri Mkuu mpya wa Lebanon; vipaumbele vyake na changamoto zinazomkabili
Dec 20, 2019 08:42Rais Michel Aoun wa Lebanon amemtangaza Hassan Diab, shakhsia miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni na waziri wa zamani wa elimu ya juu wa nchi hiyo, kuwa waziri mkuu mpya na kumpa jukumu la kuunda serikali.
-
Baada ya vuta nikuvute hatimaye Lebanon yapata Waziri Mkuu
Dec 20, 2019 04:33Baada ya vuta nikuvute ya kisiasa nchini Lebanon, hatimaye nchi hiyo imefanikiwa kupata Waziri Mkuu mpya ikiwa ni karibu miezi miwili tangu alipojiuzulu Saad Hariri aliyekuwa akishikilia wadhifa huo.
-
Sheikh Abdul-Amir Qabalan: Mkutano wa Bahrain ni khiana kwa Palestina
Dec 12, 2019 08:38Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon ameulaani mkutano wa Bahrain na juhudi za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusema hatua yoyote ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel ni khiana kwa historia ya Uislamu na ardhi za Palestina.
-
Kuakhirishwa kikao cha Bunge la Lebanon; Saad Hariri katika ndoto za kurejea madarakani
Dec 10, 2019 10:52Jumatatu ya jana tarehe 9 Disemba, ilipangwa kuwa Bunge la Lebanon likutane na kufanya mashauriano kuhusiana na Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Hata hivyo kikao hicho cha Bunge kiliakhirishwa.
-
Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia
Nov 19, 2019 22:59Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon
Nov 15, 2019 23:15Vyombo vya habari vya Lebanon vimemnukuu Waziri wa Mambo ya Nje Gebran Bassil akisema kuwa waziri wa zamani wa Fedha Muhammad Safadi amekubali kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.
-
Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina
Nov 15, 2019 04:27Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa madhulumu la Palestina.
-
Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon
Nov 08, 2019 23:44Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inataka kuweka serikali kibaraka huko Lebanon.
-
Kuanza uchunguzi kuhusu ufisadi wa kifedha Lebanon
Nov 08, 2019 07:25Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa wiki ijayo mafaili ya ufisadi wa kifedha yatafikishwa katika mahakama za nchi hiyo kwa ajili ya uchunguzi.
-
Rais wa Lebanon; Uchunguzi kuhusu ufisadi nchini tayari umeanza
Nov 08, 2019 00:39Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa tayari yamewaslishwa mafailili 17 ya ufisadi kwa ajili ya kuchunguzwa.